Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Waandamanaji wenye silaha wamiminika mitaani Marekani, wapinga zuio la corona

    Waandamanaji wenye silaha wamiminika mitaani Marekani, wapinga zuio la corona

    May 02, 2020 22:03

    Waandamanaji ambao wanapinga sheria za kubakia nyumbani ili kuzuia kuenea ugonjwa wa COVID-19 au corona wamejitokeza mitaani nchini Marekani wakiwa wamejizatiti kwa silaha tayari kukabiliana na polisi.

  • Russia yakosoa msimamo wa kinafiki wa Marekani kuhusu JCPOA na azimio 2231

    Russia yakosoa msimamo wa kinafiki wa Marekani kuhusu JCPOA na azimio 2231

    May 02, 2020 22:01

    Licha ya kujitoa kwa upande mmoja katika mapatano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) mwezi Mei 2018, Marekani imekuwa na msimamo wa kinafiki na kimaslahi kuhusiana na mapatano hayo pamoja na azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • Marekani na Korea Kusini zaendelea kuvutana kuhusu ongezeko la gharama za askari wa Kimarekani

    Marekani na Korea Kusini zaendelea kuvutana kuhusu ongezeko la gharama za askari wa Kimarekani

    May 01, 2020 21:04

    Ofisi ya Rais wa Korea Kusini imesisitiza kuwa hadi sasa hakujafikiwa mapatano yoyote kuhusiana na ongezeko la fedha za kudhamini kuendelea kuwepo askari wa Kimarekani nchini humo.

  • Kushindwa kupitishwa azimio la kusitisha vita dunia nzima kutokana na tofauti za Marekani na China

    Kushindwa kupitishwa azimio la kusitisha vita dunia nzima kutokana na tofauti za Marekani na China

    May 01, 2020 21:03

    Kuenea virusi vya corona dunia nzima na maradhi ya COVID-19 yanayosababishwa na virusi hivyo na hali maalumu ya dharura inayotawala ulimwenguni hivi sasa kumeongeza maradufu umuhimu wa kuwepo mshikamano mkubwa zaidi kimataifa; na kwa sababu hiyo Umoja wa Mataifa umetaka kukomeshwa mapigano yanayoendelea katika maeneo tofauti ya dunia.

  • Makubaliano ya JCPOA; kuanzia kushindwa “mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa” hadi “ndoto za alinacha” za Mike Pompeo

    Makubaliano ya JCPOA; kuanzia kushindwa “mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa” hadi “ndoto za alinacha” za Mike Pompeo

    Apr 30, 2020 20:09

    Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, juhudi za Marekani za kutaka kuongezwa muda wa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran zinakwenda kinyume na azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • Upinzani wa madola ya Ulaya kwa takwa la Marekani la kuongezwa muda wa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran

    Upinzani wa madola ya Ulaya kwa takwa la Marekani la kuongezwa muda wa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran

    Apr 30, 2020 07:35

    Moja ya vipengee muhimu katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ni kufutwa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran baada ya miaka mitano tangu kuanza kutekelezwa makubaliano hayo.

  • Iran: Marekani haina hoja ya kisheria ya kuwa mshirika wa JCPOA

    Iran: Marekani haina hoja ya kisheria ya kuwa mshirika wa JCPOA

    Apr 30, 2020 03:33

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema Marekani haina hoja ya kisheria ya kutaka kuwa mshirika wa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Maafa ya kibinadamu Yemen yafika kileleni kutokana na sera za Marekani

    Maafa ya kibinadamu Yemen yafika kileleni kutokana na sera za Marekani

    Apr 30, 2020 02:51

    Baada ya Marekani kukata mchango wake kwa Shirika la Afya Duniani (WHO), shirika hilo limetangaza kukata asilimia 80 ya misaada yake kwa watu wa Yemen.

  • Rais Erdoğan asisitiza kuwa Uturuki ni rafiki wa kuaminika wa Marekani

    Rais Erdoğan asisitiza kuwa Uturuki ni rafiki wa kuaminika wa Marekani

    Apr 29, 2020 22:08

    Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amemuandikia barua Rais Donald Trump wa Marekani akikariri kuwa Ankara ni mshirika wa kuaminika wa Washington, huku akisisitiza juu ya mshikamano wa pande mbili.

  • Rais Rouhani aihutubu Marekani; Hii ni Ghuba ya Uajemi si 'Ghuba ya New York'

    Rais Rouhani aihutubu Marekani; Hii ni Ghuba ya Uajemi si 'Ghuba ya New York'

    Apr 29, 2020 08:17

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewahutubu Wamarekani na kuwaambia wanapaswa kutambua kuwa Ghuba ya Uajemi ni njia muhimu ya baharini na eneo la kistratajia linalolindwa na litakaloendelea kulindwa kwa nguvu zote na taifa zima la Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS