Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Hamas yakanusha madai ya kukamatwa wanachama wake 2 na Marekani

    Hamas yakanusha madai ya kukamatwa wanachama wake 2 na Marekani

    Sep 06, 2020 03:07

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imekadhibisha vikali madai kwamba Marekani imewatia mbaroni watu wawili wenye mfungamano na harakati hiyo.

  • Makabiliano ya Marekani na China Mashariki mwa Asia

    Makabiliano ya Marekani na China Mashariki mwa Asia

    Sep 05, 2020 06:38

    Waziri wa Mambo ya Nje wa China amewatolea wito wanachama wa Jumuiya ya Nchi za Kusini Mashariki mwa Asia (ASEAN) kuendelea kupinga uingiliaji wa Marekani katika eneo hilo.

  • Rais wa Baraza Kuu la UN atofautiana na Trump kuhusu chanjo ya corona

    Rais wa Baraza Kuu la UN atofautiana na Trump kuhusu chanjo ya corona

    Sep 05, 2020 06:18

    Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa amesema chanjo ya ugonjwa wa Covid-19 inapasa wapewe watu wote wanaoihitaji, na kwamba kuna udharura kwa nchi zote kushirikishwa katika mchakato wa kutengeneza na kugawa chanjo yenyewe.

  • Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya sekta ya Petrokemikali ya Iran, kielelezo cha kuishiwa na kupumbaa Washington

    Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya sekta ya Petrokemikali ya Iran, kielelezo cha kuishiwa na kupumbaa Washington

    Sep 04, 2020 06:52

    Katika hatua za kutaka kuiburuza na kuilazimisha Iran isalimu amri kwa matakwa yake haramu na ya kinyume cha sheria, Serikali ya Trump iliamua kuanzisha vita vya mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu; na baada ya kujitoa kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA mnamo mwezi Mei 2018, ilianza kuiwekea Tehran vikwazo vikali zaidi kuwahi kushuhudiwa.

  • Madai ya kupewa sumu Navalny, kisingizio kipya cha Magharibi kwa ajili ya kuishinikiza Russia

    Madai ya kupewa sumu Navalny, kisingizio kipya cha Magharibi kwa ajili ya kuishinikiza Russia

    Sep 04, 2020 02:52

    Umoja wa Ulaya na Marekani zimekuwa zikiishinikiza Russia kupitia njia ya kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo kwa kuwaunga mkono wapinzani wa serikali ya Moscow na kutumia madai ya kutetea haki za binadamu.

  • Baada ya vitisho, Marekani yatangaza tarehe ya kujiondoa WHO

    Baada ya vitisho, Marekani yatangaza tarehe ya kujiondoa WHO

    Sep 04, 2020 02:40

    Miezi michache baada ya Marekani kuamua kulikatia misaada yote ya kifedha Shirika la Afya Duniani kwa madai kwamba linadhibitiwa na China, sasa utawala wa Donald Trump umeenda mbali zaidi ya kuainisha tarehe ya kujiondoa WHO.

  • EU yaiunga mkono Mahakama ya Kimataifa ya Jinai mkabala wa Marekani

    EU yaiunga mkono Mahakama ya Kimataifa ya Jinai mkabala wa Marekani

    Sep 03, 2020 22:47

    Umoja wa Ulaya umetangaza kuwa unaiunga mkono Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) baada ya serikali ya Marekani kuwawekea vikwazo maafisa wawili wa ngazi za juu wa taasisi hiyo ya kimataifa.

  • Vikwazo vya Marekani dhidi ya maafisa wa ngazi za juu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai

    Vikwazo vya Marekani dhidi ya maafisa wa ngazi za juu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai

    Sep 03, 2020 22:18

    Katika kipindi cha utawala wa Donald Trump nchini Marekani serikali ya Washington imechukua msimamo hasi na wa kihasama dhidi ya taasisi na jumuiya za kimataifa.

  • "Vipigo dhidi ya Marekani katika Baraza la Usalama vimetokana na kusimama kidete Wairani"

    Sep 03, 2020 22:12

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kushindwa mtawalia njama za Marekani katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kumetokana na kusimama kidete taifa hili.

  • Sanders akosoa ubaguzi na dhulma za kiuchumi nchini Marekani

    Sanders akosoa ubaguzi na dhulma za kiuchumi nchini Marekani

    Sep 02, 2020 23:39

    Seneta wa jimbo la Vermont nchini Marekani amekosoa vikali dhulma na ubaguzi mkubwa wa kiuchumi unaoshuhudiwa nchini humo na kusema kuwa, utajiri wa watu watatu tu wa Marekani unazidi utajiri wa nusu ya jamii ya watu wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS