-
Indhari ya Waziri wa Usalama wa Iran: Magaidi hawatabakia salama
Jun 27, 2022 22:15Waziri wa Usalama wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema magaidi wenye makao yao Albania hawatabakia salama kutokana na moto wa ulipizaji kisasi wa jinai walizotenda.
-
75% ya Wamarekani wakatishwa tamaa na uchumi mbaya wa nchi yao
Jun 27, 2022 06:53Aghalabu ya wananchi wa Marekani wamekatishwa tamaa na hali mbaya ya uchumi wa nchi hiyo.
-
New York Times yafichua shughuli za siri za CIA na kikosi maalumu cha Marekani Ukraine
Jun 26, 2022 23:28Gazeti la New York Times linalochapishwa nchini Marekani limefichua kuhusu harakati za siri zinazofanywa na Shirika la Kijasusi la Marekani (CIA) na kikosi maalumu cha wanajeshi wa nchi hiyo huko Ukraine.
-
Marekani yaondoa baadhi ya masharti ya kuwasajili vijana jeshini
Jun 26, 2022 06:47Jeshi la Marekani limefuta baadhi ya vigezo na masharti ya kusajili vijana jeshini, huku nchi hiyo ikikabiliwana na mgogoro mkubwa wa vijana wengi kukataa kujiunga na vikosi hivyo vya ulinzi.
-
Njama mpya za Marekani na Saudi Arabia nchini Syria
Jun 25, 2022 22:02Baadhi ya vyanzo vya habari vimeripoti kuwa Marekani na Saudi Arabia zimeanzisha jitihada za pamoja za kuunda upya kikosi kinachojulikana kwa jina la Jaish Maghawir al-Thawra (Jeshi la Makomando wa Mapinduzi) katika kituo cha Al-Tanf kinachosimamiwa na Marekani kilichoko kwenye mpaka wa Jordan, Syrian na Iraq.
-
Wamarekani waghadhibishwa na marufuku ya uavyaji mimba nchini humo
Jun 25, 2022 07:08Maandamano makubwa yameshuhudiwa katika miji na majimbo mbalimbali ya Marekani, kulalamikia hatua ya Mahakama ya Juu ya nchi hiyo ya kutengua haki ya kuavya mimba.
-
Wananchi wa Korea Kusini waandamana kupinga ngao ya Marekani ya THAAD
Jun 24, 2022 22:34Kwa mara nyingine wananchi wa Korea Kusini wamefanya maandamano kupinga mpango wa kusimikwa ngao ya makombora ya kisasa ya Marekani aina ya THAAD ndani ya nchi yao.
-
Mahakama Iran yaitoza US faini ya bilioni 4.3 kwa mauaji ya wanasayansi wa nyuklia
Jun 23, 2022 20:48Mahakama moja nchini Iran imeipata na hatia serikali ya Marekani na makumi ya taasisi na maafisa wa nchi hiyo kwa kuunga mkono na kushirikiana na utawala wa Kizayuni wa Israel kufanya mauaji dhidi ya wanasayansi wa nyuklia wa Jamhuri ya Kiislamu.
-
Taliban yaitaka Marekani iachie fedha za Afghanistan baada ya tetemeko la ardhi lililoua 950
Jun 23, 2022 20:47Kufuatia tetemeko la ardhi lililoua mamia ya watu nchini Afghanistan, serikali ya Taliban nchini humo imeitaka Marekani iachie mabilioni ya dola za Waafghani inazozuilia.
-
Asilimia 43 ya silaha za Marekani zinauzwa kwa nchi za eneo la Asia Magharibi
Jun 21, 2022 09:03Taasisi ya Kimataifa ya Utafiti wa Amani ya Stockholm SIPRI imetangaza kuwa hadi mwishoni mwa mwaka 2021, kiwango kikubwa cha silaha zinazotengenezwa Marekani imeuzwa kwa nchi za eneo la Asia Magharibi.