Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Iran yatangaza vikwazo vipya dhidi ya Wamarekani wanaohusika na ugaidi

    Iran yatangaza vikwazo vipya dhidi ya Wamarekani wanaohusika na ugaidi

    Apr 09, 2022 07:57

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetangaza orodha mpya ya vikwazo dhidi ya raia wa Marekani wanaohusika na vitendo vya ugaidi na ukiukaji wa haki za binadamu.

  • Wasiwasi Waongezeka Marekani kutokana na kushadidi visa vya uhalifu

    Wasiwasi Waongezeka Marekani kutokana na kushadidi visa vya uhalifu

    Apr 08, 2022 03:48

    Wasiwasi wa watu wa Marekani kuhusu uhalifu wa kutumia silaha za moto umefikia kiwango cha juu zaidi tangu 2016.

  • Upinzani Bahrain wataka kutimuliwa nchini humo vikosi vya jeshi la Marekani

    Upinzani Bahrain wataka kutimuliwa nchini humo vikosi vya jeshi la Marekani

    Apr 06, 2022 21:27

    Kundi moja la upinzani nchini Bahrain limelaani uwepo wa vikosi vya majini vya Marekani nchini humo na kusisitiza kuwa, wakati umefika wa kufunga kambi ya kijeshi na kuwafukuza wanajeshi wa US katika nchi hiyo ya Ghuba ya Uajemi.

  • Iran haiwezi kusalimu amri mbele ya kujitakia makuu Marekani

    Iran haiwezi kusalimu amri mbele ya kujitakia makuu Marekani

    Apr 04, 2022 22:23

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu katu haiwezi kusalimu amri mkabala wa uchu, tamaa na kujitakia makuu Marekani.

  • Russia: Marekani imekiuka mkataba wa silaha za kibaolojia

    Russia: Marekani imekiuka mkataba wa silaha za kibaolojia

    Apr 04, 2022 21:51

    Naibu mwakilishi wa kudumu wa Russia katika Umoja wa Mataifa, Dmitry Polyansky, ameuambia mkutano wa waandishi wa habari mjini New York kwamba shughuli za kijeshi za kibaolojia za Marekani nchini Ukraine zinakiuka Mkataba wa Silaha za Kibaolojia.

  • Kwa mara ya kwanza katika historia: Bunge la Pakistan latoa nara ya

    Kwa mara ya kwanza katika historia: Bunge la Pakistan latoa nara ya "Mauti kwa Marekani"

    Apr 04, 2022 03:07

    Kwa mara ya kwanza katika historia ya Bunge la Pakistan, wabunge wa nchi hiyo wametoa nara ya "Kifo kwa Marekani" huku bunge hilo likipinga kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu wa nchi hiyo, iliyotaka kumuondoa madarakani Imran Khan, ambaye ameyatuhumu madola ya kigeni kuwa yanaingilia demokrasia ya nchi hiyo.

  • Rais wa Iran azitaka nchi za eneo zisipuuze njama za kibeberu za US-Israel

    Rais wa Iran azitaka nchi za eneo zisipuuze njama za kibeberu za US-Israel

    Apr 03, 2022 22:06

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema nchi yoyote katika eneo la Asia Magharibi itayopuuza njama na malengo ya kibeberu ya Marekani na utawala wa Kizayuni, itakuwa imepuuza maslahi ya taifa lake, na itaandamwa na ghadhabu za mataifa ya Kiislamu.

  • Jahromi: Marekani inasalia kuwa adui wa kudumu wa taifa la Iran

    Jahromi: Marekani inasalia kuwa adui wa kudumu wa taifa la Iran

    Apr 02, 2022 08:35

    Msemaji wa serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema vikwazo vipya vya Washington dhidi ya raia wa Iran vinaonyesha wazi kuwa, Marekani inasalia kuwa adui wa kudumu wa taifa hili.

  • Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na China Wasisitiza Udharura wa Kukabiliana na Vikwazo Haramu

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na China Wasisitiza Udharura wa Kukabiliana na Vikwazo Haramu

    Apr 02, 2022 03:45

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Hossein Amir-Abdollahian na mwenzake wa China, Wang Yi wamejadili masuala ya pande mbili, kieneo na kimataifa pembezoni mwa mkutano wa tatu wa mawaziri wa mambo ya nje wa nchi jirani na Afghanistan.

  • Mashambulizi dhidi ya askari wa US yameongezeka kwa 400% tangu auawe Soleimani

    Mashambulizi dhidi ya askari wa US yameongezeka kwa 400% tangu auawe Soleimani

    Apr 01, 2022 22:05

    Washington imekiri kuwa, tangu Luteni Jenerali Qasem Soleimani, aliyekuwa Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) auawe kigaidi nchini Iraq, mashambulizi dhidi ya askari wa Marekani yameongezeka kwa asilimia 400.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS