-
Marekani yaondoa askari wake Somalia na kuwapeleka katika nchi nyingine za Afrika
Dec 19, 2020 23:54Jeshi la Marekani limezindua operesheni ya kuwaondoa askari wake kutoka Somalia na kuwapeleka katika nchi nyingine za Afrika.
-
Yemen yasisitiza kukabiliana na ugaidi wa kimataifa unaoongozwa na Marekani
Dec 19, 2020 04:41Mjumbe wa Baraza la Kisiasa la Yemen amesisitiza kuwa, nchi hiyo itakabiliana na ugaidi wa kimataifa unaoongozwa na Marekani.
-
Familia za wanajeshi wa Marekani zinahitajia misaada ya chakula
Dec 18, 2020 02:18Maafisa wa kijeshi wa Marekani wanaeleza kuwa, familia za wanajeshi nchini humo zinahitajia misaada ya chakula kutokana na kuenea maambukizi ya virusi vya corona.
-
Zarif: Vikwazo vya Washington vimewadhuru Wamarekani wenyewe
Dec 18, 2020 00:32Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema sera ya vikwazo ya Washington imekuwa na madhara makubwa hata kwa wananchi wa Marekani wenyewe na kampuni zao na hivyo kusababisha ukosefu wa ajira miongoni mwa Wamarekani.
-
Iran yaitaka Marekani iondoe askari wake vamizi nchini Syria
Dec 17, 2020 04:01Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema vikosi vamizi vya nchi ajinabi vikiweko vya Marekani vinapaswa kuondoka nchini Syria mara moja.
-
Marekani yaweka rekodi mpya ya vifo vya Covid-19
Dec 17, 2020 03:59Marekani imeweka rekodi mpya ya kutisha ya vifo na maamukizi ya ugonjwa wa Covid-19, ambapo watu 3,700 wameaga dunia kwa maradhi hayo ya kuambukiza, huku kesi mpya 250,000 zikisajiliwa ndani ya masaa 24 jana Jumatano.
-
Ushindi wa Biden katika uchaguzi wa rais Marekani waidhinishwa na Wajumbe wa Uchaguzi
Dec 16, 2020 07:37Hatimaye, baada ya wiki kadhaa za mvutano wa kisiasa na kisheria nchini Marekani, Wajumbe wa Uchaguzi (Electoral College) wamempigia kura kwa wingi mgombea wa urais kwa tiketi ya chama cha Democratic, Joe Biden na hivyo sasa atakuwa rais wa Marekani.
-
Baada ya kujidhalilisha kwa Wazayuni, Sudan yatolewa katika orodha ya magaidi ya Marekani
Dec 14, 2020 23:01Baada ya serikali ya Sudan kujidhalilisha mbele ya Wazayuni kwa kutangaza uhusiano wa kawaida na watenda jinai hao, serikali ya Marekani imetangaza kuitoa Khartoum katika orodha ya kile kinachodaiwa na Washington kuwa eti ni nchi zinazounga mkono ugaidi.
-
Onyo la mbunge wa Marekani kuhusu hatari ya kugawika vipande vipande nchi hiyo
Dec 14, 2020 23:00Mbunge mmoja wa zamani wa Marekani ameonya kwamba, suala la kugawika vipande vipande nchi hiyo limepata nguvu sana hivi sasa.
-
Askari wa jeshi la kiharamia la Marekani waendelea kupora mafuta ya Syria
Dec 13, 2020 10:33Kwa mara nyingine, askari wa jeshi la Marekani wamepora makumi ya malori ya mafuta ya Syria na kuyahamishia nchi jirani ya Iraq.