-
Rais Tayyip Erdoğan: Uturuki haiogopi vikwazo vya Marekani
Oct 17, 2019 09:52Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amedai kwamba lengo la operesheni za nchi yake kaskazini mwa Syria lipo wazi na kwamba serikali ya Ankara haiogopi hata kidogo vikwazo vya Marekani.
-
Hali mbaya kwa wanajeshi wa Marekani Syria, Washington yalazimika kushambulia kambi zake yenyewe
Oct 17, 2019 04:33Baada ya wanajeshi vamizi wa Marekani kulazimika kuondoka kaskazini mwa Syria, jeshi hilo vamizi limeamua kushambulia na kuteketeza kila kitu katika kambi zake ambazo linalazimika kuondoka kaskazini mwa Syria.
-
China yaitahadharisha Marekani kwa kuingilia masuala ya ndani ya Hong Kong
Oct 16, 2019 08:32Serikali ya China imeendelea kulaani vikali uingiliaji wa Marekani katika masuala ya ndani ya mji wa Hong Kong, kwa kupasisha muswada uliopewa jina la 'Haki za binaadamu na demokrasia.'
-
Korea Kaskazini: Hatutosalimu amri mbele ya Marekani
Oct 16, 2019 08:21Kiongozi wa Korea Kaskazini amekemea uhasama wa vikwazo na mashinikizo ya Marekani dhidi ya nchi yake na kusisitiza kwamba, kamwe serikali ya Pyongyang haitosalimu amri mbele ya Washington.
-
Athari za vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran zafika katika fukwe za Ulaya
Oct 16, 2019 01:04Vikwazo vya kidhalimu vya Marekani dhidi ya Iran vimeanza kuziathiri nchi za Ulaya kwa njia isiyo ya moja kwa moja.
-
Trump na uvamizi wa Uturuki kaskazini mwa Syria; kutoka kubariki hadi vikwazo
Oct 15, 2019 23:26Licha ya kwamba awali rais wa Marekani alibariki uvamizi wa kijeshi wa Uturuki huko kaskazini mwa Syria lakini hivi sasa amegeuka kikamilifu na kutoa amri ya kuwekewa vikwazo Ankara.
-
Rouhani: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran ni ugaidi wa kiuchumi
Oct 15, 2019 09:40Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, hatua ya Marekani kujiondoa katika mapatano ya kimataifa ya nyuklia ya JCPOA ni fedheha kwa Marekani na kuongeza kuwa: "Fedheha kubwa zaidi kwa Marekani ni kuwawekea watu wa Iran vikwazo vya dawa na chakula."
-
Jenerali wa zamani wa Marekani: Trump ni muhusika wa mauaji kaskazini mwa Syria
Oct 15, 2019 01:15Kamanda wa zamani wa majeshi ya Marekani nchini Afghanistan amebainisha kwamba, Rais Donald Trump wa Marekani ni muhusika wa mgogoro na mauaji kaskazini mwa Syria.
-
Polisi ya Marekani yaendeleza ukatili dhidi ya Wamarekani weusi
Oct 14, 2019 04:49Katika kile kinachoonekana ni muendelezo wa mauaji ya kibaguzi yanayofanywa na askari polisi wa Marekani dhidi ya raia wa nchi hiyo wenye asili ya Afrika, mwanamke mweusi nchini humo ameuawa kwa kupigwa risasi na polisi kupitia dirisha la chumbani kwake mapema Jumamosi
-
Mwanasayansi wa Iran anashikiliwa Marekani kinyume cha sheria
Oct 13, 2019 23:25Mwanasayansi Muirani, Profesa Masoud Suleimani, anashikiliwa nchini Marekani kwa muda wa mwaka mmoja sasa kinyume cha sheria.