-
Waziri wa Ulinzi wa Marekani na naibu wake wawekwa karantini baada ya maafisa 37 wa Pentagon kupatwa na corona
Mar 17, 2020 12:37Waziri wa Ulinzi wa Marekani Mark Thomas Esper na Naibu wake wamewekwa karantini tangu Jumatatu ya jana baada ya kuthibitika kuwa, maafisa 37 wa wizara hiyo wameambukizwa virisi vya corona.
-
Iraq yaishtaki Marekani Baraza la Usalama baada ya kushambulia vituo vya jeshi la nchi hiyo
Mar 17, 2020 12:13Wizara ya Mambo ya Nje ya Iraq imeishtaki Marekani katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa baada ya jeshi la nchi hiyo kushambulia kambi za jeshi na askari polisi wa Iran.
-
Idara ya Mahakama ya Iran: Vikwazo vya dawa vya Marekani dhidi ya Iran ni kielelezo cha jinai dhidi ya binadamu
Mar 17, 2020 11:34Msemaji wa Idara ya Mahakama nchini Iran amesema kuwa, vikwazo vya kidhalimu vya Marekani kama vikwazo vya dawa na zana za tiba ni kielelezo kikubwa cha utenda jinai wa ubeberu wa kimataifa unaoongozwa na Marekani.
-
Hofu ya Corona; Wamarekani wapiga foleni kununua bunduki
Mar 17, 2020 04:24Foleni ndefu zimeonekana nje ya maduka ya kuuza bunduki na silaha za moto nchini Marekani, wakati huu ambapo wananchi wa nchi hiyo wananunua bidhaa muhimu za msingi kwa pupa kutokana na hofu ya ugonjwa wa Corona.
-
Iraq katika kuihami na kuitetea Al-Hashdu-Sha'abi sambamba na kukabiliana na kupambana na Marekani
Mar 16, 2020 22:10Katika muda wa siku chache zilizopita ndege za kivita za Marekani zilishambulia mara kadhaa kwa makombora ngome za Al-Hashdu-Sha'abi na Muqawama wa Iraq; mashambulio ambayo yamekosolewa vikali na Wairaqi wengi.
-
Uingiliaji wa Marekani katika masuala ya ndani ya Lebanon na kuendelea mwenendo ulio dhidi ya Hizbullah
Mar 15, 2020 05:56Katika kikao cha Ijumaa iliyopita pamoja na Hassan Diab, Waziri Mkuu wa Lebanon, Dorothy Shea, balozi mpya wa Marekani nchini Lebanon sambamba na kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo ya Kiarabu, alisema kuwa mazingira ya msaada wa Washington kwa ajili ya kuushinda mzozo wa kiuchumi wa taifa hilo, unategemea kutengana serikali ya Beirut na Harakati ya Muqawama ya Hizbullah.
-
Ethiopia: Hatutaburuzwa na Marekani kusaini makubaliano ya bwawa la Nahdha
Mar 13, 2020 23:02Ethiopia imesema haitakubali kushinikizwa na Marekani kutia saini makubaliano ya mpango wa Washington kuhusu bwawa la al-Nahdha.
-
Gavana wa jimbo la Ohio: Wakazi laki moja wa jimbo hili wamepatwa na virusi vya Corona
Mar 13, 2020 13:20Gavana wa jimbo la Ohio nchini Marekani amesema kuwa ripoti za Idara ya Afya zinaonyesha kuwa, karibu asilimia moja ya wakazi wa jimbo hilo wameambukizwa virusi vya COVID-19 (Corona).
-
Kongresi: Wamarekani milioni 150 huenda wakaambukizwa Corona
Mar 13, 2020 10:27Bunge la Marekani (Kongresi) limesema inakisiwa kuwa Wamarekani kati ya milioni 70 hadi 150 watakumbwa na virusi vya Corona ambavyo vimeua maelfu ya watu katika maeneo mbalimbali duniani.
-
Iraq yalaani mashambulizi ya Marekani, yasema ni ukiukaji wa mamlaka ya kujitawala
Mar 13, 2020 10:21Jeshi la Iraq na Ofisi ya Rais wa nchi hiyo zimekosoa vikali mashambulizi mapya ya Marekani nchini humo yaliyoua wanajeshi, askari polisi na raia.