-
Askofu wa zamani wa US akiri: Nilificha kufanyiwa ukatili wa kingono watoto kwa miaka 25
Mar 30, 2022 02:34Aliyekuwa Askofu wa Kanisa Katoliki katika jimbo la New York nchini Marekani amejitokeza na kukiri wazi kuwa alificha na kunyamazia kimya ufuska wa kudhalilishwa na kufanyiwa ukatili wa kingono watoto wadogo na makasisi wa kanisa hilo kwa miaka 25.
-
China yaikosoa Magharibi kwa sera za kindumakuwili kuhusu haki za binadamu
Mar 29, 2022 22:29China imezishutumu nchi za Magharibi kwa kutumia sera za kindumakuwili kwa kushughulikia kwa wakati haki za binadamu za watu wanaokimbia vita vya Russia na Ukraine na kupuuza haki za wakimbizi kutoka nchi za Mashariki ya Kati, Afrika na Amerika ya Kusini.
-
Khatibzadeh: Kufanyika mkutano wa uovu ni usaliti kwa lengo tukufu la ukombozi wa Palestina
Mar 28, 2022 22:23Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani kufanyika mkutano wa uovu Palestina inayokaliwa kwa mabavu na kuuelezea kuwa ni usaliti kwa lengo tukufu la ukombozi wa Palestina.
-
Abbas akosoa undumakuwili wa nchi za Magharibi kuhusu vita vya Russia na Ukraine
Mar 28, 2022 21:01Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina (PA) Mahmoud Abbas amezikemea nchi za Magharibi kwa kutumia sera za kinafiki na kindumakuwili baada ya kuchukua hatua kali dhidi ya Russia kuhusu operesheni yake ya kijeshi nchini Ukraine huku zikipuuza uhalifu unaofanywa na Israel dhidi ya Wapalestina.
-
Marekani yaendeleza msimamo ulio dhidi ya makubaliano ya nyuklia, JCPOA
Mar 27, 2022 23:09Mwakilishi maalumu wa serikali ya Marekani katika masuala ya Iran ameendeleza msimamo wa Washington ulio dhidi ya makubaliano ya nyuklia, JCPOA kwa kudai kwamba, serikali ya sasa haiwezi kutoa hakikisho na dhamana juu ya maamuzi yatakayochukuliwa na serikali ijayo ya Marekani kuhusu makubaliano hayo.
-
Hizbullah: Marekani, mchochezi wa migogoro Asia Magharibi na kote duniani
Mar 27, 2022 06:18Ofisa mwandamizi wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema Marekani inabeba dhima ya kuanzisha na kuchochea migogoro yote inayoshuhudiwa hivi sasa katika eneo la Asia Magharibi na maeneo mengine duniani.
-
Kremlin: Biden hana uwezo na mamlaka ya kuamua nani Rais wa Russia
Mar 27, 2022 03:26Ikulu ya Russia ya Kremlin imejibu bwabwaja na matamshi ya kijuba ya Rais Joe Biden wa Marekani aliyedai kuwa Rais Vladimir Putin wa Russia hatosalia madarakani.
-
Waziri wa Mambo ya Nje: Haijawahi kutokea mfano wa jinai za Saudia nchini Yemen
Mar 26, 2022 22:02Waziri wa Mambo ya Nje wa Serikali ya Wokovu wa Kitaifa ya Yemen amesema kwa mnasaba wa kuingia mwaka wa nane wa vita vya kivamizi dhidi ya nchi yake kwamba, historia haijawahi kushuhudia mfano wa jinai za Saudi Arabia za nchini Yemen.
-
Russia: Marekani itoe maelezo kuhusu nafasi ya mtoto wa Biden katika maabara za silaha za kibaolojia huko Ukraine
Mar 25, 2022 22:34Russia imetaka ipewe maelezo kutoka kwa Marekani kuhusu jukumu la mtoto wa Rais Joe Biden wa nchi hiyo katika maabara za kibaolojia nchini Ukraine.
-
Iran: Vikosi vamizi vya Marekani viondoke Syria mara moja
Mar 25, 2022 21:53Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema vikosi vya Marekani na waitifaki wake vinapaswa kuondoka Syria haraka iwezekanavyo.