Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mauaji

  • Tume: Watu 210 wameuawa katika mapigano magharibi mwa Ethiopia

    Tume: Watu 210 wameuawa katika mapigano magharibi mwa Ethiopia

    Aug 27, 2021 03:12

    Kamisheni ya Haki za Binadamu ya Ethiopia (EHRC) imesema watu wasiopungua 210 wameuawa katika ghasia na mapigano ya kikabila yaliyojiri kwa siku kadhaa katika eneo la Oromia, magharibi mwa Ethiopia.

  • 12 wauawa katika mapigano baina ya wavuvi na wachungaji Cameroon

    12 wauawa katika mapigano baina ya wavuvi na wachungaji Cameroon

    Aug 13, 2021 13:06

    Kwa akali watu 12 wameuawa huku makumi ya wengine wakijeruhiwa katika mapigano baina ya wavuvi na wachungaji wa mifugo huko kaskazini mwa Cameroon.

  • UN: Raia sita wauawa katika shambulio la waasi kaskazini mwa CAR

    UN: Raia sita wauawa katika shambulio la waasi kaskazini mwa CAR

    Aug 01, 2021 08:04

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa watu sita wameuawa katika shambulio la waasi wanaobeba silaha kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Wafaransa wawili watiwa mbaroni kwa kufanya njama za kumuua rais wa Madagascar

    Wafaransa wawili watiwa mbaroni kwa kufanya njama za kumuua rais wa Madagascar

    Jul 22, 2021 11:17

    Duru za habari zimeripoti kutiwa mbaroni raia wawili wa Ufaransa kwa tuhuma za kufanya njama za kutaka kumuua Rais wa Madagascar.

  • Baraza la Waislamu Canada lataka kukomeshwa chuki dhidi ya Uislamu nchini humo

    Baraza la Waislamu Canada lataka kukomeshwa chuki dhidi ya Uislamu nchini humo

    Jun 08, 2021 18:46

    Baraza la Kitaifa la Waislamu wa Canada limetoa wito wa kutokomezwa haraka sera za chuki na kupiga vita Uislamu (Islamophobia) nchini humo baada ya jinai ya kutisha ya dereva mmoja kuwagonga watu watano wa familia moja na kuua wanne miongoni mwao.

  • Amisom kuchunguza kikamilifu madai kwamba KDF inaua raia wa Somalia

    Amisom kuchunguza kikamilifu madai kwamba KDF inaua raia wa Somalia

    Jun 06, 2021 07:55

    Ujumbe wa Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) umeahidi kuchunguza madai yanayosema kwamba, Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF) limewaua raia katika eneo la Gedo nchini Somalia katika shambulizi la anga dhidi ya wanamgambo wa Al-Shabaab.

  • Makumi wauawa katika shambulio la watu wenye silaha Burkina Faso

    Makumi wauawa katika shambulio la watu wenye silaha Burkina Faso

    Jun 06, 2021 02:34

    Watu waliokuwa na silaha wasiojulikana wameshambulia kijiji kimoja kaskazini mwa Burkina Faso na kuua makumi ya raia.

  • Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi wa Uganda Jenerali Katumba amshukuru Mungu kwa kumnusuru na kifo

    Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi wa Uganda Jenerali Katumba amshukuru Mungu kwa kumnusuru na kifo

    Jun 02, 2021 12:17

    Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi wa Uganda Jenerali Katumba Wamala ametoa ujumbe mapema leo akimshukuru Mwenyezi Mungu kwa kumuokoa na kubakia hai baada ya shambulio lililomlenga mapema jana Jumanne katika eneo la Kiasasi jijini Kampala.

  • Utambulisho wa kigaidi wa Israel wabainika zaidi baada ya tishio la kuwaua makamanda wa muqawama

    Utambulisho wa kigaidi wa Israel wabainika zaidi baada ya tishio la kuwaua makamanda wa muqawama

    May 24, 2021 10:06

    Benny Gantz waziri wa vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel ametoa tishio la wazi la kutaka kuwaua kigaidi makamanda wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, HAMAS.

  • UN yashindwa tena kulaani jinai za Israel huko Gaza, yatosheka kwa kueleza masikitiko

    UN yashindwa tena kulaani jinai za Israel huko Gaza, yatosheka kwa kueleza masikitiko

    May 16, 2021 06:43

    Sambamba na mashambulizi makali na ya kinyama yanayoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya makazi ya raia wa Ukanda wa Gaza, na mauaji ya raia katika eneo hilo, Umoja wa Mataifa kwa mara nyingine tena umeshindwa kuchukua hatua ya maana ya kusimamisha mashambulizi hayo au hata kulaani kwa maneno hujuma na ukatili huo wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS