-
Wamarekani wapandwa na wahka kwa kupotea "mask" za kupambana na Corona madukani
Mar 01, 2020 08:23Wakuu wa majimbo ya Marekani wameonya kuhusu wahka wa wananchi wa Marekani na kuongezeka mahitaji ya vifaa vya kupambana na virusi hatari vya corona wakisema kuwa, maduka makubwa ya nchi hiyo yamekumbwa na mgogoro wa upungufu wa vitendea kazi hivyo.
-
Marekani na al-Shabaab zalaumiana kuhusu mauaji ya raia Somalia
Mar 01, 2020 04:44Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab limesema zaidi ya asilimia 80 ya mashambulizi ya anga yanayofanywa na Marekani nchini Somalia yanalenga raia wasio na hatia.
-
Washington yatangaza 'hali ya dharura' baada ya Corona kuua Marekani
Mar 01, 2020 04:33Gavana wa jimbo la Washington nchini Marekani ametangaza hali ya dharura ya kiafya baada ya mtu mmoja kuaga dunia kutokana na virusi vya Corona katika jimbo hilo, hii ikiwa ni kesi ya kwanza virusi hivyo kuua nchini Marekani.
-
Mamia waandamana katika miji ya US kulaani mauaji ya Waislamu India
Mar 01, 2020 04:26Mamia ya raia wa Marekani wenye asili ya India wamefanya maandamano katika miji mikubwa ya Marekani kulaani na kupinga ghasia zilizopelekea makumi ya watu kuuawa katika mji mkuu wa India, New Delhi.
-
Wasiwasi wa Pakistan kuhusu mkataba wa mauzo ya silaha baina ya India na Marekani
Feb 29, 2020 23:04Serikali ya Pakistan imetahadharisha kuhusu athari mbaya za mkataba wa kijeshi uliotiwa saini baina ya nchi za India na Marekani.
-
Wasiwasi wa Iran juu ya kushadidi machafuko katika eneo la magharibi mwa Asia
Feb 29, 2020 05:49Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imetoa taarifa kuhusiana na yanayojiri katika eneo la Idlib nchini Syria na kueleleza wasiwasi wa Tehran kuhusu uwezekano wa kushadidi zaidi mivutano na machafuko katika eneo hilo. Taarifa hiyo pia imelaani hatua zinazofanywa na pande nyingine kwa ajili ya kukwamisha mwenendo wa mazungumzo ya Astana.
-
Kufeli siasa za Uturuki mkoani Idlib, Syria
Feb 28, 2020 23:08Wajumbe wa kisiasa wa Russia na Uturuki wamekutana mjini Ankara kujadiliana masuala ya kaskazini mwa Syria hasa ya mkoa wa Idlib.
-
Hatua ya kukurupuka ya Marekani ya kumuwekea vikwazo Katibu Mkuu wa Kataeb Hizbullah ya Iraq
Feb 28, 2020 02:05Marekani imetuma idadi kubwa ya wanajeshi wake huko Iraq tangu mwaka 2014 kwa kisingizio cha kupambana na kundi la Daesh. Katika hatua yake ya kukurupuka Marekani imeliorodhesha jina la kiongozi wa mojawapo ya makundi muhimu ya taasisi ya Kataeb Hizbullah ya Iraq licha ya nafasi muhimu ya kundi la kujitolea la wananchi la al Hashd al Shaabi katika kutoa pigo na kuliangamiza kundi la kigaidi la Daesh huko Iraq.
-
Joe Biden atahadharisha kuhusu ongezeko kubwa la mashambulizi ya silaha nchini Marekani
Feb 27, 2020 21:46Joe Biden, Makamu wa zamani wa Rais wa Marekani ametahadharisha juu ya kiwango cha juu cha mashambulizi ya silaha za moto nchini humo.
-
Kumalizika ziara ya Trump nchini India
Feb 27, 2020 04:38Ziara ya siku mbili ya Rais Donald Trump wa Marekani huko India imemalizika katika hali ambayo hakujatangazwa habari yoyote kuhusu kufikiwa mapatano makubwa ya kibiashara kati ya nchi mbili hizo.