Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Waziri wa Ulinzi wa Marekani na naibu wake wawekwa karantini baada ya maafisa 37 wa Pentagon kupatwa na corona

    Waziri wa Ulinzi wa Marekani na naibu wake wawekwa karantini baada ya maafisa 37 wa Pentagon kupatwa na corona

    Mar 17, 2020 12:37

    Waziri wa Ulinzi wa Marekani Mark Thomas Esper na Naibu wake wamewekwa karantini tangu Jumatatu ya jana baada ya kuthibitika kuwa, maafisa 37 wa wizara hiyo wameambukizwa virisi vya corona.

  • Iraq yaishtaki Marekani Baraza la Usalama baada ya kushambulia vituo vya jeshi la nchi hiyo

    Iraq yaishtaki Marekani Baraza la Usalama baada ya kushambulia vituo vya jeshi la nchi hiyo

    Mar 17, 2020 12:13

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iraq imeishtaki Marekani katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa baada ya jeshi la nchi hiyo kushambulia kambi za jeshi na askari polisi wa Iran.

  • Idara ya Mahakama ya Iran: Vikwazo vya dawa vya Marekani dhidi ya Iran ni kielelezo cha jinai dhidi ya binadamu

    Idara ya Mahakama ya Iran: Vikwazo vya dawa vya Marekani dhidi ya Iran ni kielelezo cha jinai dhidi ya binadamu

    Mar 17, 2020 11:34

    Msemaji wa Idara ya Mahakama nchini Iran amesema kuwa, vikwazo vya kidhalimu vya Marekani kama vikwazo vya dawa na zana za tiba ni kielelezo kikubwa cha utenda jinai wa ubeberu wa kimataifa unaoongozwa na Marekani.

  • Hofu ya Corona; Wamarekani wapiga foleni kununua bunduki

    Hofu ya Corona; Wamarekani wapiga foleni kununua bunduki

    Mar 17, 2020 04:24

    Foleni ndefu zimeonekana nje ya maduka ya kuuza bunduki na silaha za moto nchini Marekani, wakati huu ambapo wananchi wa nchi hiyo wananunua bidhaa muhimu za msingi kwa pupa kutokana na hofu ya ugonjwa wa Corona.

  • Iraq katika kuihami na kuitetea Al-Hashdu-Sha'abi sambamba na kukabiliana na kupambana na Marekani

    Iraq katika kuihami na kuitetea Al-Hashdu-Sha'abi sambamba na kukabiliana na kupambana na Marekani

    Mar 16, 2020 22:10

    Katika muda wa siku chache zilizopita ndege za kivita za Marekani zilishambulia mara kadhaa kwa makombora ngome za Al-Hashdu-Sha'abi na Muqawama wa Iraq; mashambulio ambayo yamekosolewa vikali na Wairaqi wengi.

  • Uingiliaji wa Marekani katika masuala ya ndani ya Lebanon na kuendelea mwenendo ulio dhidi ya Hizbullah

    Uingiliaji wa Marekani katika masuala ya ndani ya Lebanon na kuendelea mwenendo ulio dhidi ya Hizbullah

    Mar 15, 2020 05:56

    Katika kikao cha Ijumaa iliyopita pamoja na Hassan Diab, Waziri Mkuu wa Lebanon, Dorothy Shea, balozi mpya wa Marekani nchini Lebanon sambamba na kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo ya Kiarabu, alisema kuwa mazingira ya msaada wa Washington kwa ajili ya kuushinda mzozo wa kiuchumi wa taifa hilo, unategemea kutengana serikali ya Beirut na Harakati ya Muqawama ya Hizbullah.

  • Ethiopia: Hatutaburuzwa na Marekani kusaini makubaliano ya bwawa la Nahdha

    Ethiopia: Hatutaburuzwa na Marekani kusaini makubaliano ya bwawa la Nahdha

    Mar 13, 2020 23:02

    Ethiopia imesema haitakubali kushinikizwa na Marekani kutia saini makubaliano ya mpango wa Washington kuhusu bwawa la al-Nahdha.

  • Gavana wa jimbo la Ohio: Wakazi laki moja wa jimbo hili wamepatwa na virusi vya Corona

    Gavana wa jimbo la Ohio: Wakazi laki moja wa jimbo hili wamepatwa na virusi vya Corona

    Mar 13, 2020 13:20

    Gavana wa jimbo la Ohio nchini Marekani amesema kuwa ripoti za Idara ya Afya zinaonyesha kuwa, karibu asilimia moja ya wakazi wa jimbo hilo wameambukizwa virusi vya COVID-19 (Corona).

  • Kongresi: Wamarekani milioni 150 huenda wakaambukizwa Corona

    Kongresi: Wamarekani milioni 150 huenda wakaambukizwa Corona

    Mar 13, 2020 10:27

    Bunge la Marekani (Kongresi) limesema inakisiwa kuwa Wamarekani kati ya milioni 70 hadi 150 watakumbwa na virusi vya Corona ambavyo vimeua maelfu ya watu katika maeneo mbalimbali duniani.

  • Iraq yalaani mashambulizi ya Marekani, yasema ni ukiukaji wa mamlaka ya kujitawala

    Iraq yalaani mashambulizi ya Marekani, yasema ni ukiukaji wa mamlaka ya kujitawala

    Mar 13, 2020 10:21

    Jeshi la Iraq na Ofisi ya Rais wa nchi hiyo zimekosoa vikali mashambulizi mapya ya Marekani nchini humo yaliyoua wanajeshi, askari polisi na raia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS