Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Asilimia 79 ya wananchi wa Marekani hawana imani na chanjo ya corona

    Asilimia 79 ya wananchi wa Marekani hawana imani na chanjo ya corona

    Sep 08, 2020 08:08

    Chunguzi za maoni zilizofanywa hivi karibuni nchini Marekani zinaonyesha kuwa Wamarekani wengi hawana imani na chanjo ya corona. Uchunguzi huo unaonesha kuwa asilimia 79 ya watu nchini Marekani wanasema kuwa hana imani na chanjo ya virusi vya corona.

  • Migongano katika yasemwayo na yatendwayo na utawala wa Aal Saud kuhusu suala la kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israel

    Migongano katika yasemwayo na yatendwayo na utawala wa Aal Saud kuhusu suala la kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israel

    Sep 08, 2020 02:45

    Mfalme Salman bin Abdulaziz wa Saudi Arabia amesema katika mazungumzo aliyofanya kwa njia ya simu na Rais Donald Trump wa Marekani kwamba kuundwa nchi huru ya Palestina ndilo sharti la nchi yake kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.

  • Wanajeshi wawili wa serikali wauawa, afisa wa jeshi la Marekani ajeruhiwa Somalia

    Wanajeshi wawili wa serikali wauawa, afisa wa jeshi la Marekani ajeruhiwa Somalia

    Sep 07, 2020 10:02

    Wanajeshi wawili wa kikosi maalumu cha Somalia wameuawa na afisa mmoja wa jeshi la Marekani amejeruhiwa katika mripuko wa bomu uliotokea leo Jumatatu nje ya kambi ya kijeshi ya kusini mwa nchi hiyo.

  • Malalamiko ya Sudan kuhusu mashinikizo ya Marekani ya kuwa na uhusiano na Israel

    Malalamiko ya Sudan kuhusu mashinikizo ya Marekani ya kuwa na uhusiano na Israel

    Sep 06, 2020 07:12

    Serikali ya Trump muda wote imekuwa ikijionesha ni mtumishi asiye na doa wa malengo ya utawala wa Israel na imekuwa ikichukua hatua mbalimbali kama kuzilazimisha nchi za Kiarabu na za Waislamu kutangaza uhusiano wa kawaida na utawala huo wa Kizayuni. Hata hivyo baadhi ya nchi kama Sudan zimeamua kupinga na pia kukabiliana na njama hizo.

  • Hamas yakanusha madai ya kukamatwa wanachama wake 2 na Marekani

    Hamas yakanusha madai ya kukamatwa wanachama wake 2 na Marekani

    Sep 06, 2020 03:07

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imekadhibisha vikali madai kwamba Marekani imewatia mbaroni watu wawili wenye mfungamano na harakati hiyo.

  • Makabiliano ya Marekani na China Mashariki mwa Asia

    Makabiliano ya Marekani na China Mashariki mwa Asia

    Sep 05, 2020 06:38

    Waziri wa Mambo ya Nje wa China amewatolea wito wanachama wa Jumuiya ya Nchi za Kusini Mashariki mwa Asia (ASEAN) kuendelea kupinga uingiliaji wa Marekani katika eneo hilo.

  • Rais wa Baraza Kuu la UN atofautiana na Trump kuhusu chanjo ya corona

    Rais wa Baraza Kuu la UN atofautiana na Trump kuhusu chanjo ya corona

    Sep 05, 2020 06:18

    Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa amesema chanjo ya ugonjwa wa Covid-19 inapasa wapewe watu wote wanaoihitaji, na kwamba kuna udharura kwa nchi zote kushirikishwa katika mchakato wa kutengeneza na kugawa chanjo yenyewe.

  • Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya sekta ya Petrokemikali ya Iran, kielelezo cha kuishiwa na kupumbaa Washington

    Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya sekta ya Petrokemikali ya Iran, kielelezo cha kuishiwa na kupumbaa Washington

    Sep 04, 2020 06:52

    Katika hatua za kutaka kuiburuza na kuilazimisha Iran isalimu amri kwa matakwa yake haramu na ya kinyume cha sheria, Serikali ya Trump iliamua kuanzisha vita vya mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu; na baada ya kujitoa kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA mnamo mwezi Mei 2018, ilianza kuiwekea Tehran vikwazo vikali zaidi kuwahi kushuhudiwa.

  • Madai ya kupewa sumu Navalny, kisingizio kipya cha Magharibi kwa ajili ya kuishinikiza Russia

    Madai ya kupewa sumu Navalny, kisingizio kipya cha Magharibi kwa ajili ya kuishinikiza Russia

    Sep 04, 2020 02:52

    Umoja wa Ulaya na Marekani zimekuwa zikiishinikiza Russia kupitia njia ya kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo kwa kuwaunga mkono wapinzani wa serikali ya Moscow na kutumia madai ya kutetea haki za binadamu.

  • Baada ya vitisho, Marekani yatangaza tarehe ya kujiondoa WHO

    Baada ya vitisho, Marekani yatangaza tarehe ya kujiondoa WHO

    Sep 04, 2020 02:40

    Miezi michache baada ya Marekani kuamua kulikatia misaada yote ya kifedha Shirika la Afya Duniani kwa madai kwamba linadhibitiwa na China, sasa utawala wa Donald Trump umeenda mbali zaidi ya kuainisha tarehe ya kujiondoa WHO.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS