Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Askofu wa zamani wa US akiri: Nilificha kufanyiwa ukatili wa kingono watoto kwa miaka 25

    Askofu wa zamani wa US akiri: Nilificha kufanyiwa ukatili wa kingono watoto kwa miaka 25

    Mar 30, 2022 02:34

    Aliyekuwa Askofu wa Kanisa Katoliki katika jimbo la New York nchini Marekani amejitokeza na kukiri wazi kuwa alificha na kunyamazia kimya ufuska wa kudhalilishwa na kufanyiwa ukatili wa kingono watoto wadogo na makasisi wa kanisa hilo kwa miaka 25.

  • China yaikosoa Magharibi kwa sera za kindumakuwili kuhusu haki za binadamu

    China yaikosoa Magharibi kwa sera za kindumakuwili kuhusu haki za binadamu

    Mar 29, 2022 22:29

    China imezishutumu nchi za Magharibi kwa kutumia sera za kindumakuwili kwa kushughulikia kwa wakati haki za binadamu za watu wanaokimbia vita vya Russia na Ukraine na kupuuza haki za wakimbizi kutoka nchi za Mashariki ya Kati, Afrika na Amerika ya Kusini.

  • Khatibzadeh: Kufanyika mkutano wa uovu ni usaliti kwa lengo tukufu la ukombozi wa Palestina

    Khatibzadeh: Kufanyika mkutano wa uovu ni usaliti kwa lengo tukufu la ukombozi wa Palestina

    Mar 28, 2022 22:23

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani kufanyika mkutano wa uovu Palestina inayokaliwa kwa mabavu na kuuelezea kuwa ni usaliti kwa lengo tukufu la ukombozi wa Palestina.

  • Abbas akosoa undumakuwili wa nchi za Magharibi kuhusu vita vya Russia na Ukraine

    Abbas akosoa undumakuwili wa nchi za Magharibi kuhusu vita vya Russia na Ukraine

    Mar 28, 2022 21:01

    Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina (PA) Mahmoud Abbas amezikemea nchi za Magharibi kwa kutumia sera za kinafiki na kindumakuwili baada ya kuchukua hatua kali dhidi ya Russia kuhusu operesheni yake ya kijeshi nchini Ukraine huku zikipuuza uhalifu unaofanywa na Israel dhidi ya Wapalestina.

  • Marekani yaendeleza msimamo ulio dhidi ya makubaliano ya nyuklia, JCPOA

    Marekani yaendeleza msimamo ulio dhidi ya makubaliano ya nyuklia, JCPOA

    Mar 27, 2022 23:09

    Mwakilishi maalumu wa serikali ya Marekani katika masuala ya Iran ameendeleza msimamo wa Washington ulio dhidi ya makubaliano ya nyuklia, JCPOA kwa kudai kwamba, serikali ya sasa haiwezi kutoa hakikisho na dhamana juu ya maamuzi yatakayochukuliwa na serikali ijayo ya Marekani kuhusu makubaliano hayo.

  • Hizbullah: Marekani, mchochezi wa migogoro Asia Magharibi na kote duniani

    Hizbullah: Marekani, mchochezi wa migogoro Asia Magharibi na kote duniani

    Mar 27, 2022 06:18

    Ofisa mwandamizi wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema Marekani inabeba dhima ya kuanzisha na kuchochea migogoro yote inayoshuhudiwa hivi sasa katika eneo la Asia Magharibi na maeneo mengine duniani.

  • Kremlin: Biden hana uwezo na mamlaka ya kuamua nani Rais wa Russia

    Kremlin: Biden hana uwezo na mamlaka ya kuamua nani Rais wa Russia

    Mar 27, 2022 03:26

    Ikulu ya Russia ya Kremlin imejibu bwabwaja na matamshi ya kijuba ya Rais Joe Biden wa Marekani aliyedai kuwa Rais Vladimir Putin wa Russia hatosalia madarakani.

  • Waziri wa Mambo ya Nje: Haijawahi kutokea mfano wa jinai za Saudia nchini Yemen

    Waziri wa Mambo ya Nje: Haijawahi kutokea mfano wa jinai za Saudia nchini Yemen

    Mar 26, 2022 22:02

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Serikali ya Wokovu wa Kitaifa ya Yemen amesema kwa mnasaba wa kuingia mwaka wa nane wa vita vya kivamizi dhidi ya nchi yake kwamba, historia haijawahi kushuhudia mfano wa jinai za Saudi Arabia za nchini Yemen.

  • Russia: Marekani itoe maelezo kuhusu nafasi ya mtoto wa Biden katika maabara za silaha za kibaolojia huko Ukraine

    Russia: Marekani itoe maelezo kuhusu nafasi ya mtoto wa Biden katika maabara za silaha za kibaolojia huko Ukraine

    Mar 25, 2022 22:34

    Russia imetaka ipewe maelezo kutoka kwa Marekani kuhusu jukumu la mtoto wa Rais Joe Biden wa nchi hiyo katika maabara za kibaolojia nchini Ukraine.

  • Iran: Vikosi vamizi vya Marekani viondoke Syria mara moja

    Iran: Vikosi vamizi vya Marekani viondoke Syria mara moja

    Mar 25, 2022 21:53

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema vikosi vya Marekani na waitifaki wake vinapaswa kuondoka Syria haraka iwezekanavyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS