Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Radiamali ya Sayyid Hassan Nasrullah kuhusu kadhia ya Amer Al-Fakhoury

    Radiamali ya Sayyid Hassan Nasrullah kuhusu kadhia ya Amer Al-Fakhoury

    Mar 22, 2020 04:49

    Kuachiliwa huru na kutoroshwa Amer Al-Fakhoury, kibaraka mwenye uraiapacha wa Lebanon na Marekani, ilikuwa ndio maudhui kuu ya hotuba aliyotoa Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon usiku wa kuamkia jana.

  • Iran yakanusha madai ya uongo ya Marekani kuhusu vikwazo vya dawa na chakula

    Iran yakanusha madai ya uongo ya Marekani kuhusu vikwazo vya dawa na chakula

    Mar 22, 2020 03:02

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekanusha vikali madai ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani iliyodai kuwa eti vikwazo vya nchi hiyo dhidi ya Iran havihusu dawa na chakula.

  • Utabiri wa kupungua asilimia 24 ya pato ghafi la ndani Marekani kwa sababu ya corona

    Utabiri wa kupungua asilimia 24 ya pato ghafi la ndani Marekani kwa sababu ya corona

    Mar 22, 2020 02:30

    Maambukizi ya virusi vya corona na ugonjwa wa COVID-19 yameathiri sana uchumi wa dunia na kuacha taathira kubwa hasi kwa uchumi wa Marekani. Utabiri unaonyesha kuwa, uchumi wa Marekani unakabiliwa na hali ngumu kupita kiasi.

  • Kuthibitika kuwa uchumi wa Marekani umeingia katika mdororo mkubwa

    Kuthibitika kuwa uchumi wa Marekani umeingia katika mdororo mkubwa

    Mar 21, 2020 01:38

    Rais Donald Trump wa Marekani amekuwa akitumai kutumia madai yake ya mafanikio ya kiuchumi katika kampeni zake za uchaguzi wa rais nchini humo mwaka huu wa 2020, lakini hakuwa ametabiri kuhusu kuenea ugonjwa wa COVID-19 au corona ambao umepelekea kuporomoka masoko ya hisa Marekani na hivyo kuingiza uchumi huo mkubwa zaidi duniani katika mdororo.

  • Iran iko tayari kuisaidia Marekani kudhibiti ugonjwa wa Covid-19

    Iran iko tayari kuisaidia Marekani kudhibiti ugonjwa wa Covid-19

    Mar 20, 2020 10:01

    Naibu Waziri wa Afya wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu iko tayari kuisaidia Marekani kudhibiti mripuko wa ugonjwa wa COVID-19, kutokana na udhaifu wa mfumo wa afya wa nchi hiyo ambao umeshindwa kuzuia wimbi la maambukizi ya kirusi cha corona nchini humo.

  • Kuendelea vikwazo vya Marekani na mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa dhidi ya mfumo wa tiba wa Iran

    Kuendelea vikwazo vya Marekani na mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa dhidi ya mfumo wa tiba wa Iran

    Mar 20, 2020 08:18

    Katika siku za hivi karibuni Marekani imeendelea mtawalia kuiwekea vikwazo vipya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran na miito inayoongezeka ya kuondolewa vikwazo hivyo

    Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran na miito inayoongezeka ya kuondolewa vikwazo hivyo

    Mar 19, 2020 10:03

    Licha ya kuibuka virusi angamizi vya Corona ulimwenguni ikiwemo Iran na kuweko ulazima wa walimwengu wote kukabiliana navyo, lakini Marekani ingali inang’ang’ania kuendeleza utendaji wake wa kivikwazo katika fremu ya sera za vikwazo vya kiwango cha juu kabisa dhidi ya Iran na imekuwa ikitangaza mtawalia vikwazo vipya dhidi ya Tehran.

  • Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Iran; muendelezo wa sera ya mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa

    Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Iran; muendelezo wa sera ya mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa

    Mar 19, 2020 04:27

    Serikali ya Trump imeamua kutekeleza sera ya mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa dhidi ya Iran; na ili kufanikisha lengo hilo baada ya kujitoa kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA mnamo mwezi Mei 2018, ilianza kuiwekea Jamhuri ya Kiislamu vikwazo vikali zaidi kuwahi kushuhudiwa. Lakini licha ya kushindwa kufikia lengo ililokusudia, Washington ingali inang'ang'ania kuongeza vikwazo dhidi ya Tehran.

  • Sanders autaka utawala wa Trump uiondolee Iran vikwazo

    Sanders autaka utawala wa Trump uiondolee Iran vikwazo

    Mar 19, 2020 04:21

    Bernie Sanders, Seneta wa jimbo la Vermont anayewania kuteuliwa kuwa mgombea urais wa Marekani katika uchaguzi wa mwaka huu kwa tiketi ya chama cha Democrat ameeleza kusikitishwa kwake na hatua ya utawala wa Donald Trump ya kushadidishi vikwazo dhidi ya Iran wakati huu ambapo taifa hili linakabiliana na mripuko wa ugonjwa wa Corona.

  • Takwa la Russia la kuondolewa vikwazo visivyo vya kiutu vya Marekani dhidi ya Iran

    Takwa la Russia la kuondolewa vikwazo visivyo vya kiutu vya Marekani dhidi ya Iran

    Mar 17, 2020 23:39

    Kuendelea vikwazo vya Marekani vyenye wigo mpana na ambavyo havijawahi kushuhudiwa dhidi ya Iran ambavyo vilianza kutekelezwa baada ya Washington kujiondoa katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA Mei 2018, ni hatua ambayo ilikabiliwa na malalamiko na ukosoaji mkubwa katika uga wa kimataifa ambapo hata washirika wa Ulaya wa Washington nao waliikosoa hatua hiyo isiyo ya kibinadamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS