Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Khatibzadeh: Huu si wakati mwafaka wa kuitishwa kikao cha JCPOA

    Khatibzadeh: Huu si wakati mwafaka wa kuitishwa kikao cha JCPOA

    Feb 28, 2021 23:44

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje wa Iran amesema kuwa, kwa kutilia maanani misimamo na hatua za karibuni za nchi tatu za Ulaya na Marekani, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaona kuwa huu si wakati mwafaka wa kufanyika kikao kisicho rasmi kilichopendekezwa na Mkuu wa Siasa za Nje za Umoja wa Ulaya baina ya nchi hizo na Tehran kuhusu kadhia ya mapatano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Iran: Njia nyepesi kwa Marekani kurejea katika JCPOA ni kuheshimu ahadi zake

    Iran: Njia nyepesi kwa Marekani kurejea katika JCPOA ni kuheshimu ahadi zake

    Feb 28, 2021 09:48

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, njia sahali kabisa kwa Marekani kurejea katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ni kuheshimu na kufungamana na ahadi ilizotoa juu ya mapatano hayo ya kimataifa.

  • Makundi ya muqawama Iraq yaapa kujibu chokochoko mpya za Marekani

    Makundi ya muqawama Iraq yaapa kujibu chokochoko mpya za Marekani

    Feb 27, 2021 08:33

    Harakati za muqawama za Iraq zimelaani vikali mashambulizi ya anga ya jeshi la Marekani yaliyolenga kambi za makundi hayo ya kupambana na ugaidi katika mpaka wa Iraq na Syria, na kusisitiza kuwa, chokochoko hizo mpya za Washington hazitapita bila kupewa jibu kali.

  • Biden akosolewa kwa kutomuwekea vikwazo Bin Salman kwa mauaji ya Khashoggi

    Biden akosolewa kwa kutomuwekea vikwazo Bin Salman kwa mauaji ya Khashoggi

    Feb 27, 2021 08:32

    Mashirika ya kutetea haki za binadamu yamekosoa vikali hatua ya utawala wa Rais Joe Biden wa Marekani ya kuamua kutomuwekea vikwazo Mohammad Bin Salman, mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia, licha ya kukiri katika ripoti kuwa ndiye aliyetoa amri ya kuuawa Jamal Khashoggi, mwandishi wa habari aliyekuwa akiukosoa utawala wa Aal-Saud.

  • Shambulizi la anga la Marekani huko Syria, nembo ya kupenda vita ya serikali ya Biden

    Shambulizi la anga la Marekani huko Syria, nembo ya kupenda vita ya serikali ya Biden

    Feb 27, 2021 05:37

    Mwaka 2014 Marekani ilituma majeshi yake kinyume cha sheria nchini Syria kwa kisingizio cha kupambana na kundi la kigaidi la Daesh na majeshi hayo yamebakia nchini humo hadi sasa licha ya wito wa mara kwa mara wa serikali ya Damascus wa kutaka kuondoka majeshi hayo vamizi katika ardhi yake.

  • Kuongezeka harakati baina ya mhimili wa mapatano wa Kiarabu na utawala haramu wa Israel

    Kuongezeka harakati baina ya mhimili wa mapatano wa Kiarabu na utawala haramu wa Israel

    Feb 26, 2021 23:15

    Utata na kutokuwa wazi serikali mpya ya Marekani katika siasa zake za kigeni kuhusiana na eneo la Asia Magharibi ni jambo ambalo limepelea kuongezeka kwa mara nyingine harakati za mhimili wa mapatano wa Kiarabu na utawala haramu wa Israel.

  • Russia: Mashambulio ya Marekani Syria ni ukiukaji wa kanuni na sheria za kimataifa

    Russia: Mashambulio ya Marekani Syria ni ukiukaji wa kanuni na sheria za kimataifa

    Feb 26, 2021 09:44

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imelaani mashambulizi ya usiku wa kuamikia leo ya Marekani huko Syria na kuyataja kuwa ni kinyume na kanuni na sheria za kimataifa.

  • Marekani yashambulia makundi yanayopambana na ugaidi mpakani mwa Iraq na Syria

    Marekani yashambulia makundi yanayopambana na ugaidi mpakani mwa Iraq na Syria

    Feb 26, 2021 04:30

    Jeshi la Marekani kwa amri ya Rais Joe Biden limefanya mashambulizi ya anga yaliyolenga kambi za makundi ya muqawama yanayopambana na magenge ya kigaidi katika mpaka wa Iraq na Syria.

  • Malaki wameuawa katika operesheni za kijeshi za Marekani duniani

    Malaki wameuawa katika operesheni za kijeshi za Marekani duniani

    Feb 26, 2021 04:27

    Mamia ya maelfu ya watu wameuawa kutokana na uingiliaji wa kijeshi wa Marekani katika nchi mbalimbali duniani, tangu yalipojiri mashambulizi ya Septemba 11.

  • FBI yakiri kufanya uzembe na kuruhusu kuvamiwa jengo la Bunge nchini Marekani

    FBI yakiri kufanya uzembe na kuruhusu kuvamiwa jengo la Bunge nchini Marekani

    Feb 25, 2021 23:20

    Mkuu wa muda wa polisi ya Congress ya Marekani amekiri kwamba chombo hicho kilifanya uzembe kwa kuruhusu magenge ya rais wa zamani wa nchi hiyo, Donald Trump, kuvamia jengo la bunge na kufanya mauaji na uharibifu ndani yake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS