Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • China yaishangaa Marekani kutaka kulipwa fidia ya Corona

    China yaishangaa Marekani kutaka kulipwa fidia ya Corona

    Apr 26, 2020 03:21

    China imesema madai ya Marekani kwamba serikali ya Beijing ilishindwa kushughulikia ipasavyo mlipuko wa virusi vya Corona si sahihi na hayana misingi yote ya kisheria, na kwamba takwa la taifa hilo la kutaka kulipwa fidia na China kutokana na madhara ya virusi hivyo si chochote ghairi ya tamthilia ya kisiasa.

  • Rouhani: Iran inafuatilia kwa karibu sana nyendo za Marekani

    Rouhani: Iran inafuatilia kwa karibu sana nyendo za Marekani

    Apr 25, 2020 06:05

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Iran inafuatilia kwa karibu sana nyendo za Marekani na kuongeza kuwa: "Iran katu haitakuwa muanzishaji wa taharuki na mapigano katika eneo."

  • Ongezeko la asilimia 14 la ukosefu wa ajira nchini Marekani

    Ongezeko la asilimia 14 la ukosefu wa ajira nchini Marekani

    Apr 25, 2020 03:13

    Ofisi ya Bajeti ya Congress ya Marekani imetoa ripoti ikionyesha kuongezeka kwa asilimia 14 ukosefu wa kazi nchini humo.

  • Nancy Pelosi apinga kuahirishwa uchaguzi ujao wa rais nchini Marekani

    Nancy Pelosi apinga kuahirishwa uchaguzi ujao wa rais nchini Marekani

    Apr 25, 2020 00:10

    Nancy Pelosi, Spika wa Bunge la Wawakilishi nchini Marekani, amepinga suala la kuahirishwa uchaguzi wa rais uliopangwa kufanyika mwezi Novemba mwaka huuu.

  •  Al-Hashd al-Shaabi: Magaidi wa ISIS Iraq ni chombo cha Marekani

    Al-Hashd al-Shaabi: Magaidi wa ISIS Iraq ni chombo cha Marekani

    Apr 24, 2020 23:35

    Mkuu wa Idara ya Mawasiliano katika Harakati ya Al-Hashd Al-Shaabi katika mkoa wa Diyala mashariki mwa Iraq amesema kundi la kigaidi la ISIS au Daesh nchini hum ni chombo cha mashirika ya kijasusi ya Marekani.

  • Madaktari wa Marekani waonya: Pendekezo la Trump la kudunga vitakasaji mwilini kutibu COVID-19 ni hatari sana

    Madaktari wa Marekani waonya: Pendekezo la Trump la kudunga vitakasaji mwilini kutibu COVID-19 ni hatari sana

    Apr 24, 2020 10:39

    Madaktari nchini Marekani wamekosoa vikali njia zilizopendekezwa na rais wa nchi hiyo Donald Trump kwa ajili ya kutibu ugonjwa wa homa kali ya mapafu wa COVID-19.

  • Zarif: Marekani na Ulaya haziwezi kuipa mawaidha Iran kuhusu azimio la Baraza la Usalama la UN

    Zarif: Marekani na Ulaya haziwezi kuipa mawaidha Iran kuhusu azimio la Baraza la Usalama la UN

    Apr 24, 2020 10:33

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, Marekani na Ulaya haziwezi kuipa mawaidha Iran kwa kutumia tafsiri ghalati na isiyo na msingi kuhusu utekelezaji wa azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • Los Angeles Times: Wakati umefika kwa majimbo ya Marekani kujitangazia uhuru wao

    Los Angeles Times: Wakati umefika kwa majimbo ya Marekani kujitangazia uhuru wao

    Apr 24, 2020 02:39

    Gazeti la Los Angeles Times la nchini Marekani limeandika kuwa, janga la corona nchini humo limeonesha kuwa wakati umefika kwa kila jimbo la Marekani kujitenga na kujitangazia uhuru wake.

  • Iran: Tuko tayari kuwasaidia wananchi wa Marekani wanaoteseka kwa corona

    Iran: Tuko tayari kuwasaidia wananchi wa Marekani wanaoteseka kwa corona

    Apr 24, 2020 02:39

    Waziri wa Afya wa Iran amejibu maneno ya kijuba ya waziri wa afya wa Marekani aliyedai kuwa nchi yake iko tayari kuisaidia Iran kupambana na corona akisisitiza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeonesha kivitendo uwezo wake mkubwa wa kakabiliana na matatizo kama haya ya corona na kuongeza kuwa, Tehran iko tayari kuwasaidia wananchi wa Marekani wanaoteseka kwa maradhi ya COVID-19 hivi sasa kutokana na uzembe wa serikali yao.

  • Iran yalaani chokochoko za Marekani Ghuba ya Uajemi, yamuita balozi wa Uswisi

    Iran yalaani chokochoko za Marekani Ghuba ya Uajemi, yamuita balozi wa Uswisi

    Apr 23, 2020 22:15

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa vikali chokochoko za jeshi la Marekani dhidi ya wanajeshi wa baharini wa Iran katika Ghuba ya Uajemi, sambamba na kukosoa bwabwaja na vitisho vya Rais Donald Trump dhidi ya askari hao wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS