-
Jeshi la Iraq: Askari wa Marekani hawana haki ya kuwepo ndani ya nchi hii
Oct 22, 2019 08:16Kamandi ya jeshi la Iraq sambamba na kutoa taarifa imesema kuwa, askari wa Marekani ambao wametokea Syria, wanaweza tu kuitumia Iraq kama njia ya kuvuka na kwamba hawana haki ya kuweka kambi nchini humo.
-
Marekani yasema iko tayari kutumia nguvu za kijeshi dhidi ya Uturuki
Oct 22, 2019 04:39Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amesema Rais Donald Trump yuko tayari kutumia nguvu za kijeshi dhidi ya Uturuki iwapo 'italazimu'.
-
Wakati nchi za Ulaya zinapochoshwa na uadui wa Trump na kuamua kujibu vita vya kiuchumi
Oct 20, 2019 02:56Viongozi wa Ulaya wamekasirishwa mno na vita vipya vya kiuchumi vilivyoanzishwa na rais wa Marekani, baada ya Donald Trump kutangaza ushuru mpya kwa bidhaa za nchi za Ulaya na hivyo kuingia katika vita vikubwa mno vya ushuru na waitifaki hao wa miaka mingi wa Marekani.
-
Russia: Ulaya pia imechoshwa na siasa za ubeberu za Marekani
Oct 19, 2019 12:03Waziri Mkuu wa Russia, Dmitry Medvedev amesema kuwa, nchi za Ulaya pia zimechochwa na siasa za ubeberu za Marekani.
-
CNN: Silaha za Marekani zinaishia mikononi mwa magaidi Yemen
Oct 19, 2019 09:02Uchunguzi uliofanywa na kanali ya televisheni ya CNN umebaini kuwa, silaha za Marekani zilizonunuliwa na muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia katika mashambulizi yake dhidi ya Yemen ziko mikononi mwa magenge yenye mfungamano na mtandao wa kigaidi wa al-Qaeda na makundi mengine ya Kisalafi yenye misimamo ya kufurutu ada nchini Yemen.
-
Marekani: Mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa dhidi ya Iran yataendelea na yatakuwa makali zaidi
Oct 19, 2019 00:11Brian Hook, mkuu wa "Kundi la Uchukuaji Hatua Dhidi ya Iran" katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani amesema, kampeni ya utoaji mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu itaendelea, na mashinikizo hayo yatazidi kuwa makali.
-
Licha ya kuafiki kusitisha mashambulio, ndege za kivita za Uturuki zaendelea kuua raia Syria
Oct 18, 2019 11:51Mashambulio ya anga yaliyofanywa na ndege za kivita za Uturuki yameua raia wasiopungua watano huku mapigano ya hapa na pale yakiendelea kati ya majeshi ya nchi hiyo na wapiganaji wa Kikurdi kaskazini mashariki mwa Syria licha ya maafikiano ya kusitisha hujuma yaliyofikiwa kati ya Uturuki na Marekani hapo jana.
-
Safari ya maafisa wa Marekani nchini Uturuki na kusalimu amri Ankara mbele ya matakwa ya Washington
Oct 18, 2019 10:55Mashambulizi ya jeshi la Uturuki huko kaskazini mwa Syria ambayo yamefanyika kwa ruhusa na baraka za Rais Donald Trump wa Marekani kwa kuyaondoa majeshi ya nchi hiyo katika eneo hilo, yamekabiliwa na upinzani mkali huko Washington kiasi kwamba, hata wawakilishi wa Kongresi wamepasisha azimio wakilaani hatua hiyo ya Trump.
-
Bunge la Marekani lalaani hatua ya Trump kuondoa wanajeshi wa Marekani Syria
Oct 17, 2019 23:53Hatua ya rais wa Marekani, Donald Trump ya kuondoa wanajeshi wa Marekani kaskazini mwa Syria, jambo ambalo limewezesha Uturuki kushambulia eneo hilo, imekosolewa ndani ya Marekani.
-
Iran: Kuzinduliwa ndege mpya ya kivita ya Yasin, ishara ya kushindwa vikwazo
Oct 17, 2019 10:03Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema hatua ya Iran kuzindua ndege mpya ya kivita iliyotengenezwa na wataalamu wa kijeshi wa hapa nchini ni ishara tosha kuwa vikwazo vya kidhalimu vya Marekani havijakuwa na athari zozote kwa taifa hili.