Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Rais Tayyip Erdoğan: Uturuki haiogopi vikwazo vya Marekani

    Rais Tayyip Erdoğan: Uturuki haiogopi vikwazo vya Marekani

    Oct 17, 2019 09:52

    Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amedai kwamba lengo la operesheni za nchi yake kaskazini mwa Syria lipo wazi na kwamba serikali ya Ankara haiogopi hata kidogo vikwazo vya Marekani.

  • Hali mbaya kwa wanajeshi wa Marekani Syria, Washington yalazimika kushambulia kambi zake yenyewe

    Hali mbaya kwa wanajeshi wa Marekani Syria, Washington yalazimika kushambulia kambi zake yenyewe

    Oct 17, 2019 04:33

    Baada ya wanajeshi vamizi wa Marekani kulazimika kuondoka kaskazini mwa Syria, jeshi hilo vamizi limeamua kushambulia na kuteketeza kila kitu katika kambi zake ambazo linalazimika kuondoka kaskazini mwa Syria.

  • China yaitahadharisha Marekani kwa kuingilia masuala ya ndani ya Hong Kong

    China yaitahadharisha Marekani kwa kuingilia masuala ya ndani ya Hong Kong

    Oct 16, 2019 08:32

    Serikali ya China imeendelea kulaani vikali uingiliaji wa Marekani katika masuala ya ndani ya mji wa Hong Kong, kwa kupasisha muswada uliopewa jina la 'Haki za binaadamu na demokrasia.'

  • Korea Kaskazini: Hatutosalimu amri mbele ya Marekani

    Korea Kaskazini: Hatutosalimu amri mbele ya Marekani

    Oct 16, 2019 08:21

    Kiongozi wa Korea Kaskazini amekemea uhasama wa vikwazo na mashinikizo ya Marekani dhidi ya nchi yake na kusisitiza kwamba, kamwe serikali ya Pyongyang haitosalimu amri mbele ya Washington.

  • Athari za vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran zafika katika fukwe za Ulaya

    Athari za vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran zafika katika fukwe za Ulaya

    Oct 16, 2019 01:04

    Vikwazo vya kidhalimu vya Marekani dhidi ya Iran vimeanza kuziathiri nchi za Ulaya kwa njia isiyo ya moja kwa moja.

  • Trump na uvamizi wa Uturuki kaskazini mwa Syria; kutoka kubariki hadi vikwazo

    Trump na uvamizi wa Uturuki kaskazini mwa Syria; kutoka kubariki hadi vikwazo

    Oct 15, 2019 23:26

    Licha ya kwamba awali rais wa Marekani alibariki uvamizi wa kijeshi wa Uturuki huko kaskazini mwa Syria lakini hivi sasa amegeuka kikamilifu na kutoa amri ya kuwekewa vikwazo Ankara.

  • Rouhani: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran ni ugaidi wa kiuchumi

    Rouhani: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran ni ugaidi wa kiuchumi

    Oct 15, 2019 09:40

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, hatua ya Marekani kujiondoa katika mapatano ya kimataifa ya nyuklia ya JCPOA ni fedheha kwa Marekani na kuongeza kuwa: "Fedheha kubwa zaidi kwa Marekani ni kuwawekea watu wa Iran vikwazo vya dawa na chakula."

  • Jenerali wa zamani wa Marekani: Trump ni muhusika wa mauaji kaskazini mwa Syria

    Jenerali wa zamani wa Marekani: Trump ni muhusika wa mauaji kaskazini mwa Syria

    Oct 15, 2019 01:15

    Kamanda wa zamani wa majeshi ya Marekani nchini Afghanistan amebainisha kwamba, Rais Donald Trump wa Marekani ni muhusika wa mgogoro na mauaji kaskazini mwa Syria.

  • Polisi ya Marekani yaendeleza ukatili dhidi ya Wamarekani weusi

    Polisi ya Marekani yaendeleza ukatili dhidi ya Wamarekani weusi

    Oct 14, 2019 04:49

    Katika kile kinachoonekana ni muendelezo wa mauaji ya kibaguzi yanayofanywa na askari polisi wa Marekani dhidi ya raia wa nchi hiyo wenye asili ya Afrika, mwanamke mweusi nchini humo ameuawa kwa kupigwa risasi na polisi kupitia dirisha la chumbani kwake mapema Jumamosi

  • Mwanasayansi wa Iran anashikiliwa Marekani kinyume cha sheria

    Mwanasayansi wa Iran anashikiliwa Marekani kinyume cha sheria

    Oct 13, 2019 23:25

    Mwanasayansi Muirani, Profesa Masoud Suleimani, anashikiliwa nchini Marekani kwa muda wa mwaka mmoja sasa kinyume cha sheria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS