Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Trump asisitiza kuwakandamiza waandamanaji wanaolalamikia ubaguzi wa rangi nchini Marekani

    Trump asisitiza kuwakandamiza waandamanaji wanaolalamikia ubaguzi wa rangi nchini Marekani

    Jun 02, 2020 01:54

    Ubaguzi wa rangi na matumizi ya mabavu dhidi ya wale wanaotajwa kuwa watu wa rangi nchini Marekani na hasa weusi, ni jambo lenye historia ndefu nchini humo. Licha ya mapambano ya muda mrefu ya weusi kwa ajili ya kutetea haki zao, lakini wangali ni wahanga wakubwa wa ubaguzi na matumizi ya mabavu na hasa kutoka kwa polisi ya nchi hiyo.

  • Maandamano ya kulaani ubaguzi wa rangi na ukatili wa polisi ya Marekani yasambaa duniani kote

    Maandamano ya kulaani ubaguzi wa rangi na ukatili wa polisi ya Marekani yasambaa duniani kote

    Jun 01, 2020 05:55

    Maandamano ya kulaani ubaguzi wa rangi na jinai ya polisi mweupe kumuuua Mmarekani mwenye asili ya Afrika sambamba na kuendelea kushuhudiwa katika miji na majimbo mbalimbali ya Marekani, lakini pia yamesambaa na kuenea kwa kasi katika nchi mbalimbali duniani hususan za Ulaya.

  • Watunisia wapinga kuwepo kijeshi Marekani nchini kwao

    Watunisia wapinga kuwepo kijeshi Marekani nchini kwao

    Jun 01, 2020 03:16

    Hatua ya vyama mbalimbali nchini Tunisia kupinga uwepo wa wanajeshi wa Marekani nchini humo imeipelekea washington iachane na msimamo wake katika uwanja huo.

  • Iyad na George, wahanga wawili wa ubaguzi wa Israel na Marekani

    Iyad na George, wahanga wawili wa ubaguzi wa Israel na Marekani

    Jun 01, 2020 02:42

    Matukio katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) na Marekani yanaonyesha kilele cha ubaguzi katika utawala wa Kizayuni wa Israel na Marekani.

  • Polisi ya Marekani yaendeleza mabavu dhidi ya waandishi habari

    Polisi ya Marekani yaendeleza mabavu dhidi ya waandishi habari

    May 31, 2020 23:17

    Wafanyakazi wawili wa shirika la habari la Reuters wamepigwa risasi wakati wakiwa kazini wakichukua picha kuhusu maandamano ya kulaani ubaguzi wa rangi na jinai ya polisi mweupe wa nchini Marekani ambaye hivi karibuni alimuua Mmarekani mwenye asili ya Afrika.

  • Maandamano, ghasia zashtadi Marekani licha ya 'kafyu' na kamatakamata

    Maandamano, ghasia zashtadi Marekani licha ya 'kafyu' na kamatakamata

    May 31, 2020 07:16

    Licha ya agizo la kutotoka nje usiku na kukamatwa mamia ya waandamanaji, lakini maandamano ya kulaani ubaguzi wa rangi na jinai ya polisi mweupe kumuuua Mmarekani mwenye asili ya Afrika, yameendelea kushuhudiwa katika miji na majimbo mbalimbali ya Marekani.

  • "Trump! Funga domo lako! Acha kuchochea moto wa ubaguzi! Acha kiu yako ya kumwaga damu"

    May 31, 2020 03:42

    Mkuu wa Kamati ya Habari ya Baraza la Wawakilishi la Marekani ametoa onyo kali kwa rais wa nchi hiyo Donald Trump akimtaka afumbe domo lake, aache kuchochea moto wa ubaguzi wa rangi na kumwaga damu za watu wasio na hatia.

  • Zarif: Umefika wakati wa dunia kuungana katika kukabiliana na ubaguzi wa rangi

    Zarif: Umefika wakati wa dunia kuungana katika kukabiliana na ubaguzi wa rangi

    May 31, 2020 00:19

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma ujumbe katika mtandao wa Twitter akiashiria mauaji ya kusikitisha yaliyofanywa na polisi ya Marekani dhidi ya Mmarekani mweusi ambaye hakuwa na silaha ya aina yoyote katika mji wa Minneapolis na kusema: Umewadia wakati wa dunia kuungana kwa ajili ya kukabiliana na ubaguzi wa rangi.

  • India: Madai ya kufanyika mazungumzo ya simu kati ya Narendra Modi na Trump hayana msingi

    India: Madai ya kufanyika mazungumzo ya simu kati ya Narendra Modi na Trump hayana msingi

    May 31, 2020 00:11

    Serikali ya India imeyataja kuwa ya uongo madai ya Rais Donld Trump wa Marekani kwamba amefanya mazungumzo ya simu na Narendra Modi, Waziri Mkuu wa nchi hiyo kuhusiana na masuala ya mzozo wa mpaka kati yake na China.

  • China yalaani kitendo cha Marekani kukataa kutoa vibali vya kuingia nchi hiyo wanafunzi wa China

    China yalaani kitendo cha Marekani kukataa kutoa vibali vya kuingia nchi hiyo wanafunzi wa China

    May 30, 2020 23:59

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China amelaani kitendo cha Marekani kukataa kutoa vibali vya kuingia wanafunzi wa China katika nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS