-
2019; mwaka wa vifo vingi vya wanajeshi vamizi wa Marekani huko Afghanistan
Dec 25, 2019 21:41Mwaka 2019 umetajwa kuwa mwaka wa mauti zaidi kwa wanajeshi vamizi wa Marekani nchini Afghanistan tangu kumalizika rasmi oparesheni za kivita nchini humo.
-
Jarida la Christianity Today la Marekani lamponda tena Trump
Dec 24, 2019 08:16Jarida la Kiinjilisti la Christianity Today la Marekani kwa mara nyingine tena limemkosoa vikali Rais Donald Trump wa nchi hiyo, likisisitiza kuwa mwanasiasa huyo wa Republican anapaswa kuondolewa ofisini.
-
John Bolton akiri kufeli siasa za mashinikizo ya juu zaidi za Trump dhidi ya Korea Kaskazini
Dec 24, 2019 03:32Rais Donald Trump wa Marekani ambaye amekuwa akitumia mabavu dhidi ya nchi shindani na zinazopinga siasa za Washington, pia anatekeleza siasa za vitisho na mazungumzo ya siri dhidi ya Korea Kaskazini.
-
Waziri wa Ulinzi wa Marekani atishia kupigana vita na Korea Kaskazini
Dec 24, 2019 00:55Waziri wa Ulinzi wa Marekani ameitishia kuanzisha vita dhidi ya Korea Kaskazini.
-
Uamuzi wa Mahakama ya ICC wa kufuatilia jinai za utawala wa Kizayuni
Dec 21, 2019 21:43Hatua zilizo dhidi ya ubinadamu na za ukiukaji sheria zinazochukuliwa na utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina zimekuwa zikilaaniwa mara kwa mara na taasisi za kutetea haki za binadamu na pia za kimataifa. Kutokana na kushtadi kwa hatua hizo za utendaji jinai, taasisi ya kimataifa yenye jukumu la kushughulikia jinai za kivita hivi sasa imepanga kuchunguza suala hilo.
-
Jumapili, Disemba 22, 2019
Dec 21, 2019 21:42Leo ni Jumapili tarehe 25 Mfungo Saba Rabiuth-Thani 1441 Hijria, sawa na tarehe 22 Disemba 2019 Miladia.
-
Rais Rouhani akiwa Japan: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran havimnufaishi yoyote
Dec 20, 2019 23:35Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema hatua ya upande mmoja ya Marekani ya kujiondoa kinyume cha sheria kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA haina maslahi kwa Marekani yenyewe wala upande wowote wa mapatano hayo ya kimataifa.
-
Azimio la UN kwa ajili ya kuwaondolea vizuizi wanadiplomasia wa Iran nchini Marekani
Dec 20, 2019 02:46Marekani ambayi ni mwenyeji wa makao makuu ya Umoja wa Mataifa siku zore imekuwa ikitatiza na kuwekdea vizingiti wanadiplomasia na viongozi wa ngazi za juu wa nchi mbalimbali zinaopinga siasa za Washington.
-
Rouhani: Marekani ndio mzizi wa matatizo ya Waislamu duniani
Dec 19, 2019 00:38Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema uingiliaji mambo wa Marekani ndilo chimbuko la matatizo na migogoro inayoukabili uliwemwengu wa Kiislamu hii leo.
-
Kupitishwa bajeti ya kijeshi ya 2020 katika Seneti ya Marekani; kuzidi kuaminisha utumizi wa nguvu za kijeshi
Dec 18, 2019 04:06Marekani ni nchi yenye bajeti kubwa zaidi ya kijeshi duniani, yakiwa ni matokeo ya sera yake ya kuaminisha zaidi kutumia mabavu na nguvu za kijeshi katika uga wa kimataifa. Washington huongeza kila mwaka bajeti yake hiyo; na kwa kufanya hivyo kupiga hatua zaidi za kupanua na kuimarisha nguvu zake za kijeshi.