Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Iran yaionya Marekani kwa kutoa madai 'hatari' dhidi yake

    Iran yaionya Marekani kwa kutoa madai 'hatari' dhidi yake

    Mar 13, 2020 09:22

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Marekani inapaswa kuangali upya uwepo wa vikosi vyake vamizi katika eneo la Asia Magharibi badala ya kuibua tuhuma zisizo na msingi wowote dhidi ya mataifa mengine.

  • Mashambulizi ya Marekani na ukiukaji mpya wa Washington wa haki ya kujitawala taifa la Iraq

    Mashambulizi ya Marekani na ukiukaji mpya wa Washington wa haki ya kujitawala taifa la Iraq

    Mar 13, 2020 07:20

    Marekani inaendelea kupuuza amri ya Bunge la iraq ya kuondoa wanajeshi wake nchini humo, bali inaendelea kufanya mashambulizi ya kivamizi katika maeneo mbalimbali ya Iraq ikiwa ni kuendelea kukanyaga waziwazi haki ya kujitawala taifa hilo la Kiarabu.

  • Ripoti ya kila mwaka ya haki za binadamu ya Marekani; madai ya mkiukaji mkubwa zaidi wa haki za binadamu ulimwenguni

    Ripoti ya kila mwaka ya haki za binadamu ya Marekani; madai ya mkiukaji mkubwa zaidi wa haki za binadamu ulimwenguni

    Mar 13, 2020 02:33

    Ripoti ya mwaka 2019 ya Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani kuhusiana na haki za binadamu ilitolewa Jumatano iliyopita ya tarehe 11 Machi.

  • Marekani yatangaza hali ya hatari mjini Washington kutokana na wimbi la virusi vya corona

    Marekani yatangaza hali ya hatari mjini Washington kutokana na wimbi la virusi vya corona

    Mar 12, 2020 04:43

    Meya wa Washington DC, Muriel Bowser huko Marekani usiku wa kuamkia leo ametangaza hali ya hatari katika mji huo baada ya kuenea wimbi la maambukizi ya virusi hatari vya corona.

  • Shambulio la anga la Marekani laua watu 6 nchini Somalia

    Shambulio la anga la Marekani laua watu 6 nchini Somalia

    Mar 12, 2020 04:28

    Watu sita wasio na hatia wameuawa nchini Somalia baada ya basi lao kushambuliwa na ndege zisizo na rubani (drone) za Marekani katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika iliyoathiriwa vibaya na vita.

  • CDC: Homa ya mafua imeua watu 20,000 wakiwemo watoto 136 nchini Marekani

    CDC: Homa ya mafua imeua watu 20,000 wakiwemo watoto 136 nchini Marekani

    Mar 10, 2020 04:50

    Huku virusi vya Corona vikiendelea kusambaa kwa kasi nchini Marekani, Vituo vya Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa nchini humo (CDC) vimesema Wamarekani 20,000 wakiwemo watoto wadogo 136 wameaga dunia kufikia sasa msimu huu kutokana na homa ya mafua.

  • Saudia yaendelea kushikilia rekodi ya kuwa mnunuzi mkuu wa silaha duniani

    Saudia yaendelea kushikilia rekodi ya kuwa mnunuzi mkuu wa silaha duniani

    Mar 10, 2020 04:45

    Taasisi ya Kimataifa ya Utafiti wa Amani ya Stockholm (SIPRI) imetangaza kuwa, Saudi Arabia ndiyo nchi inayoongoza kwa ununuaji silaha duniani katika kipindi cha miaka mitano iliyopita.

  • Taleban: Madai kwamba tunakusudia kuvunja makubaliano si ya kweli

    Taleban: Madai kwamba tunakusudia kuvunja makubaliano si ya kweli

    Mar 08, 2020 08:24

    Msemaji wa Ofisi ya Kisiasa ya Kundi la Taleban ametupilia mbali ripoti za vyombo vya habari kwamba kundi hilo linakusudia kutofungamana na makubaliano yake na Marekani.

  • Kuendelea kuenea virusi vya Corona nchini Marekani na upuuzaji wa Trump

    Kuendelea kuenea virusi vya Corona nchini Marekani na upuuzaji wa Trump

    Mar 08, 2020 04:57

    Licha ya kuenea kwa kasi virusi vya Corona nchini Marekani, lakini Rais Donald Trump wa nchi hiyo amedai kuwa hana wasiwasi wowote kuhusiana na suala hilo.

  • Ethiopia: Ubovu wa ndege ya Boeing ya US ndiyo sababu ya ajali ya 2019

    Ethiopia: Ubovu wa ndege ya Boeing ya US ndiyo sababu ya ajali ya 2019

    Mar 07, 2020 23:14

    Rasimu ya ripoti ya muda ya wachunguzi wa Ethiopia imesema ajali mbaya ya ndege ya Boeing Max 737 iliyotokea tarehe 10 mwezi Machi mwaka jana 2019 na kuua watu 157 ilisababishwa na na matatizo ya kiufundi na ubovu wa ndege hiyo ya Kimarekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS