-
Elon Musk: Waziri Mkuu Uingereza alitaka kuhujumu uchaguzi wa Marekani, ni mhalifu wa ngono
Jan 14, 2025 04:14Mkuu wa Idara ya Ufanisi wa Serikali ya Marekani amesisitiza kuwa Waziri Mkuu wa Uingereza alikusudia kuingilia uchaguzi wa rais wa hivi majuzi wa Marekani.
-
Moto wa Los Angeles; Ishara ya uzembe wa serikali ya Marekani
Jan 11, 2025 07:14Mji wa Los Angeles katika jimbo la California, Marekani, umekuwa ukiteketea kwa moto usiozuilika kwa siku kadhaa sasa katika msimu wa baridi kali na kuwaacha maelfu ya watu bila ya makazi. Moto huo pia umesababisha hasara na uharibifu mkubwa unaotajwa kuwa ni wa aina yake katika historia ya majanga nchini Marekani.
-
Katika hatua ya kuaibisha, Baraza la Wawakilishi la US lapitisha muswada wa vikwazo dhidi ya ICC
Jan 10, 2025 08:42Katika hatua ya kuaibisha, Baraza la Wawakilishi la Marekani limeidhinisha mswada wa kuwawekea vikwazo maafisa wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kama jibu kwa hatua ya mahakama hiyo ya kutoa hati za kukamatwa viongozi wa utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kuhusika na uhalifu wa kivita katika Ukanda wa Ghaza.
-
Baqaei: Mashambulizi ya kijeshi ya Marekani na Uingereza dhidi ya Yemen ni mfano wa wazi wa jinai
Jan 10, 2025 03:31Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, mashambulizi ya kijeshi ya Marekani na Uingereza dhidi ya Yemen ni mfano wa wazi wa jinai.
-
Majibu ya nchi mbalimbali kwa madai yasiyo na msingi ya Trump kuhusu kuinyakua Greenland
Jan 09, 2025 09:23Baada ya Rais mteule wa Marekani, Donald Trump kusisitiza madai yake ya kutaka kunyakua maeneo Canada, Panama na Greenland, na hatua zake, ikiwa ni pamoja na kumtuma mtoto wake wa kiume huko Greenland kuandaa mazingira ya unyakuzi huo, nchi hizo zimetoa majibu makali dhidi ya hatua ya Trump.
-
UN: Uhuru wa Syria, umoja na kubaki kamili ardhi yake yote vinakabiliwa na hatari kubwa
Jan 09, 2025 02:39Umoja wa Mataifa umetahadharisha juu ya ulichokiita "hatari halisi" inayokabili uhuru na kujitawala kwa Syria kufuatia kuanguka ghafla utawala wa zamani wa nchi hiyo.
-
Kuongezeka mapato ya makampuni ya silaha duniani: Marekani inaongoza katika biashara hiyo ya mauaji
Jan 08, 2025 23:49Taasisi ya Utafiti wa Amani ya Stockholm (SIPRI) imetangaza katika ripoti yake kwamba kulikuwepo ongezeko la mapato ya makampuni ya silaha duniani mwaka 2023.
-
Mzayuni mwenye misimamo mikali atupwa nje ya ndege baada ya kuivunjia heshima Palestina + Video
Jan 07, 2025 10:05Abiria wa kiyahudi mwenye misimamo ya kufurutu ada amefukuzwa na kushushwa kwenye ndege ya shirika la ndege la American Airlines baada ya kuvunjia heshima nembo ya mshikamano na Wapalestina.
-
CNN: Hofu ya kukamatwa katika mataifa mengine inawatia kiwewe wanajeshi wa Israel
Jan 07, 2025 04:08Televisheni ya CNN ya Marekani imetangaza katika ripoti yake kuwa kufuatia malalamiko ya mahakama ya Brazil dhidi ya mwanajeshi wa Israel anayekabiliwa na tuhuma za kutenda jinai za kivita, askari wa utawala wa Kizayuni wanakabiliwa na hatari ya kukamatwa na kufunguliwa mashtaka katika nchi nyingine, jambo ambalo limezua taharuki miongoni mwa maafisa wa serikali ya Tel Aviv.
-
Onyo kuhusu athari za kiusalama za mpasuko wa anga ya kisiasa ya Marekani
Jan 06, 2025 23:10Tovuti ya mtandao wa televisheni ya Marekani NBC imeandika katika ripoti yake kuhusu suala la kushamiri itikadi kali katika anga ya mtandaoni, ikionya kuhusu madhara ya usalama ya mpasuko wa nga ya kisiasa ya Marekani.