Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Afrika Kusini yakosoa madai ya viongozi wa Marekani dhidi ya Iran

    Afrika Kusini yakosoa madai ya viongozi wa Marekani dhidi ya Iran

    Sep 14, 2020 22:07

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Afrika Kusini ameyataja madai yaliyotolewa na viongozi wa Marekani dhidi ya Iran kuwa hayana msingi wowote.

  • Haniya: Marekani inajaribu kuanzisha njia za mazungumzo na Hamas

    Haniya: Marekani inajaribu kuanzisha njia za mazungumzo na Hamas

    Sep 14, 2020 03:14

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema Marekani imefungua njia za kuanzisha mazungumzo na maafisa wa ngazi za juu wa harakati hiyo, ili kulishawishi kundi hilo liafiki kutekeleza mpango wa 'Muamala wa Karne.'

  • Rais Rouhani: Marekani imeshindwa vibaya katika njama zake dhidi ya Iran

    Rais Rouhani: Marekani imeshindwa vibaya katika njama zake dhidi ya Iran

    Sep 13, 2020 08:24

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria hatua haribifu za Marekani dhidi ya uchumi wa Iran na kusema kuwa, adui siyo tu kwamba, ameshindwa kufikia malengo yake ya kistratejia, bali amepata pigo lisilo na kifani katika uwanja huo.

  • Trump, Netanyahu washindwa kuvuruga juhudi za kimataifa za kupambana na COVID-19

    Trump, Netanyahu washindwa kuvuruga juhudi za kimataifa za kupambana na COVID-19

    Sep 13, 2020 03:10

    Njama za Marekani na utawala wa Kizayuni za kukwamisha kupasishwa azimio la Umoja wa Mataifa la kuanzisha umoja wa kimataifa wa kupambana na kirusi cha corona, zimegonga mwamba.

  • Lavrov apinga tuhuma kwamba Russia inaingilia uchaguzi wa Marekani

    Lavrov apinga tuhuma kwamba Russia inaingilia uchaguzi wa Marekani

    Sep 13, 2020 03:04

    Uhusiano wa Russia na Marekani umekuwa na mivutano mikubwa baada ya kutokea mgogoro huko Ukraine mwaka 2014. Moja ya kadhia ambazo zimebadilika huko Marekani katika miaka ya karibuni na kuwa dhidi ya Moscow ni mjadala wa madai ya Russia kuingilia uchaguzi wa Marekani. Kwa kuzingatia kukaribia kufanyika uchaguzi wa Rais wa Marekani hivi sasa soko la tuhuma hizo limezidi kupamba moto.

  • Sanders: Trump ni Rais hatari zaidi katika historia ya Marekani

    Sanders: Trump ni Rais hatari zaidi katika historia ya Marekani

    Sep 12, 2020 22:46

    Seneta wa jimbo la Vermont nchini Marekani ametaka kuungana wananchi wa Marekani ili kutoa pigo kwa Rais wa sasa wa nchi hiyo Donald Trump ambaye amemtaja kuwa ni rais hatari zaidi wa Marekani kuwahi kushuhudiwa katika historia ya nchi hiyo.

  • Hizbullah: Wananchi wa Lebanon hawatobadilika kwa sababu ya vikwazo vya Marekani

    Hizbullah: Wananchi wa Lebanon hawatobadilika kwa sababu ya vikwazo vya Marekani

    Sep 12, 2020 21:52

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, siasa za vikwazo za Marekani haziwezi kuwafanya wananchi wa Lebanon walegeze kamba na kubadilisha msimamo wao.

  • Rouhani: White House haifahamu chochote kuhusu ubinadamu

    Rouhani: White House haifahamu chochote kuhusu ubinadamu

    Sep 12, 2020 07:03

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Ikulu ya White House ya Marekani haina ufahamu wowote kuhusu utu na ubinadamu.

  • Mapatano ya Aal Khalifa na utawala wa Kizayuni, chachu ya mapambano ya wananchi wa Bahrain

    Mapatano ya Aal Khalifa na utawala wa Kizayuni, chachu ya mapambano ya wananchi wa Bahrain

    Sep 12, 2020 06:31

    Ikiwa umepita karibu mwezi mmoja tangu Imarati na utawala wa Kizayuni wa Israel zifikie mapatano ya kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia, Rais Doald Trump wa Marekani ametangaza kwamba Bahrain na utawala wa Kizayuni pia zimekubaliana kuanzisha uhusiano kama huo.

  • Sisitizo la Troika ya Ulaya la kutokuwa na itibari jaribio la Marekani la kutaka kurejesha vikwazo dhidi ya Iran

    Sisitizo la Troika ya Ulaya la kutokuwa na itibari jaribio la Marekani la kutaka kurejesha vikwazo dhidi ya Iran

    Sep 12, 2020 02:54

    Baada ya kugonga mwamba hatua za kila aina ilizojaribu kuchukua Marekani ili kurefusha vikwazo vya silaha dhidi ya Iran, Washington iliibua dai la kutaka kurejesha vikwazo vya kimataifa dhidi ya Tehran, ambavyo viliondolewa baada ya kufikiwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA;

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS