-
Waasi wa M23 wauteka mji wa Masisi mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Jan 05, 2025 23:33Vikosi vya kundi la waasi wa M23 wanaoungwa mkono na Rwanda, vimeuteka mji wa Masisi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Kuendelea misaada ya silaha ya Marekani kwa Israel
Jan 05, 2025 23:32Jinai za Israel dhidi ya Wapalestina wanaoishi Gaza zinaendelea kwa kuungwa mkono wa nchi za Magharibi hususan Marekani.
-
Viongozi wa Ulaya waendelea kudhihirisha sura zao za kinafiki, mara hii kuhusu Gaza na Marekani
Jan 03, 2025 00:16Viongozi wa nchi za Ulaya, wameendelea kuonyesha sura zao za kinafiki, kwa kukaa kimya kuhusu mauaji ya kimbari yanayofanywa na Israel huko Gaza, huku wakikimbilia kutuma ujumbe wa rambirambi kutokana na hujuma ya gari iliyotokea Marekani.
-
Vikwazo vipya vya Washington dhidi ya Iran na Russia kwa kisingizio cha kuingilia uchaguzi wa Marekani
Jan 02, 2025 08:46Wizara ya Hazina ya Marekani ilitangaza katika taarifa yake Jumanne iliyopita kuwa: "Idara ya Udhibiti wa Mali za Kigeni (OFAC) imeiwekea vikwazo taasisi tanzu ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (SEPAH) na shirika tanzu la Idara ya Ujasusi ya Russia (GRU) yenye makao yake makuu mjini Moscow na mkurugenzi wake.
-
Shambulio linalohusishwa na ISIL (ISIS) laua watu wapatao 15 mjini New Orleans, Marekani
Jan 02, 2025 03:18Watu wasiopungua 15 wameuawa na wengine wapatao 35 wamejeruhiwa katika shambulio la gari na bunduki lililotokea usiku wa manane wa kuamkia jana katika mji wa New Orleans nchini Marekani kwenye eneo la barabara ambapo sherehe za mwaka mpya zilikuwa zikifanyika.
-
Taifa kubwa lenye mamia ya maelfu ya watu wasio na makazi
Dec 30, 2024 23:12Hali ya kiuchumi na kijamii imekuwa ngumu zaidi kwa raia wa Marekani, na idadi ya watu wasio na makazi katika nchi hiyo imefikia rekodi ya kihistoria katika miaka ya hivi karibuni.
-
Baada ya Israel kuichoma moto hospitali kuu ya kaskazini ya Ghaza, yamkamata mkurugenzi na wafanyakazi wake
Dec 28, 2024 10:42Wizara ya Afya ya Palestina imetangaza kuwa askari wa jeshi la utawala w Kizayuni wa Israel wamemkamata Hussam Abu Safiya, Mkurugenzi wa Hospitali ya Kamal Adwan kaskazini mwa Ghaza, na wafanyakazi wengine mapema leo, siku moja baada ya askari wa jeshi hilo kuichoma moto hospitali hiyo, ambayo ndicho kituo kikuu pekee cha afya katika eneo hilo.
-
Senegal kufunga vituo vyote vya majeshi ya kigeni, ni vilivyosalia vya Ufaransa vilivyoko nchini humo
Dec 28, 2024 09:40Waziri Mkuu wa Senegal Ousmane Sonko amesema, nchi hiyo itafunga kambi zote za kijeshi za kigeni katika ikiwa ni sehemu ya juhudi za serikali za kupitia upya sera ya ulinzi na kuimarisha mamlaka ya kitaifa.
-
Maulamaa wa Yemen wautaka Umma wa Kiislamu kukabiliana na mashambulizi ya Wazayuni na Marekani
Dec 25, 2024 00:18Maulamaa wa Yemen wameutaka Umma wa Kiislamu kukabiliana na mashambulizi ya jeshi la utawala wa Kizayuni wa Isreal na Marekani huko Gaza, Yemen na pia waungaji mkono wa kigaidi.
-
Kuangushwa ndege ya kivita ya Marekani ya F-18 ni ishara ya kuchanganyikiwa katika mashambulizi ya Yemen
Dec 25, 2024 00:06Kuangushwa kwa ndege ya kivita ya F-18 ya Marekani katika shambulio la angani la hivi karibuni nchini Yemen, kumepelekea kuibuke shaka kuhusu uwezo wa Marekani wa kudhibiti anga ya Marekani na uwezo wake wa kukabiliana na mashambulizi ya makombora na ndege za kivita zisizo na rubani kutoka Yemen.