Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • EU yaiunga mkono Mahakama ya Kimataifa ya Jinai mkabala wa Marekani

    EU yaiunga mkono Mahakama ya Kimataifa ya Jinai mkabala wa Marekani

    Sep 03, 2020 22:47

    Umoja wa Ulaya umetangaza kuwa unaiunga mkono Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) baada ya serikali ya Marekani kuwawekea vikwazo maafisa wawili wa ngazi za juu wa taasisi hiyo ya kimataifa.

  • Vikwazo vya Marekani dhidi ya maafisa wa ngazi za juu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai

    Vikwazo vya Marekani dhidi ya maafisa wa ngazi za juu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai

    Sep 03, 2020 22:18

    Katika kipindi cha utawala wa Donald Trump nchini Marekani serikali ya Washington imechukua msimamo hasi na wa kihasama dhidi ya taasisi na jumuiya za kimataifa.

  • "Vipigo dhidi ya Marekani katika Baraza la Usalama vimetokana na kusimama kidete Wairani"

    Sep 03, 2020 22:12

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kushindwa mtawalia njama za Marekani katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kumetokana na kusimama kidete taifa hili.

  • Sanders akosoa ubaguzi na dhulma za kiuchumi nchini Marekani

    Sanders akosoa ubaguzi na dhulma za kiuchumi nchini Marekani

    Sep 02, 2020 23:39

    Seneta wa jimbo la Vermont nchini Marekani amekosoa vikali dhulma na ubaguzi mkubwa wa kiuchumi unaoshuhudiwa nchini humo na kusema kuwa, utajiri wa watu watatu tu wa Marekani unazidi utajiri wa nusu ya jamii ya watu wa nchi hiyo.

  • 'Vyama vya Democrat na Republican Marekani vinajali zaidi manufaa yao badala ya wananchi'

    'Vyama vya Democrat na Republican Marekani vinajali zaidi manufaa yao badala ya wananchi'

    Sep 02, 2020 10:25

    Matokeo ya uchunguzi mpya wa maoni uliofanywa nchini Marekani yanaonyesha kuwa, Wamarekani wengi wanahisi kuwa, vyama vyote viwili vya nchi hiyo vya Democrat na Republican vinatanguiliza mbele manufaa ya kichama kuliko ya wananchi.

  • Araqchi: Wanachama wa JCPOA hawaitambui Marekani kama mshirika wao

    Araqchi: Wanachama wa JCPOA hawaitambui Marekani kama mshirika wao

    Sep 01, 2020 23:01

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na masuala ya kisiasa amesema nchi zilizosalia katika makubaliano ya nyuklia ya Iran haziitambui Marekani kuwa mwanachama au mshirika wa mapatano hayo ya kimataifa.

  • Upinzani wa Marekani kwa azimio la Baraza la Usalama kuhusu matakfiri; kutengwa zaidi Washington

    Upinzani wa Marekani kwa azimio la Baraza la Usalama kuhusu matakfiri; kutengwa zaidi Washington

    Sep 01, 2020 22:12

    Marekani imekuwa na nafasi muhimu katika kuibuka na kuenea makundi ya kigaidi na kitakfiri hususan kundi la kigaidi la Daesh tangu kuanza mgogoro nchini Syria mwaka 2011.

  • Marekani yalipigia veto azimio jipya la UN kuhusu magaidi wa kitakfiri

    Marekani yalipigia veto azimio jipya la UN kuhusu magaidi wa kitakfiri

    Sep 01, 2020 08:20

    Marekani imelipigia kura ya veto azimio jipya la Umoja wa Mataifa kuhusu magaidi wa kitakfiri katika kuendelea kushtadi hitilafu kati ya Washington na wanachama wengine wa Baraza la Usalama la umoja huo.

  • Rais Rouhani: Mitazamo ya Iran na Niger katika masuala ya kimataifa inafanana

    Rais Rouhani: Mitazamo ya Iran na Niger katika masuala ya kimataifa inafanana

    Sep 01, 2020 03:18

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika mazungumzo yake ya simu na mwenzake wa Niger kuwa nchi mbili hizi zimekuwa na ushirikiano amilifu na mitazamo inayofanana katika masuala na taasisi za kimataifa na kubainisha kuwa, nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika bila shaka itakabiliana na uchukuaji wa maamuzi ya upande mmoja wa Marekani katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • Iran: Marekani haina haki wala kibali cha kutumia

    Iran: Marekani haina haki wala kibali cha kutumia "Snapnack Mechanism"

    Sep 01, 2020 03:16

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema Marekani haina haki, idhini wala kibali cha kutumia utaratibu wa kurejesha upya vikwazo ilivyokuwa imewekewa Iran huko nyuma na UN unaofahamika kama 'Snapback Mechanism."

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS