-
Kauli ya Wizara ya Ulinzi ya Afghanistan kufuatia kupunguzwa idadi ya wanajeshi wa Marekani walioko nchini humo
Aug 11, 2020 02:27Wizara ya Ulinzi ya Afghanistan imetangaza kuwa, askari wa jeshi la nchi hiyo wanao uwezo wa kuilinda nchi yao na kupambana na magaidi. Kauli hiyo ya Wizara ya Ulinzi wa Afghanistan imetolewa kufuatia uamuzi wa Marekani wa kuendelea kupunguza idadi ya wanajeshi wake walioko nchini humo.
-
Safari ya waziri wa Marekani Taiwan; kuongezeka mvutano kati ya China na Marekani
Aug 10, 2020 06:31Licha ya upinzani mkali wa China, Waziri wa Afya na Huduma za Kibinadamu wa Marekani jana Jumapili alifanya safari huko Taiwan akiwa ameandamana na ujumbe wa ngazi za juu wa nchi hiyo.
-
Watu 21 wapigwa risasi mjini Washington, DC Marekani
Aug 10, 2020 03:37Watu 21 wamepigwa risasi katika mji mkuu wa Marekani, Washington DC, ambapo hadi sasa mtu mmoja anaripotiwa kupoteza maisha.
-
Uungaji mkono wa wazi wa Marekani kwa hatua za uharibifu nchini Lebanon
Aug 10, 2020 01:58Marekani imeshadidisha hatua na mwenendo wake wa uingiliaji masuala ya ndani ya Lebanon kwa shabaha ya kudhoofisha mhimili wa muqawama na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah.
-
Bunge la Iraq kufungua faili la vibaraka za Saudia wenye mfungamano na Marekani
Aug 09, 2020 23:55Mjumbe wa Kamati ya Uhusiano wa Kigeni ya Bunge la Iraq amesema kuwa bunge hilo na jumuiya za wananchi zinafanya jitihada za kufungua faili la vibaraka wa Saudi Arabia wenye mfungamano na Marekani nchini Iraq.
-
Ethiopia yatishia kuvunja uhusiano na Marekani, yasema Washington ndio itayopata hasara
Aug 09, 2020 03:43Ethiopia imetishia kuvunja uhusiano wake wa kidiplomasia na Marekani kufuatia uingiliaji kati wa Washington katika kadhia ya Bwawa la Renaissance la Addis Ababa.
-
Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu kuhusu jinai ya Marekani katika kudondosha bomu la atomiki Hiroshima
Aug 09, 2020 02:44Mwezi Agosti mwaka 1945 Marekani ilishambulia mji wa Hiroshima kwa bomu la nyuklia na kuua watu zaidi ya laki moja; hii ndio hulka ya kibeberu ya jeshi la Marekani, kutokuwa na dini, kutomwamini Mwenyezi Mungu na utovu wa maadili wa Marekani.
-
Hitilafu kali za Ujerumani na Ufaransa dhidi ya Marekani kuhusu marekebisho katika shirika la WHO
Aug 08, 2020 22:48Kushindwa serikali ya Rais Donald Trump kudhibiti maambukizi ya virusi vya COVID-19 nchini Marekani kumemfanya rais huyo ajaribu kuwepa lawama za kufeli huko kwa kulituhumu Shirika la Afya Duniani WHO kuwa lilifeli katika utekelezaji wa majukumu yake.
-
Wataalamu wa UN wataka kuondolewa vikwazo haramu vya Marekani dhidi ya nchi mbalimbali
Aug 08, 2020 09:05Wataalamu wa Umoja wa Mataifa wametoa wito wa kuondolewa vikwazo vya upande mmoja vya Marekani na nchi za Magharibi dhidi ya nchi mbalimbali hususan katika kipindi hiki cha maambukizi ya virusi vya corona.
-
Ethiopia yalalamikia utendaji wa Marekani kuhusu mazungumzo ya Bwawa la al-Nahdha
Aug 08, 2020 03:45Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Ethiopia imetangaza kuwa, mashinikizo ya Marekani dhidi ya nchi hiyo ili ifanye mazungumzo na Misri na Sudan kuhusiana na Bwawa la al-Nahdha yatakuwa na taathira hasi kwa uhusiano wa Washington na Addis Ababa.