• Vurugu na machafuko Asia Magharibi; natija ya sera za Marekani

    Vurugu na machafuko Asia Magharibi; natija ya sera za Marekani

    Sep 20, 2020 22:56

    Marekani kwa mara nyingine tena imetoa taarifa ikiituhumu Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwamba, eti inazusha vurugu na machafuko katika eneo la Asia Magharibi.

  • Madai ya Marekani kuhusu kurejeshwa vikwazo vya kimataifa dhidi ya Iran; ndoto na kujidanganya kwake

    Madai ya Marekani kuhusu kurejeshwa vikwazo vya kimataifa dhidi ya Iran; ndoto na kujidanganya kwake

    Sep 20, 2020 05:56

    Kugonga mwamba Marekani katika juhudi zake za kutaka muda wa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran uongezwe katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, kuliifanya serikali ya Donald Trump sambamba na kuibuka na madai kuwa, ni mwanachama wa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kwamba, Iran imekiuka makubaliano hayo, ilidai kurejea upya vikwazo vya kimataifa dhidi ya Tehran na ikatoa muhula wa mwezi mmoja katika uwanja huo

  • Yaliyomo kwenye mpango wa Marekani wa kutaka kumuengua Mahmoud Abbas

    Yaliyomo kwenye mpango wa Marekani wa kutaka kumuengua Mahmoud Abbas

    Sep 20, 2020 03:31

    David Friedman, Balozi wa Marekani katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) Alhamisi iliyopita alisema kuwa; Marekani inafikiria kumweka Mohammed Dahlan, kiongozi wa zamani wa harakati ya Fat-h kwenye uongozi wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina kuchukua nafasi ya Mahmoud Abbas, rais wa sasa wa mamlaka hiyo.

  • Marekani yaendelea kupora mafuta ya Syria, malori 30 yahamishiwa Iraq

    Marekani yaendelea kupora mafuta ya Syria, malori 30 yahamishiwa Iraq

    Sep 20, 2020 03:17

    Shirika rasmi la habari la Syria SANA limeripoti kuwa, askari wa jeshi la kigaidi la Marekani wameiba malori 30 ya mafuta ya nchi hiyo na kuyahamishia nchi jirani ya Iraq.

  • Biden amtaka Trump ang'atuke madarakani

    Biden amtaka Trump ang'atuke madarakani

    Sep 20, 2020 02:49

    Mgombea urais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Democrat amemtaka rais wa nchi hiyo Donald Trump ang'atuke madarakani kwa sababu ya uongozi mbovu alioonyesha katika kukabiliana na virusi vya corona.

  • Vyombo vya Usalama Afrika Kusini: Hakuna ushahidi wa madai ya US dhidi ya Iran

    Vyombo vya Usalama Afrika Kusini: Hakuna ushahidi wa madai ya US dhidi ya Iran

    Sep 19, 2020 08:26

    Idara ya Usalama wa Taifa ya Afrika Kusini imesema hakuna ushahidi wowote iliyoupata wa madai ya Marekani kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inapanga kumuua Lana Marks, Balozi wa Marekani katika nchi hiyo ya kusini mwa Afrika.

  • Ufaransa yakadhibisha madai ya Marekani dhidi ya Hizbullah

    Ufaransa yakadhibisha madai ya Marekani dhidi ya Hizbullah

    Sep 19, 2020 08:19

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Ufaransa imesema hakuna ushadidi wowote unaoonyesha kuwa tawi la kijeshi la harakati ya Hizbullah ya Lebanon limefanya magendo ya kemikali kwa ajili ya kutengeneza mada za mlipuko nchini Ufaransa, kama inavyodai Marekani.

  • Afrika Kusini yakadhibisha tuhuma za Marekani dhidi ya Iran

    Afrika Kusini yakadhibisha tuhuma za Marekani dhidi ya Iran

    Sep 19, 2020 06:34

    Baada ya Marekani kujiondoa katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, serikali ya Rais Donald Trump ilizidisha mashinikizo ya kiwango cha juu dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa shabaha ya eti kulemaza uchumi wa Iran na imekuwa ikitumia kila liwezekanalo kuanzisha vita vya kinafsi na kisaikolojia ikiwa ni pamoja na kutoa vitisho dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.

  • Waziri Zarif amjibu Pompeo: Hakuna kitu kipya kitakachofanyika Septemba 20

    Waziri Zarif amjibu Pompeo: Hakuna kitu kipya kitakachofanyika Septemba 20

    Sep 18, 2020 03:39

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amejibu matamshi ya hivi karibuni ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Mike Pompeo juu ya njama za Washington za kutaka kurejesha vikwazo vya Umoja wa Mataifa dhidi ya Iran kwa kutumia mchakato unaofahamika kama 'Snapback Mechanism' na kusisitiza kuwa, 'Hakuna kitu maalumu kitakachofanyika Jumapili ya Septemba 20.'

  • Afrika Kusini: Madai ya Marekani dhidi ya Iran ni ya kustaajabisha

    Afrika Kusini: Madai ya Marekani dhidi ya Iran ni ya kustaajabisha

    Sep 17, 2020 23:06

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini ameeleza juu ya kustaajabishwa na kushangazwa kwake na madai ya Marekani kuwa Iran inapanga kumuua Lana Marks, Balozi wa Marekani nchini Afrika Kusini.