-
Safari ya Mike Pompeo kusini mwa Ghuba ya Uajemi na kukaririwa madai yasiyo na msingi wowote
Aug 28, 2020 01:59Marekani daima ikiwa na lengo la kuendeleza uwepo wake wa kijiopolitiki katika eneo la Ghuba ya Uajemi imekuwa ikitumia vizingizio visivyokuwa na maana hususan kupiga kwake ngoma ya kueneza chuki chidi ya Iran.
-
Harris: Sera za Trump dhidi ya Iran zimeifanya Marekani itengwe zaidi
Aug 27, 2020 21:53Makamu wa Joe Biden, mgombea wa chama cha Democratic katika uchaguzi wa rais wa mwezi Novemba mwaka huu nchini Marekani amesema sera za Rais Donald Trump dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran zimeifanya nchi hiyo itengwe zaidi wakati huu kuliko wakati wowote ule.
-
Marekani na wizi wa mafuta ya Syria
Aug 27, 2020 21:52Nchi tatu za Iran, Russia na Uturuki zimetoa taarifa ya pamoja mwishoni mwa kikao cha tatu cha Kamati ya Katiba ya Syria zikilaani wizi wa mafuta unaofanywa na Marekani nchini Syria.
-
Kuumbuka tena Marekani kwa kukataliwa takwa lake la kutekeleza "Snapback Mechanism" na Rais wa Baraza la Usalama la UN
Aug 26, 2020 08:18Baada ya Marekani kugonga mwamba kwa kushindwa kufanikisha njama yake ya kurefusha vikwazo vya silaha dhidi ya Iran kupitia Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, iliamua kuwasilisha shtaka jengine dhidi ya Tehran kwa kisingizio kuwa eti imekiuka msingi wa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kwa hivyo ikataka utekelezwe Utaratibu wa Kurejesha Vikwazo Papo kwa Papo, unaojulikana kitaalamu kama 'Snapback Mechanism';
-
Makamu wa Rais wa Iran: Ukatili wa polisi ya Marekani unatokana na fikra za kibaguzi
Aug 26, 2020 03:08Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, ukatili wa polisi ya Marekani unatokana na chuki ya kihistoria yenye mizizi katika fikra ya ubaguzi wa rangi inayotawala nchi hiyo.
-
Sudan yataka kuondolewa katika orodha ya ugaidi, yakataa kuanzisha uhusiano na Israel
Aug 26, 2020 01:38Serikali ya Sudan imetoa taarifa ikiiambia Marekani kwamba suala la kuondolewa jina la Sudan katika orodha ya magaidi halipasi kushurutishwa na kuanzisha uhusiano wa kidoplomasia na utawala haramu wa Israel.
-
Kampuni ya TikTok ya China kumshtaki Rais Trump wa Marekani
Aug 25, 2020 22:18Kampuni ya TikTok ya China imefungua kesi ya kupinga amri ya Rais Donal Trump wa Marekani inayozuia shughuli zozote za kampuni mama ya kampuni ,ByteDance, kuendesha shughuli zake nchini Marekani.
-
Safari ya kieneo ya Mike Pompeo; juhudi za kuupa uhalali utawala wa Kizayuni wa Israel
Aug 25, 2020 07:49Katika kipindi cha uongozi wa Rais Donal Trump nchini Marekani, nchi hiyo imefanya mambo na kuchukua hatua ambazo hazijawahi kushuhudiwa huko nyuma kwa maslahi ya utawala haramu wa Israel.
-
Zarif aushangaa uchu wa Pompeo wa kurundika silaha za US Asia Magharibi
Aug 25, 2020 03:36Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemkosoa vikali Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani kwa kuvunja sheria za nchi hiyo ili kukidhi uchu wake wa kutaka kuuza silaha za kijeshi kwa wingi katika nchi za eneo la Asia Magharibi.
-
Allawi atahadharisha kuhusu njama za Marekani dhidi ya Iraq
Aug 23, 2020 21:58Mkuu wa Muungano wa al Wataniya wa Iraq amesema kuwa Marekani ikishirikiana na Uingereza na Ufaransa, inaongoza njama dhidi ya Iraq kwa kisingizio cha muungano wa kimataifa dhidi ya kundi la kigaidi la Daesh.