Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Iran: Njama mpya za Marekani na Israel dhidi yetu zitafeli

    Iran: Njama mpya za Marekani na Israel dhidi yetu zitafeli

    Oct 28, 2020 04:15

    Katibu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema njama mpya za Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel za kutaka kutoa pigo kwa Iran kupitia uanzishwaji wa uhusiano wa kawaida na Tel Aviv, zitagonga mwamba.

  • Ununuzi wa silaha waongezeka Marekani kwa kiwango cha kutisha wakati wa kukaribia uchaguzi wa rais

    Ununuzi wa silaha waongezeka Marekani kwa kiwango cha kutisha wakati wa kukaribia uchaguzi wa rais

    Oct 25, 2020 23:03

    Kuongezeka ununuzi wa silaha kwa kiwango cha kutisha nchini Marekani kumezidisha hofu na wasiwasi wa kuzuka machafuko baada ya kutangazwa matokeo ya uchaguzi wa rais wa nchi hiyo.

  • Ethiopia yamwita kumsaili balozi wa Marekani kwa matamshi aliyotoa Trump

    Ethiopia yamwita kumsaili balozi wa Marekani kwa matamshi aliyotoa Trump

    Oct 24, 2020 11:11

    Balozi wa Marekani mjini Addis Ababa ameitwa kusailiwa kufuatia kauli aliyotoa Rais Donald Trump wa Marekani kuhusu bwawa la An-Nahdhah au Renaissance.

  • Wasiwasi wa Amnesty International kuhusu ghasia na machafuko katika kampeni za uchaguzi Marekani

    Wasiwasi wa Amnesty International kuhusu ghasia na machafuko katika kampeni za uchaguzi Marekani

    Oct 24, 2020 07:38

    Kupamba moto kampeni za uchaguzi nchini Marekani kwa katika kipindi hiki cha kukaribia tarehe ya uchaguzi wa rais hapo Novemba 3 mwaka huu, na jitihada za Rais Donald Trump wa nchi hiyo ambaye ni mgombea wa chama cha Republican za kutaka kuzusha hali ya mvutano katika jamii ya Marekani, vimeibua hali ya wasiwasi.

  • Amnesty: 75% ya mikutano ya kampeni za uchaguzi Marekani imeshuhudia fujo

    Amnesty: 75% ya mikutano ya kampeni za uchaguzi Marekani imeshuhudia fujo

    Oct 24, 2020 04:22

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeeleza juu ya wasi wasi mkubwa lilionao kutokana na kushtadi vitendo vya ghasia, machafuko na mapigano katika mikutano ya kampeni za uchaguzi mkuu nchini Marekani.

  • Iran yamuwekea vikwazo balozi wa Marekani nchini Iraq kwa ugaidi

    Iran yamuwekea vikwazo balozi wa Marekani nchini Iraq kwa ugaidi

    Oct 24, 2020 04:19

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imemuwekea vikwazo Balozi wa Marekani nchini Iraq, Matthew Tueller kwa kujihusisha na vitendo vya kigaidi.

  • Jaji wa Marekani ataka Bin Salman apandishwe kizimbani kwa jaribio na mauaji ya kigaidi

    Jaji wa Marekani ataka Bin Salman apandishwe kizimbani kwa jaribio na mauaji ya kigaidi

    Oct 24, 2020 00:49

    Jaji wa mahakama moja ya Marekani amemtaka mrithi wa ufalme wa Saudi Arabia, Muhammad bin Salman ajibu mashtaka ya tuhuma za kutaka kumuua kigaidi Saad al Jabri, mkuu wa zamani wa Idara ya Intelijensia la Saudi Arabia aliyekimbilia nchini Canada.

  • Lawama na ukosoaji dhidi ya Marekani kwa kuyatuhumu mashirika matatu ya haki za binadamu kuwa eti yana chuki na Mayahudi

    Lawama na ukosoaji dhidi ya Marekani kwa kuyatuhumu mashirika matatu ya haki za binadamu kuwa eti yana chuki na Mayahudi

    Oct 23, 2020 09:42

    Katika kipindi cha miaka minne ya utawala wake, Rais Donald Trump wa Marekani amechukua hatua nyingi kwa madhumuni ya kuitetea na kuiunga mkono Israel na kuyapiga vita mashirika ya kimataifa ambayo yamechukua msimamo wa kuwatetea na kuwaunga mkono wananchi madhulumu wa Palestina dhidi ya jinai wanazofanyiwa na utawala huo wa Kizayuni.

  • Trump kuziarifisha taasisi za kimataifa za kutetea haki za binadamu kuwa ni

    Trump kuziarifisha taasisi za kimataifa za kutetea haki za binadamu kuwa ni "dhidi ya Uyahudi"

    Oct 23, 2020 07:53

    Serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani ina nia ya kuziarifisha taasisi na jumuiya za kimataifa za kutetea haki za binadamu kuwa "zinapiga vita Uyahudi" (Antisemitism).

  • Madai ya kukaririwa dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kinyume cha ukweli wa mambo

    Madai ya kukaririwa dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kinyume cha ukweli wa mambo

    Oct 23, 2020 04:19

    Anwar Gargash Waziri Mshauri wa Mambo ya Nje katika Umoja wa Falme za Kiarabu ametuma ujumbe kupitia ukurasa wake wa Twitter na kudai kuwa, Iran inavuruga uthabiti katika eneo la Asia Magharibi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS