Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • UN yakosoa athari mbaya za misimamo hasi ya Trump kwa uhuru wa vyombo vya habari

    UN yakosoa athari mbaya za misimamo hasi ya Trump kwa uhuru wa vyombo vya habari

    Jul 15, 2020 01:48

    Tangu alipochukua hatamu za kuiongoza Marekani tarehe 20 Januari mwaka 2017, Rais Donald Trump amekua akielekeza panga lake kali kwenye vyombo vya habari vinavyokosoa utendaji na mienendo yake.

  • Rais Rouhani: Iran itaibuka mshindi katika vita vya kiuchumi vya Marekani

    Rais Rouhani: Iran itaibuka mshindi katika vita vya kiuchumi vya Marekani

    Jul 13, 2020 22:49

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema ushirikiano na mshikamano uliopo miongoni mwa mihimili mitatu ya dola, bila shaka utaipelekea Iran kuibuka mshindi katika vita vya kiuchumi vya Marekani dhidi ya taifa hili.

  • Kuporomoka husiano wa Marekani na Russia

    Kuporomoka husiano wa Marekani na Russia

    Jul 13, 2020 22:10

    Uhusiano wa Marekani na Russsia umekuwa na panda shuka nyingi katika kipindi cha baada ya Vita Baridi. Hata hivyo baada ya kujitokeza mgogoro wa Ukraine hapo mwaka 2014 uhusiano wa Moscow na Washington uliingia katika mporomoko mkubwa na sasa hitilafu kati ya pande hizo mbili zimepanuka zaidi na zaidi.

  • UN yatahadharisha kuhusu athari mbaya za mauaji ya kigaidi ya Qassem Soleimani

    UN yatahadharisha kuhusu athari mbaya za mauaji ya kigaidi ya Qassem Soleimani

    Jul 13, 2020 22:03

    Ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa anayeshughulikia mauaji ya kiholela na kinyume cha sheria ametahadharisha kuhusiana na athari mbaya za ugaidi unaofanywa na Marekani duniani hususan mauaji yaliyofanywa na nchi hiyo dhidi ya aliyekuwa Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi al Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran, Luteni Jenerali Qassem Soleimani.

  • Mrengo wa al-Fat'h Iraq: Serikali iharakishe mashtaka dhidi ya Marekani UN kwa mauaji ya Al-Muhandis

    Mrengo wa al-Fat'h Iraq: Serikali iharakishe mashtaka dhidi ya Marekani UN kwa mauaji ya Al-Muhandis

    Jul 12, 2020 23:37

    Muungano wa al-Fat'h katika Bunge la Iraq umeitaka serikali iharakishe mchakato wa kuwasilisha rasmi mashtaka Umoja wa Mataifa ya jinai iliyofanywa na Marekani ya kumuua kigaidi Abu Mahdi al-Muhandis, Naibu Mkuu wa al-Hashdu-Sha'abi.

  • Hizbullah: Marekani inabeba dhima ya matatizo yote ya Asia Magharibi

    Hizbullah: Marekani inabeba dhima ya matatizo yote ya Asia Magharibi

    Jul 12, 2020 03:19

    Mkuu wa Baraza la Shuraa la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema Marekani ndiyo sababu ya kupata matatizo nchi za eneo hili la Asia Magharibi.

  • Msafara wa kijeshi wa Marekani washambuliwa kwa mabomu Iraq

    Msafara wa kijeshi wa Marekani washambuliwa kwa mabomu Iraq

    Jul 12, 2020 03:08

    Msafara wa magari ya kijeshi ya Marekani umeshambuliwa kwa mabomu ya kuelekezwa kutoka mbali (VBIED) baina ya barabara ya Samawah na Diwaniyah, kusini mwa mji mkuu wa Iraq, Baghdad.

  • Kundi jingine la wafuasi wa chama tawala cha Republican lamuacha mkono Trump Marekani

    Kundi jingine la wafuasi wa chama tawala cha Republican lamuacha mkono Trump Marekani

    Jul 11, 2020 22:04

    Kundi jingine la wanachama wa chama tawala cha Republican wametangaza kuacha kumuunga mkono rais wa nchi hiyo, Donald Trump.

  • Wasomi, wanachuo wa Kenya nchini Marekani wakosoa agizo la Trump dhidi yao

    Wasomi, wanachuo wa Kenya nchini Marekani wakosoa agizo la Trump dhidi yao

    Jul 11, 2020 10:18

    Wahadhiri na wanachuo raia wa Kenya walioko Marekani wamekosoa vikali agizo lililotolewa na rais wa nchi hiyo, Donald Trump, la kutaka wanafunzi wote wa kigeni waondoke nchini humo ndani ya miezi miwili ijayo.

  • Russia: Marekani inakabiliwa na mzozo mkubwa wa kisiasa

    Russia: Marekani inakabiliwa na mzozo mkubwa wa kisiasa

    Jul 11, 2020 09:39

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema mivutano na mizozo ya kisiasa ya ndani ya nchi ndiyo sababu kuu iliyoipelekea Marekani iibue madai yasiyo na msingi dhidi ya Moscow.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS