Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Kuanza uchunguzi wa ICC wa jinai za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel

    Kuanza uchunguzi wa ICC wa jinai za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel

    Mar 05, 2021 07:04

    Mahakama ya Kimataifa ya Jinai, ICC, imeanzisha uchunguzi kuhusu jinai za kivita zilizofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika ardhi za Palestina unazozikalia kwa mabavu.

  • Wasomi 26 wataka kufanyike uchunguzi wa kimataifa kuhusu chanzo cha virusi vya corona

    Wasomi 26 wataka kufanyike uchunguzi wa kimataifa kuhusu chanzo cha virusi vya corona

    Mar 05, 2021 04:18

    Gazeti la Wall Street Journal la Marekani limetangaza kuwa, wasomi 26 wameandika barua ya wazi wakitaka kufanyike uchunguzi mpya wa kimataifa kuhusu chanzo cha virusi vya corona.

  • Zakharova: Marekani inawatambua washindani wake wakuu kuwa ni maadui

    Zakharova: Marekani inawatambua washindani wake wakuu kuwa ni maadui

    Mar 05, 2021 04:18

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Russia amesema kuwa nchi yoyote inayoshindana na Marekani katika uwanja wowote ule hutambuliwa na Washington kuwa ni nchi adui.

  • Makundi 32 ya Marekani yamtaka Biden airejesha nchi hiyo katika JCPOA

    Makundi 32 ya Marekani yamtaka Biden airejesha nchi hiyo katika JCPOA

    Mar 04, 2021 23:03

    Makundi 32 ya Marekani yamemtaka Rais wa nchi hiyo Joe Biden airejesha Washington katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA haraka iwezekanavyo.

  • Rais Xi: Marekani ndilo tishio kuu kwa ustawi na usalama wa China

    Rais Xi: Marekani ndilo tishio kuu kwa ustawi na usalama wa China

    Mar 04, 2021 23:01

    Rais Xi Jinping wa China amesema Marekani ndilo tishio kubwa zaidi kwa maendeleo na usalama wa nchi hiyo ya Asia.

  • Kuanza kampeni kubwa ya vikwazo ya serikali ya Biden dhidi ya Russia

    Kuanza kampeni kubwa ya vikwazo ya serikali ya Biden dhidi ya Russia

    Mar 04, 2021 22:59

    Uhusiano wa Marekani na Russia katika serikali mpya ya Marekani na wakati huu wa uongozi wa Joe Biden umezidi kuwa mbaya. Serikali ya Biden mbali na kudhihirisha misimamo iliyodhidi ya Russia, hivi sasa imeanzisha kampeni kubwa ya vikwazo dhidi ya Moscow.

  • Newsweek: Marekani yumkini ikawa kituo kikuu cha kueneza fikra za kibaguzi

    Newsweek: Marekani yumkini ikawa kituo kikuu cha kueneza fikra za kibaguzi

    Mar 04, 2021 00:46

    Jarida la kila wiki la Newsweek la Marekkani limeandika kuwa, waitifaki wa serikali ya Washington wana wasiwasi kwamba yumkini fikra na mitazamo ya mirengo yenye misimamo mikali ya kulia ikasambaa pia katika nchi hizo kutoka Marekani.

  • Iran: Wamarekani wawajibike kuhusu jinai wanazofanya huko Yemen, waache bwabwaje

    Iran: Wamarekani wawajibike kuhusu jinai wanazofanya huko Yemen, waache bwabwaje

    Mar 04, 2021 00:44

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Iran amesema kuwa Wamarekani wanapaswa kuwajibika kutokana na jinai na uhalifu wao wa miaka 6 sasa huko Yemen badala ya kutoa tuhuma zisizo na msingi dhidi ya nchi nyingine.

  • Syria yatuma barua mbili kwa Baraza la Usalama katika kipindi cha masaa 72

    Syria yatuma barua mbili kwa Baraza la Usalama katika kipindi cha masaa 72

    Mar 04, 2021 00:43

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imetuma barua mbili katika kipindi cha masaa 72 kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Mwenyekiti wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kulalamikia hujuma dhidi ya mji wa Damascus.

  • Marekani yazidi kujiimarisha kijeshi nchini Syria

    Marekani yazidi kujiimarisha kijeshi nchini Syria

    Mar 01, 2021 03:20

    Duru mbalimbali za Syria zimetangaza habari ya kuzidi wanajeshi magaidi wa Marekani, kujiimarisha ndani ya ardhi ya Syria. Duru hizo zimesema, msafara mwingine wa wanajeshi magaidi wa Marekani umevuka Iraq na kujizatiti katika viunga vya al Hasakah, huko kaskazini mashariki mwa Syria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS