Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Rais Rouhani: Iwapo Marekani ni mkweli kuhusu madai yake, isitishe vikwazo dhidi ya Iran

    Rais Rouhani: Iwapo Marekani ni mkweli kuhusu madai yake, isitishe vikwazo dhidi ya Iran

    May 05, 2020 23:45

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amejibu madai ya Marekani kuwa iko tayari kuisadia Iran kukabiliana na ugonjwa wa COVID-19 (corona) na kusema: "Iwapo Wamarekani ni wakweli, njia pekee ni kuondoa vikwazo vilivyo kinyume cha sheria dhidi ya Iran."

  • Marekani yawaliwaza kwa medali askari wake waliojeruhiwa katika shambulizi la Iran

    Marekani yawaliwaza kwa medali askari wake waliojeruhiwa katika shambulizi la Iran

    May 05, 2020 03:34

    Kamandi Kuu ya Jeshi la Marekani imewatunuku medali za heshima makumi ya askari wake waliojeruhiwa katika shambulizi kali la Iran la mapema mwaka huu nchini Iraq.

  • Vifo vya corona duniani vyapindukia robo milioni, Marekani ingali inaongoza

    Vifo vya corona duniani vyapindukia robo milioni, Marekani ingali inaongoza

    May 05, 2020 03:29

    Takwimu mpya za Chuo Kikuu cha Johns Hopkins zinaonesha kuwa, idadi ya watu waliopoteza maisha kutokana na virusi vya corona kote duniani ni zaidi ya robo milioni.

  • Venezuela yawakamata mamluki wa Marekani waliotaka kufanya mapinduzi

    Venezuela yawakamata mamluki wa Marekani waliotaka kufanya mapinduzi

    May 05, 2020 03:27

    Rais Nicolás Maduro wa Venezuela amesema vyombo vya usalama vya nchi hiyo vimewatia mbaroni 'magaidi' 13 wakiwemo mamluki wawili wa Kimarekani wanaohusishwa na jaribio lililotibuliwa la kujipenyeza nchini humo na kufanya mapinduzi.

  • Trump: Maafisa wa intelijensia hawakusema kama kirusi cha corona ni hatari

    Trump: Maafisa wa intelijensia hawakusema kama kirusi cha corona ni hatari

    May 04, 2020 09:31

    Rais Donald Trump wa Marekani amedai kuwa, hakupewa taarifa za tahadhari na vyombo vya intelijensia vya nchi hiyo kuhusu mripuko wa virusi vya corona na akaongeza kwamba, maafisa wa intelijensia hawakusema kama kirusi cha corona ni hatari.

  • Trump atoa utabiri mpya kuhusu Corona, asema Wamarekani laki moja watafariki hivi karibuni

    Trump atoa utabiri mpya kuhusu Corona, asema Wamarekani laki moja watafariki hivi karibuni

    May 04, 2020 03:42

    Rais Donald Trump wa Marekani amesema kuwa kwa akali watu laki moja nchini Marekani wanatazamiwa kufariki dunia kutokana na virusi vya Corona.

  • Kuendelea mgogoro wa Corona na sisitizo la Marekani la kuiadhibu China

    Kuendelea mgogoro wa Corona na sisitizo la Marekani la kuiadhibu China

    May 03, 2020 21:52

    Sambamba na kuendelea mgogoro wa Corona na kuongezeka idadi ya vifo vinavyotokana na ugonjwa huo nchini Marekani, Rais Donald Trump anaendelea kufanya njama za kuitwisha mzigo wa suala hilo serikali ya China ili kwa njia hiyo aweze kusalimika na ukosoaji pamoja na mashinikizo ya kijamii kutokana na utendaji mbovu wa serikali yake katika kukabiliana na Corona.

  • Kuendelea hitilafu za Seoul na Washington juu ya ongezeko la gharama za askari wa Marekani walio Korea Kusini

    Kuendelea hitilafu za Seoul na Washington juu ya ongezeko la gharama za askari wa Marekani walio Korea Kusini

    May 03, 2020 04:50

    Ofisi ya Rais wa Korea Kusini imesisitiza kuwa hadi sasa hakujafikiwa mapatano yoyote kuhusiana na ongezeko la fedha za kudhamini kuendelea kuwepo askari wa Marekani nchini humo.

  • Shamkhani: JCPOA itakufa kikamilifu iwapo vikwazo vya silaha dhidi ya Iran vitarefushwa

    Shamkhani: JCPOA itakufa kikamilifu iwapo vikwazo vya silaha dhidi ya Iran vitarefushwa

    May 03, 2020 03:46

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran ameonya kuwa, iwapo azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa litakiukwa kwa kuongezwa muda wa vikwazo vya silaha dhidi ya Tehran, basi makubaliano ya nyuklia ya JCPOA yatakufa daima.

  • Iran: Marekani haina misingi ya kisheria kujifanya mshiriki wa JCPOA

    Iran: Marekani haina misingi ya kisheria kujifanya mshiriki wa JCPOA

    May 03, 2020 03:41

    Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Taasisi za Kimataifa mjini Vienna amesema jitihada za Marekani za kutaka kuionesha dunia kuwa ingali mshiriki wa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA hazina misingi ya kisheria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS