-
Waziri wa Mambo ya Nje wa China: Marekani ni mwangamizi mkubwa kabisa wa nidhamu ya kimataifa
Jul 29, 2020 22:04Waziri wa Mambo ya Nje wa China amesema, serikali ya Marekani ni mwangamizi mkubwa kabisa wa nidhamu ya kimataifa.
-
Vikwazo vya Umoja wa Ulaya dhidi ya China, siasa za kundumakuwili za Brussels
Jul 29, 2020 22:03Ikiwa ni katika kudumishwa siasa za mashinikizo za nchi za Magharibi dhidi ya China, Umoja wa Ulaya kama ilivyofanya Marekani, umeiwekea vikwazo Beijing kwa kisingizio cha kutoheshimu haki za binadamu.
-
Tukio la kushushwa bendera ya Marekani katika majengo ya ubalozi mdogo wa nchi hiyo katika mji wa Chengdu
Jul 29, 2020 01:30Vyombo vya habari vya China juzi viliripoti kuwa bendera ya Marekani imeshushwa na kuondolewa katika majengo ya ubalozi mdogo wa nchi hiyo katika mji wa Chengdu.
-
Theluthi mbili ya Wamarekani wanaunga mkono maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi
Jul 28, 2020 22:01Katika kila Wamarekani watatu, wawili kati yao wanaunga mkono maandamano yanayoendelea kufanyika katika kila pembe ya nchi hiyo kulalamikia dhulma na uonevu unaofanywa kwa sababu ya asili na rangi ya ngozi ya mtu.
-
Pompeo adai kampuni ya Huawei ya China inakiuka haki za binadamu
Jul 28, 2020 00:13Katika kuendelea prppaganda chafu za Washington dhidi ya Beijing, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani amedai kuwa kampuni kubwa ya China ya Huawei inakiuka haki za binadamu.
-
Kupasisha Marekani msaada wa dola bilioni 38 kwa ajili ya utawala haramu wa Israel
Jul 27, 2020 22:00Jumapili ya tarehe 26 Julai, Kongresi ya Marekani ilipasisha msaada wa kifedha kwa utawala haramu wa Israel wa dola bilioni 38 katika kipindi cha miaka kumi.
-
Hamas yapinga misaada ya kifedha ya Marekani kwa utawala haramu wa Israel
Jul 27, 2020 08:34Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, (HAMAS) imepinga hatua ya Kongresi ya Marekani ya kupasisha bajeti ya msaada wa kifedha kwa ajili ya utawala wa Kizayuni wa Israel na kutangaza kuwa: Hatua hiyo inaimarisha mienendo ya kibabe na ukiukaji wa sheria za kimataifa.
-
Uchunguzi: Familia milioni 26 nchini Marekani zinakabiliwa na njaa
Jul 26, 2020 20:59Matokeo ya uchunguzi mpya uliofanywa nchini Marekani yanaonyesha kuwa, familia milioni 26 nchini humo hazina chakula cha kutosha.
-
CNN: Pompeo ndiye waziri mbaya zaidi wa mambo ya nje katika historia ya Marekani
Jul 26, 2020 01:32Televisheni ya CNN ya Marekani imemtaja Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa nchi hiyo, Mike Pompeo kuwa ndiye waziri mbaya zaidi wa mambo ya nje katika historia ya Marekani.
-
Balozi wa Syria Tehran: Uchokozi wa Marekani dhidi ya ndege ya abiria ya Iran ni ugaidi
Jul 25, 2020 22:11Balozi wa Syria mjini Tehran amesema, uchokozi wa ndege za kivita za Marekani dhidi ya ndege ya abiria ya Iran katika anga ya Syria ni nembo na dhihirisho la ugaidi wa Marekani dhidi ya raia wakiwemo wanawake na watoto.