-
Sisistizo la Borrell kuhusu kulindwa JCPOA; nara isiyotekelezeka kivitendo
Jul 20, 2020 02:17Umoja wa Ulaya (EU) na Troika ya Ulaya inayoundwa na Ujerumani, Ufaransa na Ujerumani ni pande zilizokuwa na nafasi muhimu katika kufikiwa mapatano ya nyuklia ya Iran maarufu kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).
-
Uingereza yaionya tena Washington kuhusu kesi ya jasusi wa Marekani
Jul 19, 2020 19:57Kwa mara nyingine Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza ameionya Washington kuhusu kesi ya jasusi wa nchi hiyo ambaye amemuua kijana mmoja raia wa Uingereza na kukimbilia Marekani.
-
Ni bora Marekani ikiri imeshindwa na Iran badala ya kutoa vitisho vya kipuuzi
Jul 19, 2020 06:34Ali Shamkhani, Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran ametuma ujumbe kupitia Twitter akimhutubu Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani kwa kusema: "Itakuwa bora iwapo Washington itakiri kushindwa na Iran yenye nguvu badala ya kutoa vitisho vya kipuuzi na visivyoweza kutekelezeka."
-
Borell akosoa vikwazo vya Marekani dhidi ya nchi mbalimbali
Jul 18, 2020 08:25Mkuu wa Siasa za Nje wa Umoja wa Ulaya amekosoa vikwazo vinavyowekwa na Marekani dhidi ya nchi nyingine vikiwemo vikwazo vya nchi hiyo dhidi ya mradi wa pili wa ujenzi wa bomba la gesi wa Russia kuelekea Ulaya wa Nord Stream 2.
-
Bolton: Ni baidi Trump kushinda tena katika uchaguzi wa urais 2020
Jul 17, 2020 10:13Mshauri wa zamani wa usalama wa taifa wa Marekani amesema, ni jambo lililo mbali kwa Donald Trump kushinda tena katika uchaguzi wa rais wa nchi hiyo utakaofanyika mwezi Novemba mwaka huu.
-
Deutsche Welle: Sera za Marekani na nchi za Magharibi nchini Syria zimeshindwa kikamilifu
Jul 17, 2020 10:12Tovuti ya habari ya shirika la habari la Ujerumani Deutsche Welle DW imesisitiza kuwa, sera za Marekani na nchi za Ulaya huko Syria zimegonga mwamba na kushindwa kikamilifu.
-
Wimbi la malalamiko mitandaoni baada ya Google kuiondoa Palestina katika ramani ya dunia
Jul 17, 2020 03:38Shirika la intaneti la Google limejiwa juu na watumiaji wa mitandao mbali mbali ya kijamii baada ya kuiondoa "Palestina" katika ramani zake za dunia, na badala yake kupachika jina la "Israel."
-
Uingiliaji wa kifidhuli wa Donald Trump katika masuala ya ndani ya Iran
Jul 16, 2020 22:10Tangu Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yalipopata ushindi mwaka 1979 kwa uongozi wa Imam Ruhullah Khomeini Marekani daima imekuwa na utendaji hasi na wa kihasama dhidi ya taifa hili la Kiislamu.
-
Mary Trump: Rais Trump ni mtu hatari, anapaswa kujiuzulu
Jul 16, 2020 03:06Mpwa wa Donald Trump amesema rais huyo wa Marekani ni mtu hatari ambaye anapaswa kujiuzulu wadhifa wake wa urais mara moja.
-
Trump aghairi uamuzi wake dhidi ya wanafunzi wa kigeni baada ya kuzidiwa na mashinikizo
Jul 15, 2020 03:12Rais Donald Trump wa Marekani ameghairi uamuzi wake wa kufuta viza za wanafunzi wa kigeni katika vyuo vikuu vya Marekani baada ya kukabiliwa na mashinikizo makubwa.