-
Sisitizo la Troika ya Ulaya la kutokuwa na itibari jaribio la Marekani la kutaka kurejesha vikwazo dhidi ya Iran
Sep 12, 2020 02:54Baada ya kugonga mwamba hatua za kila aina ilizojaribu kuchukua Marekani ili kurefusha vikwazo vya silaha dhidi ya Iran, Washington iliibua dai la kutaka kurejesha vikwazo vya kimataifa dhidi ya Tehran, ambavyo viliondolewa baada ya kufikiwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA;
-
Mahakama ya Marekani yataka kusailiwa maafisa wanne wa Saudi Arabia kwa kuhusika na mashambulizi ya Septemba 11
Sep 11, 2020 09:52Baada ya mashambulizi ya Septemba 11 mwaka 2001 Marekani ilijinadi kuwa kinara wa mapambano dhidi ya ugaidi duniani na ikachukua hatua ya kuzivamia nchi za Iraq na Afghanistan.
-
Jaji wa New York ataka maafisa 4 wa Saudia wakamatwe kwa kuhusika na mashambulizi ya Septemba 11
Sep 11, 2020 06:52Jaji wa Mahakama ya Federa ya New York nchini Marekani ametoa wito wa kusailiwa maafisa wanne wa serikali ya Saudia kuhusiana na mashambulizi ya Septemba 11 mwaka 2001 katika miji ya New York na Washington.
-
Kupunguzwa askari wa Marekani nchini Iraq, hatua ya hiari au isiyo na budi?
Sep 11, 2020 03:06Rais Donald Trump wa Marekani aliahidi na kusisitiza wakati wa kampeni zake za uchaguzi kwamba, endapo atachaguliwa kuwa Rais basi atayaondoa majeshi ya nchi hiyo yaliyopo katika eneo la Asia Magharibi.
-
Ripoti:Trump alijigamba kumkingia kifua Bin Salman baada ya mauaji ya Khashoggi
Sep 11, 2020 02:35Rais Donald Trump wa Marekani alijisifu na kuona fahari kumkingia kifua Muhammad bin Salman, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia, baada ya mauaji ya kikatili ya Jamal Khashoggi, aliyekuwa mwandishi habari na mkosoaji mkubwa wa utawala wa Aal-Saud mwaka 2018.
-
Ijumaa tarehe 11 Septemba 2020
Sep 10, 2020 22:06Leo ni Ijumaa tarehe 22 Muharram 1442 Hijria sawa na tarehe 11 Septemba 2020.
-
Biden: Trump amewasaliti Wamarekani kwa kuwaficha hatari ya corona
Sep 10, 2020 01:42Hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kukiri kwamba, "alidogesha" hatari na tishio la virusi vya corona imekabiliwa na hujuma kali ya mgombea wa chama cha Democratic katika uchaguzi ujao wa rais, Joe Biden.
-
Watu 10 wauawa katika ufyatuaji risasi katika mji wa Chicago nchini Marekani
Sep 09, 2020 20:43Watu 10 wameuawa kwenye matukio ya ufyatuaji risasi katika mji wa Chicago kwenye jimbo la Illinois nchini Marekani.
-
Zaidi ya nusu milioni ya watoto wa Marekani wamekumbwa na COVID-19
Sep 09, 2020 07:07Kituo maalumu cha kushughulikia watoto nchini Marekani kimetangaza kuwa, zaidi ya nusu milioni ya watoto wa nchi hiyo wamekumbwa na kirusi cha corona.
-
Makumi ya mamilioni ya watu wamekuwa wakimbizi duniani kwa sababu ya vita vya Marekani
Sep 08, 2020 22:01Ripoti mpya inaonesha kuwa makumi ya mamilioni ya watu wamekuwa wakimbizi katika maeneo mbalimbali ya dunia kwa sababu ya vita vya Marekani katika maeneo mbalimbali ya dunia.