Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Jeshi la Iraq: Askari wa Marekani hawana haki ya kuwepo ndani ya nchi hii

    Jeshi la Iraq: Askari wa Marekani hawana haki ya kuwepo ndani ya nchi hii

    Oct 22, 2019 08:16

    Kamandi ya jeshi la Iraq sambamba na kutoa taarifa imesema kuwa, askari wa Marekani ambao wametokea Syria, wanaweza tu kuitumia Iraq kama njia ya kuvuka na kwamba hawana haki ya kuweka kambi nchini humo.

  • Marekani yasema iko tayari kutumia nguvu za kijeshi dhidi ya Uturuki

    Marekani yasema iko tayari kutumia nguvu za kijeshi dhidi ya Uturuki

    Oct 22, 2019 04:39

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amesema Rais Donald Trump yuko tayari kutumia nguvu za kijeshi dhidi ya Uturuki iwapo 'italazimu'.

  • Wakati nchi za Ulaya zinapochoshwa na uadui wa Trump na kuamua kujibu vita vya kiuchumi

    Wakati nchi za Ulaya zinapochoshwa na uadui wa Trump na kuamua kujibu vita vya kiuchumi

    Oct 20, 2019 02:56

    Viongozi wa Ulaya wamekasirishwa mno na vita vipya vya kiuchumi vilivyoanzishwa na rais wa Marekani, baada ya Donald Trump kutangaza ushuru mpya kwa bidhaa za nchi za Ulaya na hivyo kuingia katika vita vikubwa mno vya ushuru na waitifaki hao wa miaka mingi wa Marekani.

  • Russia: Ulaya pia imechoshwa na siasa za ubeberu za Marekani

    Russia: Ulaya pia imechoshwa na siasa za ubeberu za Marekani

    Oct 19, 2019 12:03

    Waziri Mkuu wa Russia, Dmitry Medvedev amesema kuwa, nchi za Ulaya pia zimechochwa na siasa za ubeberu za Marekani.

  • CNN: Silaha za Marekani zinaishia mikononi mwa magaidi Yemen

    CNN: Silaha za Marekani zinaishia mikononi mwa magaidi Yemen

    Oct 19, 2019 09:02

    Uchunguzi uliofanywa na kanali ya televisheni ya CNN umebaini kuwa, silaha za Marekani zilizonunuliwa na muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia katika mashambulizi yake dhidi ya Yemen ziko mikononi mwa magenge yenye mfungamano na mtandao wa kigaidi wa al-Qaeda na makundi mengine ya Kisalafi yenye misimamo ya kufurutu ada nchini Yemen.

  • Marekani: Mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa dhidi ya Iran yataendelea na yatakuwa makali zaidi

    Marekani: Mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa dhidi ya Iran yataendelea na yatakuwa makali zaidi

    Oct 19, 2019 00:11

    Brian Hook, mkuu wa "Kundi la Uchukuaji Hatua Dhidi ya Iran" katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani amesema, kampeni ya utoaji mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu itaendelea, na mashinikizo hayo yatazidi kuwa makali.

  • Licha ya kuafiki kusitisha mashambulio, ndege za kivita za Uturuki zaendelea kuua raia Syria

    Licha ya kuafiki kusitisha mashambulio, ndege za kivita za Uturuki zaendelea kuua raia Syria

    Oct 18, 2019 11:51

    Mashambulio ya anga yaliyofanywa na ndege za kivita za Uturuki yameua raia wasiopungua watano huku mapigano ya hapa na pale yakiendelea kati ya majeshi ya nchi hiyo na wapiganaji wa Kikurdi kaskazini mashariki mwa Syria licha ya maafikiano ya kusitisha hujuma yaliyofikiwa kati ya Uturuki na Marekani hapo jana.

  • Safari ya maafisa wa Marekani nchini Uturuki na kusalimu amri Ankara mbele ya matakwa ya Washington

    Safari ya maafisa wa Marekani nchini Uturuki na kusalimu amri Ankara mbele ya matakwa ya Washington

    Oct 18, 2019 10:55

    Mashambulizi ya jeshi la Uturuki huko kaskazini mwa Syria ambayo yamefanyika kwa ruhusa na baraka za Rais Donald Trump wa Marekani kwa kuyaondoa majeshi ya nchi hiyo katika eneo hilo, yamekabiliwa na upinzani mkali huko Washington kiasi kwamba, hata wawakilishi wa Kongresi wamepasisha azimio wakilaani hatua hiyo ya Trump.

  • Bunge la Marekani lalaani hatua ya Trump kuondoa wanajeshi wa Marekani Syria

    Bunge la Marekani lalaani hatua ya Trump kuondoa wanajeshi wa Marekani Syria

    Oct 17, 2019 23:53

    Hatua ya rais wa Marekani, Donald Trump ya kuondoa wanajeshi wa Marekani kaskazini mwa Syria, jambo ambalo limewezesha Uturuki kushambulia eneo hilo, imekosolewa ndani ya Marekani.

  • Iran: Kuzinduliwa ndege mpya ya kivita ya Yasin, ishara ya kushindwa vikwazo

    Iran: Kuzinduliwa ndege mpya ya kivita ya Yasin, ishara ya kushindwa vikwazo

    Oct 17, 2019 10:03

    Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema hatua ya Iran kuzindua ndege mpya ya kivita iliyotengenezwa na wataalamu wa kijeshi wa hapa nchini ni ishara tosha kuwa vikwazo vya kidhalimu vya Marekani havijakuwa na athari zozote kwa taifa hili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS