Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Umoja wa Ulaya wapinga hatua za kijeshi za Marekani katika Ghuba ya Uajemi

    Umoja wa Ulaya wapinga hatua za kijeshi za Marekani katika Ghuba ya Uajemi

    Aug 04, 2019 02:25

    Kuongezema mivutano katika eneo la Ghuba ya Uajemi kulikosababishwa na hatua za kichokozi na vitisho za Marekani na vile vile hatua ya Iran ya kuisimamisha meli ya mafuta ya Uingereza kwa kukiuka wazi wazi sheria za baharini kumezipelekea Washington na London kufanya kila linalowezekana ili kuimarisha uwepo wao wa kijeshi sambamba na kuanzisha muungano wa baharini eti kwa ajili ya kudhamini usalama wa meli huru katika eneo hilo la kistratejia.

  • Vikwazo dhidi ya Zarif; upinzani wa kimataifa dhidi ya Marekani

    Vikwazo dhidi ya Zarif; upinzani wa kimataifa dhidi ya Marekani

    Aug 02, 2019 20:54

    Hatua ya Marekani kumuwekea vikwazo Muhammad Jawad Zarif, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekabiliwa na upinzani mkali wa jamii ya kimataifa, hatua ya kisiasa ambayo imekosolewa hata ndani ya Marekani kwenyewe.

  • Malengo ya safari ya kiduru ya Jared Kushner katika eneo la Asia Magharibi

    Malengo ya safari ya kiduru ya Jared Kushner katika eneo la Asia Magharibi

    Aug 02, 2019 02:45

    Jared Kushner, mshauri mkuu wa Rais Donald Trump wa Marekani Jumatano iliyopita alianza safari ya kiduru katika eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati).

  • Ukosoaji wa Russia kwa utendaji wa Umoja wa Mataifa mkabala na jinai za magaidi nchini Syria

    Ukosoaji wa Russia kwa utendaji wa Umoja wa Mataifa mkabala na jinai za magaidi nchini Syria

    Aug 01, 2019 20:46

    Syria imekuwa ikikabiliwa na hali ya mchafukoge tangu mwakak 2011 na kisha ikatumbukia katika vita vya ndani baina ya serikali halali ya Rais Bashar al-Assad wa nchi hiyo na waungaji mkono wake kwa upande mmoja na makundi ya kigaidi yanayoungwa mkono na madola ya Magharibi na washirika wao wa Kiarabu kwa upande wa pili.

  • Rais Rouhani: Marekani imeshindwa na kufeli mbele ya taifa la Iran

    Rais Rouhani: Marekani imeshindwa na kufeli mbele ya taifa la Iran

    Aug 01, 2019 08:02

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, mwaka jana maadui wa taifa la Iran walidai kuwa wanaweza kuuondoa madarakana mfumo wa Kiislamu unaotawala Iran, kuvunja uhuru wake na kuweka hatamu za nchi hiyo katika mikono ya White House, lakini hawakujua kwamba taifa la Iran litashinda na kuzima mashinikizo ya adui.

  • Ujerumani yapinga kujiunga na muungano wa baharini wa Marekani katika Ghuba ya Ujemi

    Ujerumani yapinga kujiunga na muungano wa baharini wa Marekani katika Ghuba ya Ujemi

    Jul 31, 2019 06:39

    Kudhihiri mivutano katika eneo la Ghuba ya Ujemi kutokana na kuongezeka uwepo wa kijeshi wa Marekani katika eneo hili lenye umuhimu wa kistratijia na vilevile kukamatwa meli ya Uingereza na wanajeshi wa Iran kutokana na kukiuka kwake wazi wazi sheria za usafiri wa baharini, kumezipelekea Washington na London kujaribu kubuni muungano wa baharini kwa madai ya kulinda usalama wa safari za meli katika eneo hilo.

  • Russia yawasilisha mpango wa usalama wa Ghuba ya Uajemi kwa Umoja wa Mataifa

    Russia yawasilisha mpango wa usalama wa Ghuba ya Uajemi kwa Umoja wa Mataifa

    Jul 30, 2019 06:24

    Uwepo wa kijeshi wa nchi za kigeni katika eneo la Ghuba ya Uajemi na taathira zake mbaya ambazo zimepelekea kuongezeka mivutano ya kisiasa na kijeshi katika eneo, umeipelekea Russia kuwasilisha mpango wa usalama wa eneo hili la kistratijia kwa Umoja wa Mataifa.

  • Hossein Amir-Abdollahian: Marekani chanzo cha ukosefu wa usalama na amani nchini Afghanistan

    Hossein Amir-Abdollahian: Marekani chanzo cha ukosefu wa usalama na amani nchini Afghanistan

    Jul 30, 2019 03:15

    Hossein Amir-Abdollahian, Msaidizi Maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amesema kuwa, siasa mbovu za Marekani ndio chimbuko la ukosefu wa usalama na amani nchini Afghanistan.

  • Ansarullah ya Yemen: Marekani na Umoja wa Mataifa zinachangia jinai za Saudi Arabia

    Ansarullah ya Yemen: Marekani na Umoja wa Mataifa zinachangia jinai za Saudi Arabia

    Jul 30, 2019 02:46

    Harakati ya Ansarullah ya Yemen imetangaza kuwa, serikali ya Marekani na Umoja wa Mataifa zinabeba jukumu la jinai zinazofanywa na muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia.

  • Kujiuzulu Mkurugenzi wa Upelelezi wa Taifa wa Marekani

    Kujiuzulu Mkurugenzi wa Upelelezi wa Taifa wa Marekani

    Jul 30, 2019 02:17

    Tangu Donald Trump aliposhika hatamu za kuongoza Marekkani alianza kutekeleza sera ya kuwafukuza kazi na hata kuwalazimisha maafisa wa ikulu ya White House wajiengue wenyewe.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS