Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Tishio la Trump la kutuma jeshi la taifa katika majimbo ya Marekani kukabiliana na wapinzani wa ubaguzi

    Tishio la Trump la kutuma jeshi la taifa katika majimbo ya Marekani kukabiliana na wapinzani wa ubaguzi

    Jun 03, 2020 08:02

    Malalamiko na maandamano makubwa ambayo hayajawahi kushuhudiwa katika miji na majimbo ya Marekani dhidi ya mauaji ya kutisha yaliyofanywa na polisi dhidi ya raia mweusi wa nchi hiyo, George Floyd huko katika jimbo la Minnesota yamezusha machafuko makubwa na kumtia kiwewe rais wa nchi hiyo, Donald Trump na serikali yake.

  • Maandamano yaendelea Marekani, watu 13 wauawa, wanajeshi wajazwa mitaani

    Maandamano yaendelea Marekani, watu 13 wauawa, wanajeshi wajazwa mitaani

    Jun 03, 2020 05:41

    Wananchi wenye hasira Marekani wameendeleza maandamano kwa usiku wa sita mfululizo kulaani mauaji ya Mmarekani mweusi aliyeuawa kinyama mikononi mwa polisi mzungu wiki iliyopita.

  • Seneta wa Kimarekani atahadharisha juu ya uwezekeno wa kusambaratika Marekani

    Seneta wa Kimarekani atahadharisha juu ya uwezekeno wa kusambaratika Marekani

    Jun 03, 2020 03:29

    Seneta wa chama cha Democrat nchini Marekani ametahadharisha kwamba kuendelea ubaguzi wa rangi nchini humo bila shaka kutaisambaratisha nchi hiyo.

  • Askari wengi wa Marekani watangaza mshikamano wao na waandamanaji

    Askari wengi wa Marekani watangaza mshikamano wao na waandamanaji

    Jun 02, 2020 23:59

    Idadi kubwa ya polisi wa Marekani na kinyume na takwa la Rais Donald Trump la kuzidisha ukandamizaji dhidi ya waandamanaji, wametangaza mshikamano wao na waandamanaji.

  • Rais wa Ghana: Natumai mauaji ya Floyd yatachochea mabadiliko Marekani

    Rais wa Ghana: Natumai mauaji ya Floyd yatachochea mabadiliko Marekani

    Jun 02, 2020 23:25

    Rais wa Ghana ameashiria kuhusu mauaji ya kutisha ya Mmarekani mmoja mwenye asili ya Afrika katika mji wa Minneapolis nchini Marekani na kusema kuwa, "natumai kifo cha George Floyd kitakuwa chachu ya madiliko ya kudumu ya matatizo ya chuki na ubaguzi."

  • Wasiwasi wa Ulaya kuhusu kushamiri mrengo wa fikra za kibaguzi nchini Marekani

    Wasiwasi wa Ulaya kuhusu kushamiri mrengo wa fikra za kibaguzi nchini Marekani

    Jun 02, 2020 23:22

    Fikra za kuchupa mipaka za mrengo wa kulia zimeshamiri sana nchini Marekani katika kipindi cha uongozi wa Donald Trump kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa.

  • Raisi: Mahakama za kimataifa ziwafuatilie na kuwapandisha kizimbani viongozi watenda jinai wa Marekani

    Raisi: Mahakama za kimataifa ziwafuatilie na kuwapandisha kizimbani viongozi watenda jinai wa Marekani

    Jun 02, 2020 07:00

    Mkuu wa Chombo cha Mahakama nchini Iran amesema kuwa, viongozi wa Marekani ni watuhumiwa wa kuvunja haki za kimsingi kabisa za binadamu na inabidi wapandishwe kizimbani kwenye mahakama za kimataifa.

  • Mkuu wa Majeshi aonekana katika eneo la kukandamiza waandamanaji nchini Marekani

    Mkuu wa Majeshi aonekana katika eneo la kukandamiza waandamanaji nchini Marekani

    Jun 02, 2020 07:00

    Muda mchache baada ya rais wa Marekani kutangaza serikali ya kijeshi na marufuku ya kutotoka nje, Mkuu wa Majeshi ya nchi hiyo Jenerali Mark Alexander Milley amekwenda kwenye maeneo ya kukandamiza waandamanaji kuona kwa karibu hali inavyoendelea na kazi inavyofanyika.

  • Obama ataka kufanyiwa marekebisho mfumo wa kimahakama wa Marekani

    Obama ataka kufanyiwa marekebisho mfumo wa kimahakama wa Marekani

    Jun 02, 2020 03:28

    Barack Obama, Rais wa zamani wa Marekani na katika kuendelea kwa maandamano ya kulaani mauaji ya ubaguzi wa rangi nchini humo, ametaka kufanyika mabadiliko katika mfumo wa vyombo vya mahakama vya nchi hiyo.

  • Andrew Cuomo: Ghasia za mitaani nchini Marekani ndilo takwa la Trump

    Andrew Cuomo: Ghasia za mitaani nchini Marekani ndilo takwa la Trump

    Jun 02, 2020 03:12

    Gavana wa jimbo la New York nchini Marekani sambamba na kuunga mkono maandamano ya amani dhidi ya ubaguzi wa rangi ambao umekuwa ukiendelea nchini humo kwa mamia ya miaka, amesema kuwa, jumbe za Rais Donald Trump wa nchi hiyo zinabainisha wazi kwamba anapendelea ghasia zisambae na kuenea mitaani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS