-
China yaishangaa Marekani kutaka kulipwa fidia ya Corona
Apr 26, 2020 03:21China imesema madai ya Marekani kwamba serikali ya Beijing ilishindwa kushughulikia ipasavyo mlipuko wa virusi vya Corona si sahihi na hayana misingi yote ya kisheria, na kwamba takwa la taifa hilo la kutaka kulipwa fidia na China kutokana na madhara ya virusi hivyo si chochote ghairi ya tamthilia ya kisiasa.
-
Rouhani: Iran inafuatilia kwa karibu sana nyendo za Marekani
Apr 25, 2020 06:05Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Iran inafuatilia kwa karibu sana nyendo za Marekani na kuongeza kuwa: "Iran katu haitakuwa muanzishaji wa taharuki na mapigano katika eneo."
-
Ongezeko la asilimia 14 la ukosefu wa ajira nchini Marekani
Apr 25, 2020 03:13Ofisi ya Bajeti ya Congress ya Marekani imetoa ripoti ikionyesha kuongezeka kwa asilimia 14 ukosefu wa kazi nchini humo.
-
Nancy Pelosi apinga kuahirishwa uchaguzi ujao wa rais nchini Marekani
Apr 25, 2020 00:10Nancy Pelosi, Spika wa Bunge la Wawakilishi nchini Marekani, amepinga suala la kuahirishwa uchaguzi wa rais uliopangwa kufanyika mwezi Novemba mwaka huuu.
-
Al-Hashd al-Shaabi: Magaidi wa ISIS Iraq ni chombo cha Marekani
Apr 24, 2020 23:35Mkuu wa Idara ya Mawasiliano katika Harakati ya Al-Hashd Al-Shaabi katika mkoa wa Diyala mashariki mwa Iraq amesema kundi la kigaidi la ISIS au Daesh nchini hum ni chombo cha mashirika ya kijasusi ya Marekani.
-
Madaktari wa Marekani waonya: Pendekezo la Trump la kudunga vitakasaji mwilini kutibu COVID-19 ni hatari sana
Apr 24, 2020 10:39Madaktari nchini Marekani wamekosoa vikali njia zilizopendekezwa na rais wa nchi hiyo Donald Trump kwa ajili ya kutibu ugonjwa wa homa kali ya mapafu wa COVID-19.
-
Zarif: Marekani na Ulaya haziwezi kuipa mawaidha Iran kuhusu azimio la Baraza la Usalama la UN
Apr 24, 2020 10:33Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, Marekani na Ulaya haziwezi kuipa mawaidha Iran kwa kutumia tafsiri ghalati na isiyo na msingi kuhusu utekelezaji wa azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
-
Los Angeles Times: Wakati umefika kwa majimbo ya Marekani kujitangazia uhuru wao
Apr 24, 2020 02:39Gazeti la Los Angeles Times la nchini Marekani limeandika kuwa, janga la corona nchini humo limeonesha kuwa wakati umefika kwa kila jimbo la Marekani kujitenga na kujitangazia uhuru wake.
-
Iran: Tuko tayari kuwasaidia wananchi wa Marekani wanaoteseka kwa corona
Apr 24, 2020 02:39Waziri wa Afya wa Iran amejibu maneno ya kijuba ya waziri wa afya wa Marekani aliyedai kuwa nchi yake iko tayari kuisaidia Iran kupambana na corona akisisitiza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeonesha kivitendo uwezo wake mkubwa wa kakabiliana na matatizo kama haya ya corona na kuongeza kuwa, Tehran iko tayari kuwasaidia wananchi wa Marekani wanaoteseka kwa maradhi ya COVID-19 hivi sasa kutokana na uzembe wa serikali yao.
-
Iran yalaani chokochoko za Marekani Ghuba ya Uajemi, yamuita balozi wa Uswisi
Apr 23, 2020 22:15Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa vikali chokochoko za jeshi la Marekani dhidi ya wanajeshi wa baharini wa Iran katika Ghuba ya Uajemi, sambamba na kukosoa bwabwaja na vitisho vya Rais Donald Trump dhidi ya askari hao wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH).