Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Vikwazo vipya vya Marekani na waitifaki wake wa eneo dhidi ya Iran na makundi ya muqawama

    Vikwazo vipya vya Marekani na waitifaki wake wa eneo dhidi ya Iran na makundi ya muqawama

    Oct 31, 2019 21:40

    Sera za serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani ni kuendelea kushadidisha mashinikizo dhidi ya Iran katika fremu ya 'mashinikizo ya juu kabisa' kwa kushirikiana na waitifaki wake. Kwa msingi huo Trump sasa anajaribu pia kuyawekea vikwazo makundi ya muqawama au mapambano ya Kiislamu katika eneo.

  • HRW: Askari wa Afghanistan waliopewa mafunzo na CIA wanafanya jinai za kivita

    HRW: Askari wa Afghanistan waliopewa mafunzo na CIA wanafanya jinai za kivita

    Oct 31, 2019 08:01

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limeripoti kuwa, kikosi cha askari wa Afghanistan kilichopewa mafunzo na kufadhiliwa na shirika la ujasusi la Marekani CIA kimefanya uhalifu wa kivita kutokana na mbinu zao za kuvamia makazi ya raia nyakati za usiku, kupoteza watu, kushambulia vituo vya afya na kuua raia.

  • Ukosoaji mkali wa Human Rights Watch kwa Marekani kutokana na vikwazo vyake dhidi ya Iran

    Ukosoaji mkali wa Human Rights Watch kwa Marekani kutokana na vikwazo vyake dhidi ya Iran

    Oct 30, 2019 10:10

    Baada ya kujitoa katika mapatano ya kimataifa ya nyuklia ya JCPOA mwezi Mei 2018 serikali ya Donald Trump ya Marekani iliirejeshea Iran vikwazo vyote vilivyokuwa vimeondolewa baada ya mapatano hayo bali hata iliongeza vikwazo vingine vingi na kujigamba kuwa imeiwekea Iran vikwazo vya kiwango cha juu kabisa ambavyo havijawahi kuwekewa nchi yoyote ile duniani.

  • Marekani na magendo ya mafuta ya Syria

    Marekani na magendo ya mafuta ya Syria

    Oct 30, 2019 04:12

    Jumatatu iliyopita Mark Esper, Waziri wa Ulinzi wa Marekani alidai kuwa eti nchi yake ipo nchini Syria kwa ajili ya kulinda vyanzo vya mafuta vya taifa hilo la Kiarabu, na kwamba Washington haitaki kuona vyanzo hivyo vikiingia kwa mara nyingine katika udhibiti wa kundi la Daesh (ISIS).

  • Trump adai pia habari ya kuuawa mrithi wa Abubakar al-Baghdadi

    Trump adai pia habari ya kuuawa mrithi wa Abubakar al-Baghdadi

    Oct 30, 2019 01:07

    Rais Donald Trump wa Marekani ameandika katika mtandao wa kijamii wa Twitter kwamba askari wa Kimarekani wamemuua pia mrithi wa Abubakar al-Baghdadi, kiongozi wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS).

  • Marekani yadai imeitupa baharini maiti ya Abu Bakr al Baghdadi

    Marekani yadai imeitupa baharini maiti ya Abu Bakr al Baghdadi

    Oct 29, 2019 13:06

    Mkuu wa majeshi ya Marekani amedai kuwa mwili wa aliyekuwa kiongozi wa kundi la kigaidi la Daesh, Abu Bakr al Baghdadi umetupwa bahaini baada ya kuthibitishwa kuwa wake kupitia kipimo cha vinasaba (DNA).

  • Mhimili wa Muqawama; ushindi katika medani ya vita dhidi ya maadui Asia Magharibi

    Mhimili wa Muqawama; ushindi katika medani ya vita dhidi ya maadui Asia Magharibi

    Oct 29, 2019 08:14

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, mhimili wa muqawama katika eneo la Asia Magharibi ndiyo sababu ya kushindwa maadui na hivyo kuwafanya waanze kufanya njama dhidi ya harakati ya muqawama na eneo hili la Asia Magharibi.

  • Mshauri wa Spika wa Bunge: Kinara wa genge la kigaidi la DAESH alikuwa kikaragosi cha Marekani

    Mshauri wa Spika wa Bunge: Kinara wa genge la kigaidi la DAESH alikuwa kikaragosi cha Marekani

    Oct 28, 2019 04:05

    Mkurugenzi Mkuu wa masuala ya kimataifa wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema, kinara wa genge la kigaidi la DAESH (ISIS) Abubakar al-Baghdadi ni kikaragosi kilichotengezwa na Marekani ambacho muda wa matumizi yake ulikuwa umeshamalizika.

  • Kuangamizwa al Baghdadi na njama za Marekani za kujifanya inapambana na Daesh

    Kuangamizwa al Baghdadi na njama za Marekani za kujifanya inapambana na Daesh

    Oct 28, 2019 02:29

    Marekani pamoja na waitifaki wake wa Kiarabu na Kimagharibi ndio waliolianzisha, kulitia nguvu na kuliunga mkono kwa kila namna na hali na mali; genge la kigaidi na la ukufurishaji la Daesh (ISIS) kwa shabaha ya kuiangusha serikali halali ya Syria.

  • Zarif amlaumu Trump kwa uongo wake mpya katika kushadidisha ugaidi wa kiuchumi dhidi ya wananchi wa Iran

    Zarif amlaumu Trump kwa uongo wake mpya katika kushadidisha ugaidi wa kiuchumi dhidi ya wananchi wa Iran

    Oct 27, 2019 23:26

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amemkosoa vikali rais wa Marekani, Donald Trump kwa uongo wake mpya katika kushadidisha ugaidi wa kiuchumi dhidi ya wananchi wa kawaida wa Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS