-
Ulimwengu wa Spoti, Nov 4
Nov 04, 2019 04:34Hujambo mpenzi msikilizaji natumai huna neno, karibu tututupie jicho baadhi ya matukio muhimu ya spoti yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita, kitaifa na kimataifa…….
-
Kuna watu milioni 38 masikini nchini Marekani
Nov 03, 2019 09:15Raia wa Marekani wasiopungua milioni 38, wakiwemo watoto milioni 12 wanaishi katika umasikini wa kupindukia katika nchi hiyo ambayo ina utajiri mkubwa na Pato Ghafi la Taifa la juu zaidi duniani.
-
Kiongozi Muadhamu: Mazungumzo na Marekani hayajakuwa na matokeo yoyote
Nov 03, 2019 08:59Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema mazungumzo na Marekani hayajakuwa na matokeo yoyote na kusisitiza kuwa: "Mazungumzo na Marekani hayajakuwa na faida kwa sababu hawataki kulegeza msimamo hata kidogo."
-
Mahakama yasimamisha sera ya Trump dhidi ya wahamiaji
Nov 03, 2019 04:34Jaji wa Mahakama ya Federali ya Wilaya ya Portland, jimboni Oregon ncini Marekani amesitisha kwa muda utekelezaji wa sera iliyotangazwa na utawala wa Rais Donald Trump ya kuwataka wahamiaji kuthibitisha kuwa wana uwezo wa kugharamia bima ya afya au matibabu kabla ya kupatiwa kibali cha kuingia nchini humo.
-
Larijani: Trump ni nembo ya sura ya kuogofya ya Marekani
Nov 03, 2019 04:31Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema tabia ya Donald Trump ya kufichua sera haribifu zilizofichika za Ikulu ya White House ya Marekani imeweka hadharani sura halisi, mbaya na ya kuogofya ya Washington.
-
Sisitizo la Lavrov juu ya mchango wa Marekani katika kudhihiri al Baghdadi na Daesh
Nov 02, 2019 23:02Baada ya kuanza mgogoro wa Syria hapo mwaka 2011 na vita vilivyosababishwa na mgogoro huo, Marekani ilikuwa na nafasi muhimu na kuu katika kuundwa na kujitokeza makundi ya kigaidi nchini humo hususan kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh; suala ambalo Washington imefanya jitihada kubwa za klificha kwa kuanzisha kile ilichodai ni muungano wa kupambana na Daesh.
-
SEPAH: Watu milioni 8.5 wameuawa kutokana na uingiliaji mambo wa Marekani
Nov 02, 2019 09:13Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema watu zaidi ya milioni nane na laki tano wameuawa kutokana na uingiliaji wa mambo wa Marekani wa moja kwa moja na usio wa moja kwa moja katika eneo na katika ulimwengu wa Kiislamu, ndani ya miaka 40 iliyopita.
-
Democrats wataka Marekani iikatie Israel misaada ya kijeshi
Nov 02, 2019 09:01Wagombea wa urais kwa tiketi ya chama cha Democrat nchini Marekani wamesema serikali ya Washington inapaswa kusitisha misaada ya kijeshi kwa utawala wa Kizayuni wa Israel, iwapo utaendelea kupora na kujenga vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
-
Zarif: Wairani hawatasalimu amri mbele dhulma za Marekani
Nov 02, 2019 03:27Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amezungumzia vikwazo vipya vya Marekkani dhidi ya Iran na kusema kuwa, hata kama Marekani itawawekea vikwazo wanaume, wanawake na watoto wote wa Iran kamwe Wairani hawatasalimu amri na kupiga magoti mbele ya serikali ya Washington.
-
Zimbabwe yaonya kuhusu matamshi ya uingiliaji mambo ya balozi wa Marekani
Nov 01, 2019 08:50Waziri wa Mambo ya Nje wa Zimbabwe amemuonya balozi wa Marekani mjini Harare, mji mkuu wa nchi hiyo kutokana na matamshi yake ya uingiliaji katika masuala ya ndani ya nchi hiyo.