-
EU yaiunga mkono Mahakama ya Kimataifa ya Jinai mkabala wa Marekani
Sep 03, 2020 22:47Umoja wa Ulaya umetangaza kuwa unaiunga mkono Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) baada ya serikali ya Marekani kuwawekea vikwazo maafisa wawili wa ngazi za juu wa taasisi hiyo ya kimataifa.
-
Vikwazo vya Marekani dhidi ya maafisa wa ngazi za juu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai
Sep 03, 2020 22:18Katika kipindi cha utawala wa Donald Trump nchini Marekani serikali ya Washington imechukua msimamo hasi na wa kihasama dhidi ya taasisi na jumuiya za kimataifa.
-
"Vipigo dhidi ya Marekani katika Baraza la Usalama vimetokana na kusimama kidete Wairani"
Sep 03, 2020 22:12Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kushindwa mtawalia njama za Marekani katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kumetokana na kusimama kidete taifa hili.
-
Sanders akosoa ubaguzi na dhulma za kiuchumi nchini Marekani
Sep 02, 2020 23:39Seneta wa jimbo la Vermont nchini Marekani amekosoa vikali dhulma na ubaguzi mkubwa wa kiuchumi unaoshuhudiwa nchini humo na kusema kuwa, utajiri wa watu watatu tu wa Marekani unazidi utajiri wa nusu ya jamii ya watu wa nchi hiyo.
-
'Vyama vya Democrat na Republican Marekani vinajali zaidi manufaa yao badala ya wananchi'
Sep 02, 2020 10:25Matokeo ya uchunguzi mpya wa maoni uliofanywa nchini Marekani yanaonyesha kuwa, Wamarekani wengi wanahisi kuwa, vyama vyote viwili vya nchi hiyo vya Democrat na Republican vinatanguiliza mbele manufaa ya kichama kuliko ya wananchi.
-
Araqchi: Wanachama wa JCPOA hawaitambui Marekani kama mshirika wao
Sep 01, 2020 23:01Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na masuala ya kisiasa amesema nchi zilizosalia katika makubaliano ya nyuklia ya Iran haziitambui Marekani kuwa mwanachama au mshirika wa mapatano hayo ya kimataifa.
-
Upinzani wa Marekani kwa azimio la Baraza la Usalama kuhusu matakfiri; kutengwa zaidi Washington
Sep 01, 2020 22:12Marekani imekuwa na nafasi muhimu katika kuibuka na kuenea makundi ya kigaidi na kitakfiri hususan kundi la kigaidi la Daesh tangu kuanza mgogoro nchini Syria mwaka 2011.
-
Marekani yalipigia veto azimio jipya la UN kuhusu magaidi wa kitakfiri
Sep 01, 2020 08:20Marekani imelipigia kura ya veto azimio jipya la Umoja wa Mataifa kuhusu magaidi wa kitakfiri katika kuendelea kushtadi hitilafu kati ya Washington na wanachama wengine wa Baraza la Usalama la umoja huo.
-
Rais Rouhani: Mitazamo ya Iran na Niger katika masuala ya kimataifa inafanana
Sep 01, 2020 03:18Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika mazungumzo yake ya simu na mwenzake wa Niger kuwa nchi mbili hizi zimekuwa na ushirikiano amilifu na mitazamo inayofanana katika masuala na taasisi za kimataifa na kubainisha kuwa, nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika bila shaka itakabiliana na uchukuaji wa maamuzi ya upande mmoja wa Marekani katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
-
Iran: Marekani haina haki wala kibali cha kutumia "Snapnack Mechanism"
Sep 01, 2020 03:16Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema Marekani haina haki, idhini wala kibali cha kutumia utaratibu wa kurejesha upya vikwazo ilivyokuwa imewekewa Iran huko nyuma na UN unaofahamika kama 'Snapback Mechanism."