Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • TV na redio za fitna za Saudia na Marekani zapigwa marufuku Iraq

    TV na redio za fitna za Saudia na Marekani zapigwa marufuku Iraq

    Oct 27, 2019 23:05

    Serikali ya Iraq imezipiga marufuku televisheni tatu na redio moja za Marekani na Saudi Arabia kwa kueneza fitna na machafuko nchini Iraq.

  • Abubakr al-Baghdadi, kiongozi wa Daesh auawa

    Abubakr al-Baghdadi, kiongozi wa Daesh auawa

    Oct 27, 2019 04:08

    Afisa mmoja wa Pentagon nchini Marekani amesema kuwa Abubakr al-Baghdadi, kiongozi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh ameuawa katika operesheni ya siri iliyotekelezwa kaskazini magharibi mwa Syria.

  • Picha za satalaiti zathibitisha; Marekani inafanya magendo ya mafuta ya Syria

    Picha za satalaiti zathibitisha; Marekani inafanya magendo ya mafuta ya Syria

    Oct 26, 2019 08:53

    Russia imesema picha za satalaiti zimetoa ithibati kuwa Marekani inafanya magendo ya mafuta ya Syria chini ya ulinzi wa vikosi vyake vya usalama.

  • Nakisi ya bajeti ya Marekani yakaribia dola trilioni moja

    Nakisi ya bajeti ya Marekani yakaribia dola trilioni moja

    Oct 26, 2019 08:32

    Serikali ya Marekani imemaliza mwaka huu wa kifedha wa 2019 kwa nakisi ya bajeti inayokaribia dola trilioni moja, ikiwa ni kiwango kikubwa zaidi cha nakisi kuwahi kushuhudiwa nchini humo ndani ya miaka saba iliyopita.

  • Raia 3 wa Somalia 'watoweka' kufuatia shambulizi la anga la Marekani

    Raia 3 wa Somalia 'watoweka' kufuatia shambulizi la anga la Marekani

    Oct 26, 2019 08:27

    Kwa akali raia watatu wanahofiwa kuuawa katika shambulizi la anga lililofanywa na ndege isiyo na rubani 'drone' ya Marekani katika eneo la Puntland, kaskazini mashariki mwa Somalia.

  • Mwanafunzi wa Kiislamu Marekani aondolewa mashindanoni kwa kuvaa hijabu

    Mwanafunzi wa Kiislamu Marekani aondolewa mashindanoni kwa kuvaa hijabu

    Oct 26, 2019 08:24

    Mwanafunzi wa kike wa shule moja katika jimbo la Ohio nchini Marekani ameondolewa kwenye mashindano ya mbio za nyika kwa kuvaa vazi la stara la hijabu.

  • Trump aendelea kutoa misimamo ya nyuso mbili kuhusu Wakurdi wa Syria

    Trump aendelea kutoa misimamo ya nyuso mbili kuhusu Wakurdi wa Syria

    Oct 25, 2019 03:40

    Rais wa Marekani kwa mara nyingine tena ametia ulimi puani na kubadilisha msimamo wake wa huko nyuma kuhusu Wakurdi wa Syria. Katika ujumbe wake mpya wa Twitter sasa Trump amewataka Wakurdi hao waende wakajikusanye kwenye maeneo yenye utajiri wa mafuta.

  • Safari ya Waziri wa Ulinzi wa Marekani nchini Saudia na madai ya kuulinda utawala wa Aal Saud

    Safari ya Waziri wa Ulinzi wa Marekani nchini Saudia na madai ya kuulinda utawala wa Aal Saud

    Oct 23, 2019 12:37

    Rais Donald Trump wa Marekani daima amekuwa akidai kuwa, anawahami na kuwalinda waitifaki wake wa Mashariki ya Kati, na katika uwanja huo Saudi Arabia ambayo ni mshirika mkuu wa Washington ina nafasi maalumu katika siasa za kikanda za White House.

  • Takwimu: Watu wanaojiua wazidi kuongezeka nchini Marekani

    Takwimu: Watu wanaojiua wazidi kuongezeka nchini Marekani

    Oct 23, 2019 09:44

    Vyombo vya habari nchini Marekani vinaripoti kuwa, vitendo vya kujiua vimeongezeka mno nchini humo hususan baina ya vijana.

  • Makeke ya Trump mbele ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Makeke ya Trump mbele ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Oct 22, 2019 08:20

    Donald Trump Rais wa Marekani mwenye kubwabwaja sana tangu aingie ikulu ya White House amechukua mkondo wa sera za chuki na uhasama dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na utendaji wake umejikita katika mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa dhidi ya Tehran ili kwa njia hiyo aweze kulifanya taifa hili lisalimu amri na kukubali matakwa ya Washington.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS