Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Marekani yaondoa askari wake Somalia na kuwapeleka katika nchi nyingine za Afrika

    Marekani yaondoa askari wake Somalia na kuwapeleka katika nchi nyingine za Afrika

    Dec 19, 2020 23:54

    Jeshi la Marekani limezindua operesheni ya kuwaondoa askari wake kutoka Somalia na kuwapeleka katika nchi nyingine za Afrika.

  • Yemen yasisitiza kukabiliana na ugaidi wa kimataifa unaoongozwa na Marekani

    Yemen yasisitiza kukabiliana na ugaidi wa kimataifa unaoongozwa na Marekani

    Dec 19, 2020 04:41

    Mjumbe wa Baraza la Kisiasa la Yemen amesisitiza kuwa, nchi hiyo itakabiliana na ugaidi wa kimataifa unaoongozwa na Marekani.

  • Familia za wanajeshi wa Marekani zinahitajia misaada ya chakula

    Familia za wanajeshi wa Marekani zinahitajia misaada ya chakula

    Dec 18, 2020 02:18

    Maafisa wa kijeshi wa Marekani wanaeleza kuwa, familia za wanajeshi nchini humo zinahitajia misaada ya chakula kutokana na kuenea maambukizi ya virusi vya corona.

  • Zarif: Vikwazo vya Washington vimewadhuru Wamarekani wenyewe

    Zarif: Vikwazo vya Washington vimewadhuru Wamarekani wenyewe

    Dec 18, 2020 00:32

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema sera ya vikwazo ya Washington imekuwa na madhara makubwa hata kwa wananchi wa Marekani wenyewe na kampuni zao na hivyo kusababisha ukosefu wa ajira miongoni mwa Wamarekani.

  • Iran yaitaka Marekani iondoe askari wake vamizi nchini Syria

    Iran yaitaka Marekani iondoe askari wake vamizi nchini Syria

    Dec 17, 2020 04:01

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema vikosi vamizi vya nchi ajinabi vikiweko vya Marekani vinapaswa kuondoka nchini Syria mara moja.

  • Marekani yaweka rekodi mpya ya vifo vya Covid-19

    Marekani yaweka rekodi mpya ya vifo vya Covid-19

    Dec 17, 2020 03:59

    Marekani imeweka rekodi mpya ya kutisha ya vifo na maamukizi ya ugonjwa wa Covid-19, ambapo watu 3,700 wameaga dunia kwa maradhi hayo ya kuambukiza, huku kesi mpya 250,000 zikisajiliwa ndani ya masaa 24 jana Jumatano.

  • Ushindi wa Biden katika uchaguzi wa rais Marekani waidhinishwa na  Wajumbe wa Uchaguzi

    Ushindi wa Biden katika uchaguzi wa rais Marekani waidhinishwa na Wajumbe wa Uchaguzi

    Dec 16, 2020 07:37

    Hatimaye, baada ya wiki kadhaa za mvutano wa kisiasa na kisheria nchini Marekani, Wajumbe wa Uchaguzi (Electoral College) wamempigia kura kwa wingi mgombea wa urais kwa tiketi ya chama cha Democratic, Joe Biden na hivyo sasa atakuwa rais wa Marekani.

  • Baada ya kujidhalilisha kwa Wazayuni, Sudan yatolewa katika orodha ya magaidi ya Marekani

    Baada ya kujidhalilisha kwa Wazayuni, Sudan yatolewa katika orodha ya magaidi ya Marekani

    Dec 14, 2020 23:01

    Baada ya serikali ya Sudan kujidhalilisha mbele ya Wazayuni kwa kutangaza uhusiano wa kawaida na watenda jinai hao, serikali ya Marekani imetangaza kuitoa Khartoum katika orodha ya kile kinachodaiwa na Washington kuwa eti ni nchi zinazounga mkono ugaidi.

  • Onyo la mbunge wa Marekani kuhusu hatari ya kugawika vipande vipande nchi hiyo

    Onyo la mbunge wa Marekani kuhusu hatari ya kugawika vipande vipande nchi hiyo

    Dec 14, 2020 23:00

    Mbunge mmoja wa zamani wa Marekani ameonya kwamba, suala la kugawika vipande vipande nchi hiyo limepata nguvu sana hivi sasa.

  • Askari wa jeshi la kiharamia la Marekani waendelea kupora mafuta ya Syria

    Askari wa jeshi la kiharamia la Marekani waendelea kupora mafuta ya Syria

    Dec 13, 2020 10:33

    Kwa mara nyingine, askari wa jeshi la Marekani wamepora makumi ya malori ya mafuta ya Syria na kuyahamishia nchi jirani ya Iraq.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS