Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Yemen: Marekani ni mama wa ugaidi na mtengenezaji wa migogoro

    Yemen: Marekani ni mama wa ugaidi na mtengenezaji wa migogoro

    Oct 13, 2020 22:53

    Mkurugenzi wa Idara ya Baraza Kuu ya Siasa ya Yemen amesema kuwa Marekani ndio mama wa ugaidi na muanzishaji wa migogoro inayolisumbua taifa la Yemen.

  • Ndoto za alinacha za Trump za kufanya mazungumzo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Ndoto za alinacha za Trump za kufanya mazungumzo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Oct 13, 2020 22:53

    Rais Donald Trump wa Marekani akiwa na lengo la kujijengea nafasi nzuri wakati huu wa kukaribia uchaguzi nchini humo, anahitajia kutoa madai ya kufanikiwa katika sera za kigeni za nchi hiyo hasa kuhusiana na Iran.

  • Utafiti: Corona imeua Wamarekani wengi zaidi ya inavyoripotiwa

    Utafiti: Corona imeua Wamarekani wengi zaidi ya inavyoripotiwa

    Oct 13, 2020 04:38

    Utafiti mpya unaonesha kuwa, idadi kubwa ya wananchi wa Marekani wamepoteza maisha kutokana na ugonjwa wa Covid-19 zaidi ya takwimu rasmi zilizotolewa.

  • El-Baradei: Mashinikizo ya kiwango cha juu zaidi ya Marekani dhidi ya Iran yamefeli

    El-Baradei: Mashinikizo ya kiwango cha juu zaidi ya Marekani dhidi ya Iran yamefeli

    Oct 13, 2020 04:18

    Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) amekosoa vikali sera ya mashinikizo ya juu kabisa ya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kusisitiza kuwa, mashinikizo hayo yamegonga mwamba.

  • Khatibzadeh: Vikwazo vya silaha dhidi ya Iran vitaondolewa tarehe 18 Oktoba

    Khatibzadeh: Vikwazo vya silaha dhidi ya Iran vitaondolewa tarehe 18 Oktoba

    Oct 12, 2020 23:11

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, muda wa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran unatarajiwa kumalizika usiku wa tarehe 18 mwezi huu.

  • Malengo ya Marekani ya kushadidisha vikwazo dhidi ya Iran; kwa mtazamo wa Waziri wa Ulinzi

    Malengo ya Marekani ya kushadidisha vikwazo dhidi ya Iran; kwa mtazamo wa Waziri wa Ulinzi

    Oct 12, 2020 07:38

    Sambamba na kuvunja vibaya maazimio na sheria za kimataifa, Marekani imeamua pia kuwawekea wananchi wa Iran vikwazo vya kidhalimu na inaendesha vita vya pande zote vya kiuchumi dhidi ya taifa hilo kubwa la Kiislamu.

  • Trump azuiwa kutumia bajeti ya masuala ya kijeshi kujenga ukuta wa mpakani

    Trump azuiwa kutumia bajeti ya masuala ya kijeshi kujenga ukuta wa mpakani

    Oct 12, 2020 04:10

    Mahakama ya Rufaa nchini Marekani imetangaza kuwa ni marufuku na kupinga ombi la Trump aliyetaka kustafidi na bajeti ya kijeshi kwa ajili ya kujenga ukuta wa mpakani.

  • Harakati ya Muqawama ya Iraq yatahadharisha kuhusu kuchelewa Marekani kuondoka nchini humo

    Harakati ya Muqawama ya Iraq yatahadharisha kuhusu kuchelewa Marekani kuondoka nchini humo

    Oct 11, 2020 23:39

    Msemaji wa Harakati ya Kataeb Hizbullah ya Iraq ameashiria ombi la Marekani la kusitishwa operesheni zinazolenga vikosi vya nchi hiyo na kusisitiza kuwa: Wanamapambano wa Iraq hawatakaa kimya hata kidogo mkabala na kuchelewa Washington kuondoa wanajeshi wake katika ardhi ya Iraq.

  • Iran: Marekani ni kidhabi kwa kudai vikwazo vipya havilengi sekta ya afya

    Iran: Marekani ni kidhabi kwa kudai vikwazo vipya havilengi sekta ya afya

    Oct 11, 2020 08:41

    Waziri wa Afya wa Iran amelaani hatua ya Marekani ya kuliwekea vikwazo shadidi taifa hili na kubainisha kuwa, utawala wa Washington umekubuhu kwa kusema uwongo, kwa madai yake kuwa vikwazo vipya dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu havilengi sekta ya afya na tiba.

  • Marekani yaiba tena mafuta ya Syria na kuyapeleka Iraq

    Marekani yaiba tena mafuta ya Syria na kuyapeleka Iraq

    Oct 11, 2020 08:36

    Msafara wa malori 20 ya Marekani yaliyobeba mafuta ghafi yaliyoibwa kutoka visima vya mafuta vya Syria umeelekea nchini Iraq.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS