Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

kusimamisha vita

  • Mgogoro wa Libya na jitihada za kuutafutia ufumbuzi

    Mgogoro wa Libya na jitihada za kuutafutia ufumbuzi

    Jan 22, 2020 22:56

    Nchi ya Libya imo katika siku ngumu na mgogoro mkubwa, na vita na mapigano makali yameendelea kushuhudiwa nchini humo licha juhudi kubwa za kimataifa zinazofanyika kwa ajili ya kupata ufumbuzi wa mgogoro huo. 

  • Muhammad Al Houthi amkosoa Mjumbe Maalumu wa UN katika masuala ya Yemen

    Muhammad Al Houthi amkosoa Mjumbe Maalumu wa UN katika masuala ya Yemen

    Nov 14, 2019 21:53

    Mkuu wa Kamati Kuu ya Mapinduzi ya Yemen amekosoa juhudi za Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Yemen kwa ajili ya kuitisha mazungumzo kati ya harakati ya Ansarullah na muungano vamizi wa Saudi Arabia.

  • Wanamuqawama wa Palestina wasitisha vita baada ya Israel kukubali masharti yao

    Wanamuqawama wa Palestina wasitisha vita baada ya Israel kukubali masharti yao

    Nov 14, 2019 04:33

    Baada ya utawala haramu wa Kizayuni kukubali masharti ya wanamuqawama wa Palestina, makundi ya Kipalestina ikiwemo Harakati ya Jihadul-Islami yamekubali pendekezo la Misri kwa ajili ya kusimamisha vita.

  • Nchi nane za dunia zaunga mkono tangazo la usitishaji vita la Answarullah ya Yemen

    Nchi nane za dunia zaunga mkono tangazo la usitishaji vita la Answarullah ya Yemen

    Sep 28, 2019 04:34

    Wajumbe wa kudumu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa pamoja na Ujerumani, Kuwait na Sweden, zimeunga mkono tangazo la usitishaji vita la Harakati ya Kiislamu ya Answarullah nchini Yemen.

  • Jumapili tarehe 18 Agosti mwaka 2019

    Jumapili tarehe 18 Agosti mwaka 2019

    Aug 17, 2019 21:55

    Leo ni Jumapili tarehe 16 Dhulqaada 1440 Hijria sawa Agosti 18 mwaka 2019.

  • Umoja wa Mataifa wataka kusitishwa mapigano huko Libya

    Umoja wa Mataifa wataka kusitishwa mapigano huko Libya

    Aug 09, 2019 07:39

    Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Libya umetoa wito wa kusitishwa mapigano kwa sababu za kibinadamu huko Tripoli mji mkuu wa Libya.

  • Utawala wa Kizayuni umelazimika kukubali usitishaji vita kati yake na Palestina

    Utawala wa Kizayuni umelazimika kukubali usitishaji vita kati yake na Palestina

    May 06, 2019 09:02

    Duru za habari za Palestina zimetangaza kuwa utawala wa Kizayuni hatimaye umekubali kusimamisha vita ulivyovianzisha huko Ukanda wa Ghaza kutokana na mashinikizo ya fikra za walimwengu kutoka nchi mbalimbali duniani.

  • Alkhamisi, tarehe 17 Januari, 2019

    Alkhamisi, tarehe 17 Januari, 2019

    Jan 16, 2019 23:13

    Leo ni Alkhamisi tarehe 10 Jamadil Awwal 1440 Hijria sawa na Januari 17 mwaka 2019.

  • Ansarullah: Hakuna hatua iliyochukuliwa kwa ajili ya kusitisha mapigano al Hudaydah

    Ansarullah: Hakuna hatua iliyochukuliwa kwa ajili ya kusitisha mapigano al Hudaydah

    Jan 09, 2019 03:33

    Afisa Uhusiano wa Nje wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, hakuna hatua yoyote ya kivitendo iliyochukuliwa kwa ajili ya kutekeleza mapatano ya kusitisha mapigano katika mji wa bandari wa al Hudaydah magharibi mwa Yemen na kubadlishana mateka kwa mujibu wa makubaliano yaliyofikiwa mjini Stockholm, Sweden.

  • Al Houthi: Tarehe ya kusimamishwa vita al Hudaydah Yemen imeshajulikana

    Al Houthi: Tarehe ya kusimamishwa vita al Hudaydah Yemen imeshajulikana

    Dec 16, 2018 04:04

    Mkuu wa Kamati Kuu ya Mapinduzi ya Yemen amesema kuwa, mwakilishi maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Yemen ameukabidhi ujumbe wa San'a unaoshiriki kwenye mazungumzo ya amani ya nchi hiyo huko Sweden, tarehe ya kusimamisha vita katika mkoa wa al Hudaydah.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS