-
Afrika Kusini yakadhibisha tuhuma za Marekani dhidi ya Iran
Sep 19, 2020 06:34Baada ya Marekani kujiondoa katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, serikali ya Rais Donald Trump ilizidisha mashinikizo ya kiwango cha juu dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa shabaha ya eti kulemaza uchumi wa Iran na imekuwa ikitumia kila liwezekanalo kuanzisha vita vya kinafsi na kisaikolojia ikiwa ni pamoja na kutoa vitisho dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Waziri Zarif amjibu Pompeo: Hakuna kitu kipya kitakachofanyika Septemba 20
Sep 18, 2020 03:39Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amejibu matamshi ya hivi karibuni ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Mike Pompeo juu ya njama za Washington za kutaka kurejesha vikwazo vya Umoja wa Mataifa dhidi ya Iran kwa kutumia mchakato unaofahamika kama 'Snapback Mechanism' na kusisitiza kuwa, 'Hakuna kitu maalumu kitakachofanyika Jumapili ya Septemba 20.'
-
Afrika Kusini: Madai ya Marekani dhidi ya Iran ni ya kustaajabisha
Sep 17, 2020 23:06Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini ameeleza juu ya kustaajabishwa na kushangazwa kwake na madai ya Marekani kuwa Iran inapanga kumuua Lana Marks, Balozi wa Marekani nchini Afrika Kusini.
-
Ombi la Guterres kwa nchi mbalimbali kufanya juhudi za pamoja ili kuyalinda mapatano ya JCPOA
Sep 17, 2020 04:20Baada ya Marekani kujitoa kwa upande mmoja katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA mwezi Mei mwaka 2018 hivi sasa nchi wanachama zilizosalia katika kundi la 4+1 zinasisitiza kuendelea kuwepo mapatano hayo kinyume na mtazamo wa Washington ambayo ilitaka kuchukuliwa hatua sawa na hiyo kutoka kwa wanachama wengine wa kundi la 5+1. Hvi sasa Marekani inafanya njama zake zote kujaribu kuyasambaratisha mapatano hayo ya JCPOA.
-
Mapatano ya kuanzisha uhusiano na Israel ni dhambi isiyosameheka
Sep 17, 2020 01:27Nchi za Imarati na Bahran juzi Septemba 15 zilisaini mapatano ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel. Sherehe ya kutiwa saini mapatano hayo ilifanyika ikulu ya White House mjini Washington chini ya usimamizi wa Rais Donald Trump wa Marekani.
-
Rais Rouhani: Marekani imefeli katika jitihada zake za kutaka kutumia 'Utaratibu wa kifyatuo'
Sep 16, 2020 06:49Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Marekani imefeli na kushindwa katika juhudi zake za kutaka kutumia utaratibu wa kusuluhisha mzozano katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, unaojulikana kama 'Utaratibu wa Kifyatuo' kwa kimombo "Trigger Mechanism".
-
Iran: Hakuna anayejali tena urongo wa vyombo vya intelijensia vya Marekani
Sep 15, 2020 22:09Ubalozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Afrika Kusini umetangaza kuwa, dunia bado haijasahu uongo wa vyombo vya intelijensia vya Marekani uliotumiwa kuanzisha vita dhidi ya Iraq.
-
Palestina: Jumanne ni 'Siku Nyeusi' kwa ulimwengu wa Kiarabu
Sep 15, 2020 02:58Waziri Mkuu wa Palestina amesema ulimwengu wa Kiarabu leo Jumanne utashuhudia 'Siku Nyeusi' katika historia yake, kutokana na hafla itakayofanyika hii leo katika Ikulu ya White House ya Marekani ya kutiwa saini rasmi makubaliano ya kufanywa wa kawaida uhusiano wa nchi mbili za Kiarabu na utawala haramu wa Israel.
-
Sanders: Wamarekani milioni 10 wanasumbuliwa na njaa na ukosefu wa ajira
Sep 15, 2020 02:58Seneta wa jimbo la Vermont nchini Marekani amefichua kuwa, raia milioni 10 wa nchi hiyo wanasumbuliwa na njaa na ukosefu wa ajira.
-
Kukiri Biden kufeli siasa za Trump mbele ya Iran
Sep 15, 2020 02:51Huku wakati wa kufanyika uchaguzi wa Rais wa mwezi Novemba 2020 ukizidi kukabiria nchini Marekani, wagombea wawili wa uchaguzi huo, yaani rais wa hivi sasa Donald Trump na mpinzani wake Joe Biden wa chama cha Democrats kila mmoja amekuwa akitangaza misimamo yake kuhusu masuala mbalimbali ikiwemo misimamo yao kuhusu Iran na mapatano ya nyuklia ya JCPOA.