-
Wahajiri wa Kiarabu waandamana kupinga jinai za Saudia
Mar 23, 2016 03:44Wahajiri Waarabu wamefanya maandamano katika mji mkuu wa Denmark, Copenhagen wakipinga jinai na uhalifu unaoendelea kufanywa na serikali ya Saudi Arabia katika maeneo mbalimbali ya Mashariki ya Kati.