-
Watu milioni 40 ni waathirika wa utumwa duniani kote
Dec 03, 2018 03:15Shirika la Umoja wa Mataifa la Kazi Duniani, ILO, linasema utumwa bado ni tatizo kubwa linalowathiri zaidi ya watu milioni 40 duniani kote, watoto wakiwa ni robo ya idadi nzima. Hayo yanajiri pamoja na uwepo wa itifaki ya kuzuia hali hiyo ya kulazimishwa kufanya kazi iliyofikiwa mwaka 2016.
-
Jeshi la Israel lazongwa na tatizo la kutoroka askari jeshini
Nov 17, 2016 11:39Makamanda wa jeshi la utawala ghasibu wa Israel wameeleza wasiwasi wao mkubwa kutokana na wimbi la kutoroka askari katika jeshi la nchi hiyo na mwenendo wa tabaka la vijana kuhepa suala la kutoa huduma jeshini.
-
Wanasiasa wa Marekani ni watumishi wa utawala wa Kizayuni
Feb 22, 2016 00:08Mchambuzi mmoja maarufu wa nchini Marekani amesema kuwa, wanasiasa wa Marekani wapo kwa ajili ya kuutumikia utawala wa Kizayuni wa Israel.