-
China: Marekani na NATO ziombe radhi kwa kuzivamia na kuzishambulia kijeshi nchi mbalimbali
Mar 25, 2022 09:53Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China ameitaka Marekani na shirika la kijeshi la NATO ziombe radhi kwa kuzivamia na kuzishambulia kijeshi nchi mbalimbali duniani.
-
Lavrov awashutumu Wamagharibi kwa kutoshughuliswa na wananchi wa Ukraine
Mar 23, 2022 23:08Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amezishutumu Marekani na Umoja wa Ulaya kwa kutoshughulishwa na wananchi wa Ukraine na wala mambo yaliyopelekea kutokea vita nchini humo.
-
Asaeb Ahlul Haq Iraq: Ikiwa uvamizi wa Marekani utaendelea, silaha za muqawama zitatoa jibu
Mar 23, 2022 23:03Harakati ya Asaeb Ahlul Haq nchini Iraq imetangaza kuwa itaanzisha mapambano ya silaha iwapo Marekani haitaondoka katika ardhi ya Iraq hadi kufikia mwishoni mwa mwaka huu.
-
Uuzaji makombora na jinsi Marekani inavyoendelea kuitazama Saudia kama wenzo tu
Mar 22, 2022 22:17Kufuatia ombi lililotolewa na Saudi Arabia, serikali ya Marekani imeipatia nchi hiyo ya kifalme idadi kadhaa ya makombora ya patriot.
-
Watoto 270,000 wameambukizwa Corona ndani ya mwezi mmoja Marekani
Mar 22, 2022 22:12Watoto 270,000 wameambukizwa virusi vya Corona nchini Marekani katika kipindi cha mwezi mmoja uliopita.
-
Russia yajibu madai ya Biden ya matumizi ya silaha za kibaolojia nchini Ukraine
Mar 22, 2022 08:24Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergei Ryabkov amesema Jumanne leo kwamba matamshi yaliyotolewa na Rais wa Marekani, Joe Biden kuhusu uwezekano wa Russia kutumia silaha za kemikali na za kibaolojia huko Ukraine ni ya kihabithi.
-
CNN: Wamarekani wengi wanaona US inaelekea kusiko
Mar 22, 2022 01:55Matokeo ya uchunguzi mpya wa maoni uliofanyika hivi karibuni yanaonesha kuwa, aghalabu ya wananchi wa Marekani wanaamini kuwa, taifa lao lipo katika mkondo usio sahihi.
-
Shutuma za Russia kwa Marekani inayokwamisha mazungumzo ya Ukraine
Mar 21, 2022 22:19Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Sergeĭ Viktorovich Lavrov ameishutumu vikali Marekani kwa siasa zake kuhusu vita vya Ukraine na kusema kuwa, Washington ndiyo inayokwamisha kufikiwa makubaliano baina ya Moscow na Kyiv hata katika masuala madogo kabisa. Amesema, hivi sasa Marekani inawatwisha viongozi wa Ukraine misimamo yake na ndio maana Kyiv inakwamisha kila kitu katika mazungumzo yake na Russia.
-
Licha ya kuingia doa uhusiano wao, Marekani yaipatia Saudia mitambo ya kutungulia makombora
Mar 21, 2022 08:36Licha ya kuingia doa uhusiano wa Marekani na Saudi Arabia, afisa mmoja wa serikali ya Washington amesema, nchi yake imepeleka Saudia mitambo ya kutungulia makombora.
-
Sisitizo la Kamanda wa Jeshi la Majini la Iran kuhusu kupambana vilivyo na ushetani wa adui
Mar 21, 2022 04:23Admiral Shahram Irani, Kamanda wa Jeshi la Majini la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu imejiimarisha vilivyo kupambana na ushetani wowote wa maadui na haitatoa mwanya hata kidogo wa kufanikiwa njama za adui.