-
Iran: Hakuna mpango wa kufanya mazungumzo yoyote na Marekani
May 12, 2020 03:11Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, hakuna mpango wa kufanya mazungumzo yoyote na Marekani kwa sababu Washington haiwezi kuaminika kwa mazungumzo inayofanya.
-
Sisitizo la Amnesty International juu ya ukidhabu wa Marekani katika mauaji ya raia
May 12, 2020 01:38Baada ya mashambulio ya Septemba 11, 2001, Marekani ilianzisha vita katika maeneo tofauti duniani kwa madai ya kupambana na ugaidi na hasa katika nchi mbili za Waislamu, za Afghanistan na Iraq ambazo hatimaye ilizikalia kwa mabavu.
-
Sababu na lengo la Marekani kuondoa ngao ya makombora ya Patriot Saudi Arabia
May 11, 2020 22:09Vyombo vya habari vimekuwa vikiripoti kuhusu uamuzi wa Marekani kuondoa mfumo wake wa ngao ya makombora ya Patriot kutoka Saudi Arabia, ripoti ambazo pia zimethibitishwa na Mike Pompeo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani.
-
Wakazi wa Washington wanaolala kwenye mahema kwa kukosa nyumba waongezeka kwa asilimia 300
May 11, 2020 11:50Idadi ya watu wanaolala kwenye mahema katika barabara za mji wa Washington, mji mkuu wa Marekani hasa baada ya kuenea virusi vya Corona, imeongezeka kwa asilimia 300.
-
Madai ya kipuuzi ya Mike Pompeo kuhusu mafanikio Marekani baada ya kujitoa katika mapatano ya JCPOA
May 11, 2020 02:31Baada ya Rais Donald Trump wa Marekani kuyakosoa vikali mapatano ya kimataifa ya nyuklia ya JCPOA, Mei 8 mwaka 2018 alichukua uamuzi wa upande mmoja wa kuiondoa nchi yake katika makubaliano hayo.
-
Marekani, muhimili wa muqawama na mzingiro wa bonde la Shi'b Abi Twalib
May 10, 2020 03:45Ijumaa iliyopita Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama ya Hizbullah nchini Lebanon aliufananisha mwenendo wa Marekani katika kukabiliana na muqawama kuwa ni sawa na mwenendo ule ule wa viongozi wa Kiquraish dhidi ya Mtume Muhammad (saw) katika mzingiro wa (bonde la) Shi'b Abi Twalib.
-
Janga la COVID-19 na uvurugaji wa Marekani katika Baraza la Usalama
May 10, 2020 02:58Katika hali ambayo Tunisia na Ufaransa zimekuwa zikijitahidi kuzikinaisha Marekani na China ziafiki rasimu ya azimio kuhusu janga la COVID-19 ambayo imekuwa ikijadiliwa kwa wiki kadhaa, Marekani imekataa kuiunga mkono rasimi huyo na hivyo kuzuia ipigiwe kura katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
-
Russia: Marekani ilifanya kosa la kistratijia kujiondoa JCPOA
May 09, 2020 23:42Afisa mmoja wa ngazi ya juu wa Wizara ya Ulinzi ya Russia amesema kuwa viongozi wa Marekani hawana uwezo wa kuandaa mazingira ya kurefushwa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran.
-
Utafiti: Wamarekani 150,000 katika hatari ya kujiua kutokana athari za janga la corona
May 09, 2020 08:09Utafiti mpya unaonyesha kuwa huenda makumi ya maelfu ya wananchi wa Marekani wataaga dunia kwa kunywa pombe kupita kiasi, kubugia dozi zilizopitiliza za mihadarati au kujiua kutoka na msongo wa mawazo uliosababishwa na janga la corona.
-
Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yaitaka Marekani ihitimishe hatua zake za upande mmoja
May 08, 2020 07:04Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Marekani inapaswa kuhitimisha hatua zake za upande mmoja na zenye madhila.