Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Spika Nancy Pelosi: Njaa na umasikini vinaitesa Marekani

    Spika Nancy Pelosi: Njaa na umasikini vinaitesa Marekani

    May 08, 2020 06:59

    Spika wa Bunge la Wawakilishi nchini Marekani amekiri kwamba, baada ya virusi vya Corona kuenea nchini humo, hivi sasa nchi hiyo inakabiliwa na ongezeko kubwa la umasikini na njaa.

  • Marekani yaondoa nchini Saudia mifumo yake ya makombora ya Patriot

    Marekani yaondoa nchini Saudia mifumo yake ya makombora ya Patriot

    May 08, 2020 03:47

    Marekani imeanza kuondoa katika ardhi ya Saudi Arabia mifumo yake ya makombora ya Patriot na zana zingine za kijeshi, ikiwa ni sehemu ya mkakati mpana wa kupunguza uungaji mkono wake wa kijeshi kwa utawala huo wa kifalme.

  • Kuongezeka pakubwa ukosefu wa usalama wa chakula Marekani kufuatia kuenea virusi vya Corona

    Kuongezeka pakubwa ukosefu wa usalama wa chakula Marekani kufuatia kuenea virusi vya Corona

    May 07, 2020 21:53

    Kwa mujibu wa uchunguzi uliofanywa na kitivo kimoja nchini Marekani, sambamba na kuenea virusi vya Corona na kuibuka mgogoro wa kiuchumi, uhaba mkubwa wa usalama wa chakula katika familia nyingi za Marekani umepanda zaidi.

  • Biden: Si sahihi kuiruhusu Israel iuteke Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan

    Biden: Si sahihi kuiruhusu Israel iuteke Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan

    May 07, 2020 08:47

    Mgombea urais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Democrats amesema kuwa, si sahihi kuiruhusu Israel iuteke Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na kuuingiza katika ardhi nyingine za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni zilizopachikwa jina bandia la Israel.

  • Corona yasababisha zaidi ya watu milioni 20 kupoteza ajira nchini Marekani

    Corona yasababisha zaidi ya watu milioni 20 kupoteza ajira nchini Marekani

    May 07, 2020 08:27

    Zaidi ya watu milioni 20 wamepoteza ajira kikamilifu nchini Marekani kutokana na janga la corona.

  • Amnesty: Marekani imepunguza idadi ya raia iliyowaua katika operesheni za kijeshi

    Amnesty: Marekani imepunguza idadi ya raia iliyowaua katika operesheni za kijeshi

    May 07, 2020 03:16

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) limetofautiana na idadi iliyotangazwa na Washington ya raia waliouawa katika operesheni za kijeshi za Marekani mwaka jana 2019 katika nchi mbali mbali duniani.

  • Rouhani: Iran haitakubali ukiukwaji wa azimio 2231

    Rouhani: Iran haitakubali ukiukwaji wa azimio 2231

    May 06, 2020 06:46

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, Tehran katu haitakubali ukiukwaji wowote wa azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa. Ameongeza kuwa: "Ni haki isiyopingika ya Iran kuwa, vikwazo vya silaha viondolewe dhidi yake hivi karibuni katika fremu ya azimio hilo."

  • Wanadiplomasia wa EU: Marekani haina haki ya kutaka kurefushwa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran

    Wanadiplomasia wa EU: Marekani haina haki ya kutaka kurefushwa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran

    May 06, 2020 03:31

    Wanadiplomasia wa Umoja wa Ulaya wamesema kwa kujiondoa kwenye makubaliano ya nyuklia ya Iran, Marekani ilipoteza haki yake ya kutaka kurefushwa vikwazo vya silaha vya Umoja wa Mataifa dhidi ya Iran.

  • Iran yasema madai ya Marekani dhidi yake ni 'mzaha mchungu'

    Iran yasema madai ya Marekani dhidi yake ni 'mzaha mchungu'

    May 06, 2020 03:28

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sambamba na kuashiria juu ya uhusiano madhubuti baina ya taifa hili na Afghanistan, imekosoa vikali madai ya Marekani dhidi ya Tehran kuhusu tukio la kupoteza maisha raia wa Kiafghani katika eneo la Herat, mpakani mwa nchi mbili hizi.

  • Corona na ongezeko la wazee kufariki dunia mjini New York

    Corona na ongezeko la wazee kufariki dunia mjini New York

    May 05, 2020 23:55

    Viongozi wa jimbo la New York nchini Marekani wameelezea kufariki dunia watu wengine 1,700 katika vituo vya kuwalea wazee ndani ya jimbo hilo kutokana na virusi vya Corona, idadi ambayo ilikuwa haijasajiliwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS