Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Sisitizo la Troika ya Ulaya la kutokuwa na itibari jaribio la Marekani la kutaka kurejesha vikwazo dhidi ya Iran

    Sisitizo la Troika ya Ulaya la kutokuwa na itibari jaribio la Marekani la kutaka kurejesha vikwazo dhidi ya Iran

    Sep 12, 2020 02:54

    Baada ya kugonga mwamba hatua za kila aina ilizojaribu kuchukua Marekani ili kurefusha vikwazo vya silaha dhidi ya Iran, Washington iliibua dai la kutaka kurejesha vikwazo vya kimataifa dhidi ya Tehran, ambavyo viliondolewa baada ya kufikiwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA;

  • Mahakama ya Marekani yataka kusailiwa maafisa wanne wa Saudi Arabia kwa kuhusika na mashambulizi ya Septemba 11

    Mahakama ya Marekani yataka kusailiwa maafisa wanne wa Saudi Arabia kwa kuhusika na mashambulizi ya Septemba 11

    Sep 11, 2020 09:52

    Baada ya mashambulizi ya Septemba 11 mwaka 2001 Marekani ilijinadi kuwa kinara wa mapambano dhidi ya ugaidi duniani na ikachukua hatua ya kuzivamia nchi za Iraq na Afghanistan.

  • Jaji wa New York ataka maafisa 4 wa Saudia wakamatwe kwa kuhusika na mashambulizi ya Septemba 11

    Jaji wa New York ataka maafisa 4 wa Saudia wakamatwe kwa kuhusika na mashambulizi ya Septemba 11

    Sep 11, 2020 06:52

    Jaji wa Mahakama ya Federa ya New York nchini Marekani ametoa wito wa kusailiwa maafisa wanne wa serikali ya Saudia kuhusiana na mashambulizi ya Septemba 11 mwaka 2001 katika miji ya New York na Washington.

  • Kupunguzwa askari wa Marekani nchini Iraq, hatua ya hiari au isiyo na budi?

    Kupunguzwa askari wa Marekani nchini Iraq, hatua ya hiari au isiyo na budi?

    Sep 11, 2020 03:06

    Rais Donald Trump wa Marekani aliahidi na kusisitiza wakati wa kampeni zake za uchaguzi kwamba, endapo atachaguliwa kuwa Rais basi atayaondoa majeshi ya nchi hiyo yaliyopo katika eneo la Asia Magharibi.

  • Ripoti:Trump alijigamba kumkingia kifua Bin Salman baada ya mauaji ya Khashoggi

    Ripoti:Trump alijigamba kumkingia kifua Bin Salman baada ya mauaji ya Khashoggi

    Sep 11, 2020 02:35

    Rais Donald Trump wa Marekani alijisifu na kuona fahari kumkingia kifua Muhammad bin Salman, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia, baada ya mauaji ya kikatili ya Jamal Khashoggi, aliyekuwa mwandishi habari na mkosoaji mkubwa wa utawala wa Aal-Saud mwaka 2018.

  • Ijumaa tarehe 11 Septemba 2020

    Ijumaa tarehe 11 Septemba 2020

    Sep 10, 2020 22:06

    Leo ni Ijumaa tarehe 22 Muharram 1442 Hijria sawa na tarehe 11 Septemba 2020.

  • Biden: Trump amewasaliti Wamarekani kwa kuwaficha hatari ya corona

    Biden: Trump amewasaliti Wamarekani kwa kuwaficha hatari ya corona

    Sep 10, 2020 01:42

    Hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kukiri kwamba, "alidogesha" hatari na tishio la virusi vya corona imekabiliwa na hujuma kali ya mgombea wa chama cha Democratic katika uchaguzi ujao wa rais, Joe Biden.

  • Watu 10 wauawa katika ufyatuaji risasi katika mji wa Chicago nchini Marekani

    Watu 10 wauawa katika ufyatuaji risasi katika mji wa Chicago nchini Marekani

    Sep 09, 2020 20:43

    Watu 10 wameuawa kwenye matukio ya ufyatuaji risasi katika mji wa Chicago kwenye jimbo la Illinois nchini Marekani.

  • Zaidi ya nusu milioni ya watoto wa Marekani wamekumbwa na COVID-19

    Zaidi ya nusu milioni ya watoto wa Marekani wamekumbwa na COVID-19

    Sep 09, 2020 07:07

    Kituo maalumu cha kushughulikia watoto nchini Marekani kimetangaza kuwa, zaidi ya nusu milioni ya watoto wa nchi hiyo wamekumbwa na kirusi cha corona.

  • Makumi ya mamilioni ya watu wamekuwa wakimbizi duniani kwa sababu ya vita vya Marekani

    Makumi ya mamilioni ya watu wamekuwa wakimbizi duniani kwa sababu ya vita vya Marekani

    Sep 08, 2020 22:01

    Ripoti mpya inaonesha kuwa makumi ya mamilioni ya watu wamekuwa wakimbizi katika maeneo mbalimbali ya dunia kwa sababu ya vita vya Marekani katika maeneo mbalimbali ya dunia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS