-
Kufeli siasa za Marekani mkabala na Iran; kuendelea kugonga mwamba ndoto za Trump
Aug 08, 2020 03:15Hakuna siku inayopita bila viongozi wa Marekani kutoa misimamo mikali dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, suala ambalo mara nyingi hudhihirisha mgongano wa misimamo yao na kupelekea baadhi ya vyombo vya nchi hiyo ya Magharibi kukiri kuwa hiyo ni ishara ya kushindwa siasa za Washington mkabala na Iran.
-
Dakta Fauci atishiwa kuuawa
Aug 07, 2020 23:54Mkurugenzi wa Taasisi ya Taifa ya Mzio na Magonjwa ya kuambukiza ya Marekani (NIAID) ametangaza kuwa yeye na familia wake wamekuwa wakipokea vitisho vya kuuliwa kutokana matamshi aliyoyatoa kuhusu maambukizi ya virusi vya corona nchini humo.
-
Kujiuzulu Brian Hook; nembo ya kufeli wenzo wa mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa dhidi ya Iran
Aug 07, 2020 08:19Serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani ikitumia wenzo wa mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa, iliiwekea Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vikwazo ambavyo havijawahi kushuhudiwa.
-
China: Misimamo ya kisiasa iepukwe katika kukabiliana na ugaidi
Aug 07, 2020 02:32Mwakilishi wa kudumu wa China katika Umoja wa Mataifa ametilia mkazo udharura wa kuwekwa kando mienendo ya kindumakuwili na misimamo ya kisiasa katika kupambana na ugaidi.
-
Kuendelea ushirikiano wa Iran na Venezuela licha ya vitisho vya Marekani
Aug 06, 2020 01:57Ushirikiano wa kibiashara na kisiasa wa Iran na Venezuela unaendelea kuimarika licha ya kuwepo vitisho na vikwazo vya Marekani. Kutumwa meli za mafuta za Iran nchini Venezuela mwezi uliopita ilikuwa hatua ya kwanza katika uwanja huo na sasa Iran imechukua hatua nyingine ya kufungua duka kubwa la bidhaa zake katika mki mkuu wa nchi hiyo, Caracas.
-
Trump: Kuingilia masuala ya magharibi mwa Asia ni kosa kubwa la kihistoria
Aug 04, 2020 06:51Rais wa Marekani amekiri kuwa kitendo cha kuingilia masuala ya eneo la magharibi mwa Asia lilikuwa kosa kubwa katika historia ya nchi hiyo.
-
Iran yamtia mbaroni kiongozi wa kundi la kigaidi la Tondar lenye makao yake nchini Marekani
Aug 01, 2020 09:17Vikosi vya Usalama vya Iran vimemtia mbaroni Jamshid Sharmahd, kiongozi wa kundi la kigaidi la Tondar lenye makao yake nchini Marekani.
-
Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu: Vikwazo vya Marekani ni jinai dhidi ya taifa la Iran
Aug 01, 2020 02:22Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei amevitaja vikwazo vya Marekani kuwa ni kitendo cha jinai dhidi ya taifa la Iran na ametoa wito wa kusimama kidete kukabiliana na adui huyo.
-
Uchumi wa Marekani wavunja rekodi, waporomoka kwa asilimia 32.9
Jul 31, 2020 21:55Uchumi wa Marekani uliporomoka kwa asilimia 32.9 katika robo ya pili ya mwaka huu, kiwango ambacho ni kikubwa zaidi kuwahi kushuhudiwa tangu mwaka 1947.
-
'Ndege zisizo na rubani za Marekani na Israel ndizo zilizoshambulia kambi za Al-Hashdu-Sha'abi ya Iraq'
Jul 30, 2020 21:56Mbunge wa Iraq Falih al-Khazali amesema, kuna nyaraka zinazoonyesha kuwa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel ndizo zilizohusika katika hujuma ya shambulio la kijeshi dhidi ya vituo vya jeshi la kujitolea la wananchi wa nchi hiyo la Al-Hashdu-Sha'abi.