Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Zarif: Ukatili wa Marekani dhidi ya watu wa Iran unaendelezwa kwa ugaidi wa kiuchumi

    Zarif: Ukatili wa Marekani dhidi ya watu wa Iran unaendelezwa kwa ugaidi wa kiuchumi

    Jul 04, 2021 08:51

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Mohammad Javad Zarif ameashiria namna Marekani ilivyowaua raia wasio na hatia kwa kutungua kwa kombora ndege ya abiria ya Iran Air na kuandika katika ukurasa wake wa Twitter kuwa: "Ukatili wa Marekani dhidi ya watu wa Iran sasa unaendelezwa kupitia ugaidi wa kiuchumi."

  • Jarida la Marekani Hill: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran havina taathira

    Jarida la Marekani Hill: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran havina taathira

    Jul 04, 2021 03:51

    Jarida la Marekani la Hill limeandika kwamba siasa za Marekani za 'mashinikizo ya juu kabisa' hazijakuwa na matunda yoyote katika utawala wa Donld Trump na wala hazitakuwa na taathira yoyote katika utawala wa rais wa hivi sasa wa Marekani Joe Biden.

  • Wamarekani waendelea kuiba mafuta na maliasili ya Syria

    Wamarekani waendelea kuiba mafuta na maliasili ya Syria

    Jul 03, 2021 22:06

    Wanajeshi vamizi na maharamia wa Marekani wanaendelea kuiba mafuta ya nchi ya Syria waliyoivamia kinyume cha sheria na kuhamisha nishati hiyo nje ya mipaka ya Syria kupitia kaskazini mwa Iraq.

  • Rouhani: Marekani iwajibishwe kwa kutungua ndege ya abiria ya Iran

    Rouhani: Marekani iwajibishwe kwa kutungua ndege ya abiria ya Iran

    Jul 03, 2021 08:11

    Rais Hassan Rouhani wa Iran ameikosoa vikali Marekani kwa kutoomba radhi kwa kushambulia ndege ya abiria ya Jamhuri ya Kiislamu mwaka 1988 katika Ghuba ya Uajemi na kusisitiza kuwa, Washington inapaswa kubebeshwa dhima kwa kuwaunga mkono waliotenda jinai hiyo.

  • Russia yaitaka Marekani iache kuiba rasilimali za Wasyria

    Russia yaitaka Marekani iache kuiba rasilimali za Wasyria

    Jul 03, 2021 08:10

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema Marekani inapaswa kukomesha tabia yake ya kuiba rasilimali za wananchi wa Syria, na badala yake ipambane na magenge ya kigaidi.

  • Kuhuishwa JCPOA kunategemea maamuzi magumu ya Marekani na Ulaya

    Kuhuishwa JCPOA kunategemea maamuzi magumu ya Marekani na Ulaya

    Jul 02, 2021 22:15

    Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema sasa wakati umewadia kwa Marekani na nchi tatu za Ulaya kuchukua maamuzi magumu kwa ajili ya kuanza kufungamana tena kikamilifu na mapatano ya kimataifa ya nyuklia, JCPOA.

  • Russia: Hatua ya Marekani kufunga tovuti za mrengo wa muqawama ni ya kisiasa

    Russia: Hatua ya Marekani kufunga tovuti za mrengo wa muqawama ni ya kisiasa

    Jul 02, 2021 22:13

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amelaani vikali hatua ya serikali ya Marekani ya kufunga tovuti kadhaa za vyombo vya habari vya Iran na mrengo wa muqawama na kusisitiza kuwa, kitendo hicho kimechochewa na misimamo hasi ya kisiasa.

  • Barua za jumuiya 113 za haki za binadamu kwa Biden: Mashambulizi ya droni yanapasa kusitishwa

    Barua za jumuiya 113 za haki za binadamu kwa Biden: Mashambulizi ya droni yanapasa kusitishwa

    Jul 01, 2021 22:00

    Makundi na jumuiya za kutetea haki za binadamu 113 zimemwandikia barua Rais Joe Biden wa Marekani zikitaka kusitishwa mashambulizi ya droni yanayofanywa kinyume cha sheria katika nchi mbalimbali.

  • Kifo cha Rumsfeld, mhandisi mkuu wa vita na mashambulizi ya Marekani dhidi ya Iraq

    Kifo cha Rumsfeld, mhandisi mkuu wa vita na mashambulizi ya Marekani dhidi ya Iraq

    Jul 01, 2021 04:23

    Donald Rumsfeld, waziri wa zamani wa ulinzi wa Marekani ambaye ndiye aliyekuwa mhandisi mkuu wa mashambulizi ya Marekani dhidi ya Iraq na Afghanistan ameaga dunia akiwa na umri wa miaka 88.

  • Wanachama wa Baraza la Usalama waitaka Marekani iiondolee Iran vikwazo

    Wanachama wa Baraza la Usalama waitaka Marekani iiondolee Iran vikwazo

    Jul 01, 2021 03:11

    Nchi wanachama wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa zimeitaka Marekani iiondolee Iran vikwazo vyote kwa mujibu wa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS