Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Mousavi: Wairani hawaithamini Marekani wala vikwazo vyake dhidi yao

    Mousavi: Wairani hawaithamini Marekani wala vikwazo vyake dhidi yao

    Feb 21, 2020 23:14

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa radimali yake kufuatia hatua ya Marekani ya kuwawekea vikwazo wanachama wa Baraza la Wanazuoni Wataalamu wanaomchagua Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu na kusema kuwa, serikali, taifa na nguzo zote za Jamhuri ya Kiislamu haziipi thamani Marekani wala vikwazo vyake vya kidhalimu.

  • Safari ya Pompeo katika nchi kadhaa za Afrika na hamaniko la Marekani la kukabiliana na washindani wake

    Safari ya Pompeo katika nchi kadhaa za Afrika na hamaniko la Marekani la kukabiliana na washindani wake

    Feb 21, 2020 03:18

    Muelekeo wa madola ya Magharibi kuhusiana na bara la Afrika daima umekuwa wa kulikoloni, kulinyonya na kulipora utajiri wake bara hilo, pamoja na kuwakandamiza Waafrika wanaopigania nchi zo kuwa huru na kujitawala.

  • Seneti ya Pakistan yapasisha azimio dhidi ya njama ya Trump ya

    Seneti ya Pakistan yapasisha azimio dhidi ya njama ya Trump ya "Muamala wa Karne"

    Feb 20, 2020 04:45

    Baraza la Seneti la Pakistan limepasisha kwa sauti moja azimio linalopinga mpango wa Rais Donald Trump wa Marekani kuhusu Palestina uliopewa jina la "Muamala wa Karne" likisema kuwa unawataka Wapalestina wasalimu amri kwa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Seneta Sanders: Viongozi wa Saudi Arabia ni 'wauaji na majambazi'

    Seneta Sanders: Viongozi wa Saudi Arabia ni 'wauaji na majambazi'

    Feb 20, 2020 00:54

    Seneta wa Marekani, Bernie Sanders anayeongoza katika kinyang'anyiro cha kuwania tiketi ya chama cha Domocratic kwa ajili ya kugombea kiti cha rais wa nchi hiyo ameikosoa Saudi Arabia katika kampeni zake huko Las Vegas na kuwaita viongozi wa nchi hiyo kuwa ni 'wauaji na majambazi'.

  • UN: Mauaji ya kigaidi ya Kamanda Soleimani yalikuwa kinyume cha sheria

    UN: Mauaji ya kigaidi ya Kamanda Soleimani yalikuwa kinyume cha sheria

    Feb 19, 2020 09:28

    Tarehe 3 mwezi uliopita wa Januari Rais Donald Trump wa Marekani alikiuka sheria za kimataifa na kutoa amri ya kuuliwa kigaidi aliyekuwa kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Luteni Jenerali Qassem Soleimani na wenzake kadhaa karibu na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Baghdad nchini Iraq alikokuwa ameenda safarini kwa mwaliko rasmi wa Waziri Mkuu wa nchi hiyo.

  • Rais Rouhani: Mahudhurio ya hamasa ya wananchi wa Iran katika uchaguzi yanaikasirisha Marekani

    Rais Rouhani: Mahudhurio ya hamasa ya wananchi wa Iran katika uchaguzi yanaikasirisha Marekani

    Feb 19, 2020 08:12

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, mahudhurio ya hamasa ya wananchi wa Iran katika uchaguzi ujao wa Bunge wa Ijumaa ya keshokutwa tarehe 21 Februari yataikasirisha Marekani.

  • Ripoti: Marekani ni kituo kikubwa zaidi duniani cha kuhifadhi fedha 'chafu'

    Ripoti: Marekani ni kituo kikubwa zaidi duniani cha kuhifadhi fedha 'chafu'

    Feb 19, 2020 04:42

    Ripoti mpya ya shirika la Tax Justice Network (TJN) imeituhumu Marekani kuwa ndicho kitovu kikubwa zaidi duniani cha kuficha na kutakatisha fedha haramu.

  • John Bolton akosoa siasa za Trump za mashinikizo ya kiwango cha juu dhidi ya Iran

    John Bolton akosoa siasa za Trump za mashinikizo ya kiwango cha juu dhidi ya Iran

    Feb 18, 2020 23:22

    Mshauri wa Zamani wa Usalama wa Taifa nchini Marekani ambaye binafsi ni miongoni mwa wabunifu wa mpango wa mashinikizo ya kiwango cha juu dhidi ya Iran katika serikali ya Rais Donald Trump, amekosoa utekelezaji wa siasa hizo za Trump kuilenga Tehran.

  • China yasisitiza kuwa serikali ya Marekani ni ya kijasusi

    China yasisitiza kuwa serikali ya Marekani ni ya kijasusi

    Feb 18, 2020 23:21

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China amesisitiza serikali ya Marekani imesimama katika msingi wa ujasusi wa kimtandao duniani.

  • Rais Nicolás Maduro: Hatuogopi hata kidogo kukabiliana kijeshi na Marekani

    Rais Nicolás Maduro: Hatuogopi hata kidogo kukabiliana kijeshi na Marekani

    Feb 18, 2020 12:37

    Rais Nicolás Maduro wa Venezuela sambamba na kufichua njama chafu za Rais Donald Trump wa Marekani kwa ajili ya kuishambulia kijeshi nchi hiyo ya Amerika ya Latini, amesisitiza kuwa nchi yake haitishiki na makabiliano ya kijeshi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS