-
Tahadhari kuhusu kuongezeka magaidi wa Daesh Libya
Jan 27, 2016 23:43Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya ametahadharisha kuhusu kushamiri uwepo wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh nchini humo.
-
Majina ya mawaziri wapya Libya kuwasilishwa bungeni
Jan 26, 2016 21:45Majina ya mawaziri wapya wa serikali ya umoja wa kitaifa nchini Libya yatawasilishwa mbele ya bunge linalotambuliwa kimataifa ndani ya muda wa siku 10.