-
Kukaririwa madai yasiyo na msingi ya Marekani kuhusu uhuru wa kuabudu nchini Iran
Apr 29, 2020 02:19Kamisheni ya Kimataifa ya Uhuru wa Kuabudu ya Marekani imetoa ripoti yake ya kila mwaka ikiituhumu Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwamba inakiuka uhuru wa kuabudu.
-
China yarudisha mapigo, yasema Marekani inasema uongo ili kuficha utendaji wake mbaya kuhusiana na corona
Apr 28, 2020 20:19China imeituhumu Marekani kwamba inamtafuta "mbuzi wa kafara" wa kumtwisha lamawa za kufeli kwa serikali ya Washington na utendaji wake mbaya katika kupambana na maambukizi ya virusi vya corona nchini humo.
-
Rouhani: Uingiliaji mambo wa Marekani unahatarisha usalama na uthabiti wa eneo
Apr 28, 2020 02:50Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema hatua ya Marekani ya kuingilia masuala ya ndani ya nchi za Asia Magharibi imevuruga usalama na uthabiti katika eneo hili.
-
Marekani yakiri: Ni kweli tumeua raia katika shambulizi la anga Somalia
Apr 28, 2020 02:49Kamandi ya Jeshi la Marekani barani Afrika AFRICOM imekiri kuwa raia wawili wa Somalia waliuawa huku wengine kadhaa wakijeruhiwa katika hujuma yake ya anga mapema mwaka jana.
-
Biden ambwaga Trump katika utafiti mpya wa maoni Marekani
Apr 28, 2020 02:45Joe Biden, mgombea wa chama cha Democrat katika uchaguzi wa rais nchini Marekani amembwaga Rais Donald Trump katika uchunguzi mpya wa maoni uliofanyika nchini humo.
-
Mpango wa Pompeo wa kuzuia kufutwa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran
Apr 28, 2020 02:43Kwa mujibu wa mapatano ya nyuklia yanayojulikana kwa jina maarufu la JCPOA na azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, imepangwa kuwa, ifikapo tarehe 18 Oktoba 2020, vikwazo vya silaha dhidi ya Iran viondolewe.
-
Kwa mara ya kwanza adhana yasomwa katika mji wa Minneapolis nchini Marekani
Apr 27, 2020 21:49Sambamba na kuingia mwezi mtukufu wa Ramadhani, viongozi wa kieneo wa mji wa Minneapolis katika jimbo la Minnesota nchini Marekani, wameruhusu kusomwa adhana katika misikiti.
-
Filamu ya "al Nihaya" yatabiri kuangamia utawala wa Kizayuni wa Israel na Marekani
Apr 27, 2020 07:20Filamu iliyotengenezwa nchini Misri na kupewa jina la al Nihaya (The End) kwa maana ya mwisho, imetabiri kungamia kikamilifu utawala wa Kizayuni wa Israel na Marekani katika miaka ijayo.
-
Kuzifungia tovuti za kimataifa za vyombo vya habari vya Iran, njama za Marekani zilizoshindwa zamani
Apr 27, 2020 05:39Ikiwa ni katika kuendeleza siasa zake za vikwazo vya kiwango cha juu kabisa, serikali ya Donald Trump huko Marekani si tu imeiwekea Iran vikwazo vikubwa ambavyo havijawahi kushuhudiwa, lakini pia imekuwa ikifanya njama kubwa za kuibana Tehran katika kila upande, ikiwa ni pamoja na upande wa vyombo vya habari, ili kuzuia sauti ya haki ya Jamhuri ya Kiislamu isiwafikie walimwengu.
-
Kituo cha Kiislamu chachomwa moto Marekani siku ya kwanza ya Ramadhani
Apr 26, 2020 03:25Baraza la Uhusiano wa Kiislamu nchini Marekani (CAIR) limezitaka mamlaka husika nchini humo kuchunguza kitendo cha kuteketezwa kwa moto Kituo cha Kiislamu katika jimbo la Missouri, katika siku ya kwanza ya mwezi mtukufu wa Ramadhani.