Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Sisistizo la Borrell kuhusu kulindwa JCPOA; nara isiyotekelezeka kivitendo

    Sisistizo la Borrell kuhusu kulindwa JCPOA; nara isiyotekelezeka kivitendo

    Jul 20, 2020 02:17

    Umoja wa Ulaya (EU) na Troika ya Ulaya inayoundwa na Ujerumani, Ufaransa na Ujerumani ni pande zilizokuwa na nafasi muhimu katika kufikiwa mapatano ya nyuklia ya Iran maarufu kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).

  • Uingereza yaionya tena Washington kuhusu kesi ya jasusi wa Marekani

    Uingereza yaionya tena Washington kuhusu kesi ya jasusi wa Marekani

    Jul 19, 2020 19:57

    Kwa mara nyingine Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza ameionya Washington kuhusu kesi ya jasusi wa nchi hiyo ambaye amemuua kijana mmoja raia wa Uingereza na kukimbilia Marekani.

  • Ni bora Marekani ikiri imeshindwa na Iran badala ya kutoa vitisho vya kipuuzi

    Ni bora Marekani ikiri imeshindwa na Iran badala ya kutoa vitisho vya kipuuzi

    Jul 19, 2020 06:34

    Ali Shamkhani, Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran ametuma ujumbe kupitia Twitter akimhutubu Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani kwa kusema: "Itakuwa bora iwapo Washington itakiri kushindwa na Iran yenye nguvu badala ya kutoa vitisho vya kipuuzi na visivyoweza kutekelezeka."

  • Borell akosoa vikwazo vya Marekani dhidi ya nchi mbalimbali

    Borell akosoa vikwazo vya Marekani dhidi ya nchi mbalimbali

    Jul 18, 2020 08:25

    Mkuu wa Siasa za Nje wa Umoja wa Ulaya amekosoa vikwazo vinavyowekwa na Marekani dhidi ya nchi nyingine vikiwemo vikwazo vya nchi hiyo dhidi ya mradi wa pili wa ujenzi wa bomba la gesi wa Russia kuelekea Ulaya wa Nord Stream 2.

  • Bolton: Ni baidi Trump kushinda tena katika uchaguzi wa urais 2020

    Bolton: Ni baidi Trump kushinda tena katika uchaguzi wa urais 2020

    Jul 17, 2020 10:13

    Mshauri wa zamani wa usalama wa taifa wa Marekani amesema, ni jambo lililo mbali kwa Donald Trump kushinda tena katika uchaguzi wa rais wa nchi hiyo utakaofanyika mwezi Novemba mwaka huu.

  • Deutsche Welle: Sera za Marekani na nchi za Magharibi nchini Syria zimeshindwa kikamilifu

    Deutsche Welle: Sera za Marekani na nchi za Magharibi nchini Syria zimeshindwa kikamilifu

    Jul 17, 2020 10:12

    Tovuti ya habari ya shirika la habari la Ujerumani Deutsche Welle DW imesisitiza kuwa, sera za Marekani na nchi za Ulaya huko Syria zimegonga mwamba na kushindwa kikamilifu.

  • Wimbi la malalamiko mitandaoni baada ya Google kuiondoa Palestina katika ramani ya dunia

    Wimbi la malalamiko mitandaoni baada ya Google kuiondoa Palestina katika ramani ya dunia

    Jul 17, 2020 03:38

    Shirika la intaneti la Google limejiwa juu na watumiaji wa mitandao mbali mbali ya kijamii baada ya kuiondoa "Palestina" katika ramani zake za dunia, na badala yake kupachika jina la "Israel."

  • Uingiliaji wa kifidhuli wa Donald Trump katika masuala ya ndani ya Iran

    Uingiliaji wa kifidhuli wa Donald Trump katika masuala ya ndani ya Iran

    Jul 16, 2020 22:10

    Tangu Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yalipopata ushindi mwaka 1979 kwa uongozi wa Imam Ruhullah Khomeini Marekani daima imekuwa na utendaji hasi na wa kihasama dhidi ya taifa hili la Kiislamu.

  • Mary Trump: Rais Trump ni mtu hatari, anapaswa kujiuzulu

    Mary Trump: Rais Trump ni mtu hatari, anapaswa kujiuzulu

    Jul 16, 2020 03:06

    Mpwa wa Donald Trump amesema rais huyo wa Marekani ni mtu hatari ambaye anapaswa kujiuzulu wadhifa wake wa urais mara moja.

  • Trump aghairi uamuzi wake dhidi ya wanafunzi wa kigeni baada ya kuzidiwa na mashinikizo

    Trump aghairi uamuzi wake dhidi ya wanafunzi wa kigeni baada ya kuzidiwa na mashinikizo

    Jul 15, 2020 03:12

    Rais Donald Trump wa Marekani ameghairi uamuzi wake wa kufuta viza za wanafunzi wa kigeni katika vyuo vikuu vya Marekani baada ya kukabiliwa na mashinikizo makubwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS