• Visa vipya vya Ebola vyathibitishwa Guinea Conakry

    Visa vipya vya Ebola vyathibitishwa Guinea Conakry

    Mar 18, 2016 23:18

    Shirika la Afya Duniani WHO limepeleka timu ya wataalamu Kusini mwa mkoa wa Nzérékoré nchini Guinea Conakry baada ya visa vipya viwili vya Ebola kubainika na kuthibitishwa katika maeneo ya kijijini.

  • Nchi za Afrika Magharibi kuunda kikosi cha kukabiliana na ugaidi

    Nchi za Afrika Magharibi kuunda kikosi cha kukabiliana na ugaidi

    Mar 05, 2016 23:10

    Mawaziri wa ulinzi wa eneo la Sahel huko magharibi mwa Afrika wameazimia kuunda kikosi cha jeshi cha pamoja cha radiamali ya haraka ili kukabiliana na ongozeko la hatari ya makundi ya kigaidi ya al Qaeda na Daesh katika eneo hilo.