Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mahakama

  • Mahakama za utawala wa Aal Khalifa zaendelea kutoa hukumu za kidhalimu dhidi ya Wananchi wa Bahrain

    Mahakama za utawala wa Aal Khalifa zaendelea kutoa hukumu za kidhalimu dhidi ya Wananchi wa Bahrain

    Mar 29, 2016 23:40

    Mahakama moja nchini Bahrain imetoa hukumu ya kidhalimu ya vifungo jela kwa raia kumi wa nchi hiyo kwa madai ya kuwashambulia askari polisi katika maandamano yaliyofanyika katika kijiji kimoja ambacho wakaazi wake ni Waislamu wa Kishia.

  • ICC kutoa hukumu dhidi ya Bemba wa DRC Jumatatu

    ICC kutoa hukumu dhidi ya Bemba wa DRC Jumatatu

    Mar 19, 2016 04:11

    Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC Jumatatu ijayo inatazamiwa kutoa hukumu dhidi ya Makamu wa Rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Jean-Pierre Bemba anayekabiliwa na tuhuma za jinai za kivita.

  • Ansari: Hukumu ya mahakama ya Marekani dhidi ya Iran ni kichekesho

    Ansari: Hukumu ya mahakama ya Marekani dhidi ya Iran ni kichekesho

    Mar 13, 2016 22:51

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amesema kuwa hukumu iliyotolewa na mahakama ya Marekani dhidi ya Iran ni kichekesho, haina maana na inachezea shere vyombo vya mahakama na uadilifu na kuzidisha doa jeusi katika utendaji wa mahakama za Marekani.

  • Iran yamhukumu kifo bilionea kwa kupatikana na hatia ya ufisadi

    Iran yamhukumu kifo bilionea kwa kupatikana na hatia ya ufisadi

    Mar 06, 2016 21:46

    Bilionea wa Kiirani, Babak Zanjani ambaye alikuwa anakabiliwa na tuhuma za ufisadi wa kiuchumi amehukumiwa kifo.

  • Mtoto wa miaka 4 jela maisha kwa mauaji Misri!!

    Mtoto wa miaka 4 jela maisha kwa mauaji Misri!!

    Feb 22, 2016 00:08

    Mahakama moja nchini Misri imemUhukumu kifungo cha maisha jela mtoto MMOJA wa miaka 4 kwa tuhuma za kufanya mauaji akiwa na umri wa baina ya mwaka mmoja na mwili.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS