Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Upinzani wa wanachama 13 wa Baraza la Usalama kwa ombi la Marekani la kuanzisha utaratibu wa

    Upinzani wa wanachama 13 wa Baraza la Usalama kwa ombi la Marekani la kuanzisha utaratibu wa "Snapback Mechanism"

    Aug 22, 2020 05:57

    Kushindwa Marekani katika njama zake za kulazimisha kukubaliwa pendekezo la kuiongezea Iran muda wa vikwazo vya silaha katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kumeipelekea Washington kuchukua hatua ya kukurupuka ya kuwasilisha ombi la kuanzisha utaratibu wa kurejesha vikwazo vya Umoja wa Mataifa dhidi ya Iran papo kwa hapo yaani "Snapback Mechanism." Ombi hilo la Marekani hata hivyo nalo limepingwa vikali ndani ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • Migawanyiko ya kisiasa yazidi Iraq baada ya safari ya Waziri Mkuu Al Kadhimi nchini Marekani

    Migawanyiko ya kisiasa yazidi Iraq baada ya safari ya Waziri Mkuu Al Kadhimi nchini Marekani

    Aug 22, 2020 03:02

    Safari ya Waziri Mkuu wa Iraq Mustafa al Kadhimi nchini Marekani na mkutano wake na Rais Donald Trump wa nchi hiyo huku kukiwa na mgongano wa wazi baina ya "yale yanayosemwa" na "uhalisia wa mambo."

  • Al Kadhimi: Wanajeshi wa Marekani wataondoka Iraq katika kipindi cha miaka mitatu

    Al Kadhimi: Wanajeshi wa Marekani wataondoka Iraq katika kipindi cha miaka mitatu

    Aug 21, 2020 22:28

    Waziri Mkuu wa Iraq ameeleza yaliyojiri katika mazungumzo yake na viongozi wa Marekani katika safari yake nchini humo akisema kwamba: Trump amesisitiza kuwa wanajeshi wa Marekani wataondoka Iraq katika muda wa miaka mitatu ijayo.

  • Spika wa Kongresi: Marekani inakabiliana na janga na mgogoro mbaya zaidi wa kiuchumi na kiafya

    Spika wa Kongresi: Marekani inakabiliana na janga na mgogoro mbaya zaidi wa kiuchumi na kiafya

    Aug 21, 2020 05:52

    Spika wa Kongresi ya Marekani kwa mara nyingine tena amemshambulia na kumkosoa Rais wa nchi hiyo, Doland Trump na kiongozi wa waliowengi katika Baraza la Seneti la Marekani, Mitch McConnell.

  • Malengo ya safari ya Mustafa al Kadhimi nchini Marekani

    Malengo ya safari ya Mustafa al Kadhimi nchini Marekani

    Aug 20, 2020 03:30

    Waziri Mkuu wa Iraq, Mustafa al Kadhimi amewasili Washington kwa safari ya kikazi ya siku mbili na leo Alkhamisi tarehe 20 Agosti alitazamiwa kukutana na kufanya mazungumzo na Rais Donald Trump wa Marekani.

  • Kupinga Umoja wa Ulaya hatua ya Marekani ya kutaka kutumia ‘Utaratibu wa Kifyatuo’

    Kupinga Umoja wa Ulaya hatua ya Marekani ya kutaka kutumia ‘Utaratibu wa Kifyatuo’

    Aug 18, 2020 06:24

    Kushindwa kwa fedheha Marekani katika kupasishwa azimio ililopendekeza katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwa ajili ya kuongezwa muda wa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran kumeisukuma Washington na kuifanya ifikirie kutumia nyenzo nyingine kama utaratibu wa kusuluhisha mzozano katika JCPOA, unaojulikana kama "Utaratibu wa Kifyatuo", kwa kimombo "Trigger Mechanism".

  • 'Marekani kumtawaza Ufalme Bin Salman baada ya Saudia kuanzisha rasmi uhusiano na Israel'

    'Marekani kumtawaza Ufalme Bin Salman baada ya Saudia kuanzisha rasmi uhusiano na Israel'

    Aug 17, 2020 23:20

    Mfichuaji mashuhuri wa siri za aila ya kifalme ya Aal Saud amefichua kuwa, Marekani imemwahidi mrithi wa ufalme wa Saudi Arabia Mohammad bin Salman kuwa itamwezesha kushika ufalme huo baada ya nchi hiyo kuanzisha rasmi uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Matukio ya Uturuki na mashariki mwa Mediterania

    Matukio ya Uturuki na mashariki mwa Mediterania

    Aug 17, 2020 08:58

    Mawaziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Uturuki na Marekani wamekutana katika Jamhuri ya Dominican na kujadiliana kuhusu matukio ya eneo la mashariki mwa Bahari ya Mediterania na nchi ya Libya.

  • Rais Rouhani: Trump amefanya jinai na uovu mkubwa zaidi kwa taifa la Iran

    Rais Rouhani: Trump amefanya jinai na uovu mkubwa zaidi kwa taifa la Iran

    Aug 17, 2020 01:38

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema serikali ya Marekani inatumia mabavu na kukiuka sheria za kimataifa na kuongeza kuwa: Rais wa sasa wa Marekani amefanya uovu na jinai mbaya zaidi dhidi ya taifa la Iran.

  • Mufti Mkuu wa Iraq atoa wito wa kuanzishwa mapambano dhidi ya uvamizi wa Marekani

    Mufti Mkuu wa Iraq atoa wito wa kuanzishwa mapambano dhidi ya uvamizi wa Marekani

    Aug 16, 2020 06:59

    Mufti Mkuu wa Waislamu wa madhehebu ya Kisuni nchini Iraq ametoa wtito kwa vijana kujiandaa kwa ajili ya kuanzisha mapambano dhidi ya uvamizi wa Marekani katika nchi hiyo ya Kiarabu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS