-
Kuanza uchunguzi wa ICC wa jinai za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel
Mar 05, 2021 07:04Mahakama ya Kimataifa ya Jinai, ICC, imeanzisha uchunguzi kuhusu jinai za kivita zilizofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika ardhi za Palestina unazozikalia kwa mabavu.
-
Wasomi 26 wataka kufanyike uchunguzi wa kimataifa kuhusu chanzo cha virusi vya corona
Mar 05, 2021 04:18Gazeti la Wall Street Journal la Marekani limetangaza kuwa, wasomi 26 wameandika barua ya wazi wakitaka kufanyike uchunguzi mpya wa kimataifa kuhusu chanzo cha virusi vya corona.
-
Zakharova: Marekani inawatambua washindani wake wakuu kuwa ni maadui
Mar 05, 2021 04:18Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Russia amesema kuwa nchi yoyote inayoshindana na Marekani katika uwanja wowote ule hutambuliwa na Washington kuwa ni nchi adui.
-
Makundi 32 ya Marekani yamtaka Biden airejesha nchi hiyo katika JCPOA
Mar 04, 2021 23:03Makundi 32 ya Marekani yamemtaka Rais wa nchi hiyo Joe Biden airejesha Washington katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA haraka iwezekanavyo.
-
Rais Xi: Marekani ndilo tishio kuu kwa ustawi na usalama wa China
Mar 04, 2021 23:01Rais Xi Jinping wa China amesema Marekani ndilo tishio kubwa zaidi kwa maendeleo na usalama wa nchi hiyo ya Asia.
-
Kuanza kampeni kubwa ya vikwazo ya serikali ya Biden dhidi ya Russia
Mar 04, 2021 22:59Uhusiano wa Marekani na Russia katika serikali mpya ya Marekani na wakati huu wa uongozi wa Joe Biden umezidi kuwa mbaya. Serikali ya Biden mbali na kudhihirisha misimamo iliyodhidi ya Russia, hivi sasa imeanzisha kampeni kubwa ya vikwazo dhidi ya Moscow.
-
Newsweek: Marekani yumkini ikawa kituo kikuu cha kueneza fikra za kibaguzi
Mar 04, 2021 00:46Jarida la kila wiki la Newsweek la Marekkani limeandika kuwa, waitifaki wa serikali ya Washington wana wasiwasi kwamba yumkini fikra na mitazamo ya mirengo yenye misimamo mikali ya kulia ikasambaa pia katika nchi hizo kutoka Marekani.
-
Iran: Wamarekani wawajibike kuhusu jinai wanazofanya huko Yemen, waache bwabwaje
Mar 04, 2021 00:44Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Iran amesema kuwa Wamarekani wanapaswa kuwajibika kutokana na jinai na uhalifu wao wa miaka 6 sasa huko Yemen badala ya kutoa tuhuma zisizo na msingi dhidi ya nchi nyingine.
-
Syria yatuma barua mbili kwa Baraza la Usalama katika kipindi cha masaa 72
Mar 04, 2021 00:43Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imetuma barua mbili katika kipindi cha masaa 72 kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Mwenyekiti wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kulalamikia hujuma dhidi ya mji wa Damascus.
-
Marekani yazidi kujiimarisha kijeshi nchini Syria
Mar 01, 2021 03:20Duru mbalimbali za Syria zimetangaza habari ya kuzidi wanajeshi magaidi wa Marekani, kujiimarisha ndani ya ardhi ya Syria. Duru hizo zimesema, msafara mwingine wa wanajeshi magaidi wa Marekani umevuka Iraq na kujizatiti katika viunga vya al Hasakah, huko kaskazini mashariki mwa Syria.