Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Russia: tutapinga kurejeshwa vikwazo vya Umoja wa Mataifa dhidi ya Iran

    Russia: tutapinga kurejeshwa vikwazo vya Umoja wa Mataifa dhidi ya Iran

    Feb 26, 2020 23:24

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amevitaja vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran kuwa kinyume cha sheria na kueleza kuwa Moscow itapinga juhudi zozote kwa lengo la kuirejeshea Tehran vikwazo vya Umoja wa Mataifa.

  • Sanders: Nikichaguliwa kuwa rais nitaurejesha ubalozi wa US Tel Aviv

    Sanders: Nikichaguliwa kuwa rais nitaurejesha ubalozi wa US Tel Aviv

    Feb 26, 2020 22:55

    Seneta wa jimbo la Vermont nchini Marekani anayeongoza katika mbio za kuwakilisha chama cha Democratic katika uchaguzi ujao wa rais nchini humo amemtaja Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel, Benjamin Netanyahu kama mbaguzi asiyependa ustawi wa kisiasa na kijamii.

  • Uamuzi wa Marekani wa kushadidisha vikwazo vya mafuta dhidi ya Venezuela

    Uamuzi wa Marekani wa kushadidisha vikwazo vya mafuta dhidi ya Venezuela

    Feb 26, 2020 09:36

    Serikali ya Marekani ikiwa na lengo la kuendeleza mashinikizo dhidi ya Venezuela imeazimia kushadidisha vikwazo vya mafuta dhidi ya nchi hiyo ya Amerika ya Latini.

  • Baraza la Usalama la UN launga mkono suala la kuundwa nchi huru ya Palestina

    Baraza la Usalama la UN launga mkono suala la kuundwa nchi huru ya Palestina

    Feb 26, 2020 01:03

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetangaza uungaji mkono wake kamili kwa suala la kuundwa nchi huru ya Palestina na kuendelezwa "mazungumzo yenye itibari" baina ya pande mbili.

  • Hillary Clinton: Rais Trump ni hatari kwa demokrasia ya Marekani

    Hillary Clinton: Rais Trump ni hatari kwa demokrasia ya Marekani

    Feb 25, 2020 04:32

    Waziri wa zamani wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani amemtaja Rais Donald Trump wa nchi hiyo kama mtu hatari kwa demokrasia na kusisitiza kuwa, yuko tayari kumuunga mgombea yoyote atakayechuana na mwanasiasa huyo wa Republican katika uchaguzi ujao nchini humo.

  • Dmitry Novikov: Corona ni silaha ya kibiolojia ya Marekani

    Dmitry Novikov: Corona ni silaha ya kibiolojia ya Marekani

    Feb 24, 2020 03:37

    Mwanachama wa Kamati ya Masuala ya Kimataifa ya Bunge la Russia (DUMA) amesema kuna uwezekano kwamba, virusi vya Corona ni silaha ya kibiolojia ya Marekani.

  • Afisa wa White House: Sina taarifa yoyote kuhusu uingiliaji wa Russia katika uchaguzi

    Afisa wa White House: Sina taarifa yoyote kuhusu uingiliaji wa Russia katika uchaguzi

    Feb 24, 2020 01:11

    Mshauri wa Usalama wa Taifa wa White House amesema kuwa hana taarifa wala nyaraka zozote zinazothibitisha kwamba Russia inaingilia uchaguzi huko Marekani. Hiyo ni katika kuendelea kutolewa matamshi yanayokinzana ya wanasiasa na viongozi wa Marekani kwamba Russia inaingilia masuala ya uchaguzi nchini humo.

  • Papa Francis akosoa mpango wa Trump wa Muamala wa Karne

    Papa Francis akosoa mpango wa Trump wa Muamala wa Karne

    Feb 24, 2020 01:10

    Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, kwa njia isiyo ya moja kwa moja amekosoa mpango wa Rais Donald Trump wa Muamala wa Karne ambapo ameonya kuwa, mipango ya namna hiyo inayoegemea upande mmoja haiwezi kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Palestina na Israel.

  • Marekani yafanya mazoezi ya vita vya kinyuklia dhidi Russia

    Marekani yafanya mazoezi ya vita vya kinyuklia dhidi Russia

    Feb 22, 2020 21:46

    Jeshi la Marekani limefanya mazoezi ya kuishambulia Russia kwa silaha za nyuklia huku mzozo ukizidi kutokota kati ya madola hayo mawili yenye uwezo mkubwa zaidi wa silaha za nyuklia duniani.

  • Hatua ya kisiasa ya FATF ya kuiweka Iran katika orodha nyeusi

    Hatua ya kisiasa ya FATF ya kuiweka Iran katika orodha nyeusi

    Feb 22, 2020 08:01

    Nchi za Magharibi huku zikiongozwa na Marekani kwa muda sasa zimekuwa zikizingatia na kutilia maanani utekelezaji wa siasa za mashinikizo ya pande zote kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran lengo likiwa ni kujaribu kubadilisha misingi na siasa za nchi hii.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS