Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Kufeli siasa za Marekani mkabala na Iran; kuendelea kugonga mwamba ndoto za Trump

    Kufeli siasa za Marekani mkabala na Iran; kuendelea kugonga mwamba ndoto za Trump

    Aug 08, 2020 03:15

    Hakuna siku inayopita bila viongozi wa Marekani kutoa misimamo mikali dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, suala ambalo mara nyingi hudhihirisha mgongano wa misimamo yao na kupelekea baadhi ya vyombo vya nchi hiyo ya Magharibi kukiri kuwa hiyo ni ishara ya kushindwa siasa za Washington mkabala na Iran.

  • Dakta Fauci atishiwa kuuawa

    Dakta Fauci atishiwa kuuawa

    Aug 07, 2020 23:54

    Mkurugenzi wa Taasisi ya Taifa ya Mzio na Magonjwa ya kuambukiza ya Marekani (NIAID) ametangaza kuwa yeye na familia wake wamekuwa wakipokea vitisho vya kuuliwa kutokana matamshi aliyoyatoa kuhusu maambukizi ya virusi vya corona nchini humo.

  • Kujiuzulu Brian Hook; nembo ya kufeli wenzo wa mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa dhidi ya Iran

    Kujiuzulu Brian Hook; nembo ya kufeli wenzo wa mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa dhidi ya Iran

    Aug 07, 2020 08:19

    Serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani ikitumia wenzo wa mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa, iliiwekea Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vikwazo ambavyo havijawahi kushuhudiwa.

  • China: Misimamo ya kisiasa iepukwe katika kukabiliana na ugaidi

    China: Misimamo ya kisiasa iepukwe katika kukabiliana na ugaidi

    Aug 07, 2020 02:32

    Mwakilishi wa kudumu wa China katika Umoja wa Mataifa ametilia mkazo udharura wa kuwekwa kando mienendo ya kindumakuwili na misimamo ya kisiasa katika kupambana na ugaidi.

  • Kuendelea ushirikiano wa Iran na Venezuela licha ya vitisho vya Marekani

    Kuendelea ushirikiano wa Iran na Venezuela licha ya vitisho vya Marekani

    Aug 06, 2020 01:57

    Ushirikiano wa kibiashara na kisiasa wa Iran na Venezuela unaendelea kuimarika licha ya kuwepo vitisho na vikwazo vya Marekani. Kutumwa meli za mafuta za Iran nchini Venezuela mwezi uliopita ilikuwa hatua ya kwanza katika uwanja huo na sasa Iran imechukua hatua nyingine ya kufungua duka kubwa la bidhaa zake katika mki mkuu wa nchi hiyo, Caracas.

  • Trump: Kuingilia masuala ya magharibi mwa Asia ni kosa kubwa la kihistoria

    Trump: Kuingilia masuala ya magharibi mwa Asia ni kosa kubwa la kihistoria

    Aug 04, 2020 06:51

    Rais wa Marekani amekiri kuwa kitendo cha kuingilia masuala ya eneo la magharibi mwa Asia lilikuwa kosa kubwa katika historia ya nchi hiyo.

  • Iran yamtia mbaroni kiongozi wa kundi la kigaidi la Tondar lenye makao yake nchini Marekani

    Iran yamtia mbaroni kiongozi wa kundi la kigaidi la Tondar lenye makao yake nchini Marekani

    Aug 01, 2020 09:17

    Vikosi vya Usalama vya Iran vimemtia mbaroni Jamshid Sharmahd, kiongozi wa kundi la kigaidi la Tondar lenye makao yake nchini Marekani.

  • Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu: Vikwazo vya Marekani ni jinai dhidi ya taifa la Iran

    Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu: Vikwazo vya Marekani ni jinai dhidi ya taifa la Iran

    Aug 01, 2020 02:22

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei amevitaja vikwazo vya Marekani kuwa ni kitendo cha jinai dhidi ya taifa la Iran na ametoa wito wa kusimama kidete kukabiliana na adui huyo.

  • Uchumi wa Marekani wavunja rekodi, waporomoka kwa asilimia 32.9

    Uchumi wa Marekani wavunja rekodi, waporomoka kwa asilimia 32.9

    Jul 31, 2020 21:55

    Uchumi wa Marekani uliporomoka kwa asilimia 32.9 katika robo ya pili ya mwaka huu, kiwango ambacho ni kikubwa zaidi kuwahi kushuhudiwa tangu mwaka 1947.

  • 'Ndege zisizo na rubani za Marekani na Israel ndizo zilizoshambulia kambi za Al-Hashdu-Sha'abi ya Iraq'

    'Ndege zisizo na rubani za Marekani na Israel ndizo zilizoshambulia kambi za Al-Hashdu-Sha'abi ya Iraq'

    Jul 30, 2020 21:56

    Mbunge wa Iraq Falih al-Khazali amesema, kuna nyaraka zinazoonyesha kuwa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel ndizo zilizohusika katika hujuma ya shambulio la kijeshi dhidi ya vituo vya jeshi la kujitolea la wananchi wa nchi hiyo la Al-Hashdu-Sha'abi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS